Wakuu habari Majukumu!
Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua),
Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi yoyote ya kunipatia liziki.
Kuna mradi huwa nafuatilia hii sasa ni wiki ya pili bila mafanikio...
Hivi kuna mtu humu hafanyi mining ya PI ?
Tafadhali chukua link hiyo mapema
Mambo ya kutekana tekana baadae mgodi ukishatema sisi hatutaki wakati link ya bure ulipewa
Pi Network - Home Page and use my username (Gershoms) as your invitation code.
Baada ya kuingia sokoni hutakua na...
Taarifa kwa wanachama wote wa zamani wa jukwaa la Dealno1.
Ndugu zetu Watz wameunda group kujaribu kuangalia kama inawezekana kurudisha pesa zetu zilizoko Dealno1.
Pia walipendekeza tovuti nyingine mpya ambayo bado inajaribiwa, ambayo inaaminika iliundwa na waanzilishi wa zamani wa Dealno1...
Wakuu ni takribani miaka 8 sasa imepita toka 2015 nilipo kimbilia kwenu ninyi ndugu zangu members wa JF kuomba msaada.
Nikikumbuka mliponitoa wakati mwingine huwa machozi yananitoka, Wakati huo nilikuwa nimepoteza mzazi wangu kwa ugonjwa wa figo, Sina kazi, Kodi ya nyumba imeisha, mwenye...
Wahenga wenzangu bila shaka kwa uwezo wa Mungu hamjambo kabisa! Wakuu naombeni msaaada kuna nyimbo nimetafuta kwa kuseach kila kona bila mafanikio kiukweli sijui ni bandi gani ziliimba hizo song ila nakumbuka baadhi ya maneno katika nyimbo hizo
1. Mama mdogo alinichukua kijijini...
Wahenga wenzangu bila shaka kwa uwezo wa Mungu hamjambo kabisa! Wakuu naombeni msaaada kuna nyimbo nimetafuta kwa kuseach kila kona bila mafanikio kiukweli sijui ni bandi gani ziliimba hizo song ila nakumbuka baadhi ya maneno katika nyimbo hizo
1. Mama mdogo alinichukua kijijini...
Tanesco tukumbukeni na sisi wanyonge. Mimi nimelipia Hiyo elfu 27,000 Tangu mwezi wa 6 lakini mpaka leo bado kimya , Juzi ilishushwa nguzo hapa jirani nikajua ya kwangu leo imebebwa amekewa jirani. Inauma
Jina - Evalyne Jonathan Kizwili
Wilaya -Kinondoni
Kata- Kunduchi
Eneo - Mecco mji mpya...
Wakuu habarini za majukumu,
Juzi nimebadilisha simu nika install WhatsApp upya Basi kila nikiifungua inajituma /kujipost link kwenye magroup yangu yote ya whatsap niliyo jiunga nayo.
Hata nikiifungua kuchat na mtu link hiyo hujituma kwanza hali hii imenifanya nionekane kama tapeli...
Wakuu wale wapenzi wa nyimbo za kale naomba kama kuna mtu anaweza kuwa na nyimbo ya Mzee Makasi -Anifa tafadhali anisaidie nyimbo ina nikumbusha mbali Sana laakini namna ya kupata nimeshindwa what's app 0765544791 Asante
Wakuu bila Shaka hamjambo humu!
Huyu dogo nimekutana nae mtaani ila kwa haraka nimegundua Huyu kipaji cha utangazaji anacho ila anahitaji mtu wa Kimsaidia ili afikie ndoto yake kwani hajui hata pakuanzia naamini hapa Atapata wa kumshika mkono!
Hizi hapa ni audio nilizo mrecord namba Zane...
Wakuu habari za mida hii!
Wakuu naombeni Msaada kwa mwenye nyimbo za kwaya ya Huru waimbaji wa sifa, Anisaidie kunitumia WhatsApp nimejaribu kutafuta Google,Youtube na kwenye vibanda wanakoingiza nyimbo kwenye simu, Lakini sikufanikiwa Ingawa ni kwaya ya zamani lakini naamini humu JF ni...
Wakuu mwanangu alipata ajali ya kuungua moto Kwa asilimia 75. Mungu mkubwa madakitari Wa hospitali ya jeshi Lugalopamoja na wale wa hospitali ya Taifa MUHIMBILI (heshema na shukrani zangu ziwafikie).
Walipambana hatimae mwanangu amepona na tayari ameanza tena kwenda shule baada ya miezi...
Wakuu habarini za majukumu,
Naombeni msaada Wa kisheria ili mwajiri huyu anilipe mshahara wangu alio uzuia ili familia yangu iweze kuishi.
Wakuu mwajiri huyu amevizia Mpaka siku 2 kabla ya Siku ya kunilipa mshahara wangu wa mwezi akaamua anisingizie kesi ya wizi lengo anidhulumu mshahara...
Wakuu habarini za kazi naombeni msaada nataka special namba ya laini ya tigo isomeke 0655544791 ili ifanane na laini yangu ya voda nimejaribu kuiangalia namba hiyo kwa kutest kuitumia pesa bado haina mtu.
Nimejaribu Kwa watu wanao sajiri jibu nalopewa no kuwa Siku hizi hakuna huduma ya...
Wakuu habari za majukumu, Wakuu Naombeni Masaada mwanangu anasumbuliwa na mafua kwa muda mrefu ,ana umri wa miezi 3 nimejaribu Dawa nazo elekezwa lakini Bado ,Watu wanasema labda alikunywa maji machafu wakati wa kuzaliwa dawa nilizotumia ni Isoryn, ambrox na zenilyn lakini bado hayaponi .Wakuu...
Wakuu naomba msaada toka kwenu wataalamu ili nipate maujanja ya kushinda bahati nasibu hii mfano namba za ushindi kwa draw ya kwanza zimetokea 36 32 38 30 69. Draw ya Pili namba za ushindi zimetokea 50 4 69 22 Je naweza kutumia hesabu au software gani? Kujua namba za ushindi zitakazotokea...
Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja Wa Mataifa?
Wakuu Naombeni Elimu Hiyo.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.