0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,098
Kimbunga Kenneth kimetokea africa, lakini nchi za Africa ambazo hazijaathirika zipo lakini hatuwezi kufanya uokozi kwa waliokwama huko,wazungu wametoka huko mbali wamekuja kufanya uokozi na kutoa chakula na malazi(upendo wa ajabu kabisa huu).
MUNGU NI MZUNGU.
MUNGU NI MZUNGU.