Naombeni Masada wa kitabibu

MKONGORO

JF-Expert Member
Jun 15, 2014
325
263
Wakuu habari za majukumu, Wakuu Naombeni Masaada mwanangu anasumbuliwa na mafua kwa muda mrefu ,ana umri wa miezi 3 nimejaribu Dawa nazo elekezwa lakini Bado ,Watu wanasema labda alikunywa maji machafu wakati wa kuzaliwa dawa nilizotumia ni Isoryn, ambrox na zenilyn lakini bado hayaponi .Wakuu Naombeni Msaada mwanangu hapati Kabisa usingizi usiku Asanteni
 
Pole, kama yanabana jaribu tiba nyingine, kata slice ya kitunguu maji, muwekee kwenye unyayo usiku mvalishe na socks ili kisianguke.... Nlimuwekea wangu ilimsaidia
Mkuu nakushukuru sana kwa ushauri wako maana sisi wazazi hatuna raha kabisa.
 
Pole sana. Unaweza kutumia maji ya uvuguvugu na kitambaa kisafi kumkanda puani. Muepushe na mazingira ya vumbi huenda ni allergy.
Jitahidi kusafisha chumba anacholala mtoto anika godoro angalau kwa wiki mara moja,muepushe na vitu vyenye harufu kali kama perfumes, poda au dawa za mbu.
Sabuni ya kuogea isiwe na harufu kali nguo zake zisifuliwe na sabuni zenye harufu kali. Fanya hivyo dawa nazo si nzuri sana kutumia kila mara. Tatizo likizidi onana na daktari wa magonjwa ya watoto.
 
Pole sana. Unaweza kutumia maji ya uvuguvugu na kitambaa kisafi kumkanda puani. Muepushe na mazingira ya vumbi huenda ni allergy.
Jitahidi kusafisha chumba anacholala mtoto anika godoro angalau kwa wiki mara moja,muepushe na vitu vyenye harufu kali kama perfumes, poda au dawa za mbu.
Sabuni ya kuogea isiwe na harufu kali nguo zake zisifuliwe na sabuni zenye harufu kali. Fanya hivyo dawa nazo si nzuri sana kutumia kila mara. Tatizo likizidi onana na daktari wa magonjwa ya watoto.
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri Asante
 
Pole sana. Unaweza kutumia maji ya uvuguvugu na kitambaa kisafi kumkanda puani. Muepushe na mazingira ya vumbi huenda ni allergy.
Jitahidi kusafisha chumba anacholala mtoto anika godoro angalau kwa wiki mara moja,muepushe na vitu vyenye harufu kali kama perfumes, poda au dawa za mbu.
Sabuni ya kuogea isiwe na harufu kali nguo zake zisifuliwe na sabuni zenye harufu kali. Fanya hivyo dawa nazo si nzuri sana kutumia kila mara. Tatizo likizidi onana na daktari wa magonjwa ya watoto.
Fanyia kazi huu ushauri, kama kuna maua au miti yenye harufu Kali yaondoe, vinyesi au manyoya ya wanyama, a/c na marashi vyote vichunguzwe.
 
Kama kweli una mtoto wa hivyo nakushauri acha kumpa dawa nyingi bado ni mdogo utamchosha ini lake mapema kumbuka ini lake hakijaweza kusaga na kuteyusha vizuri viini sumu, allergy haina tiba huisha yenyewe kwa watoto akifika miezi 6 hicho kitu kitapotea ama itaendelea kupotea kadri anavyokua, ngumu sana kuepuka allergy unaweza kuepuka hiki leo kesho kikajitokeza kingine kinachosababisha, ila kama upo Moshi muone dr Shoo pale mawenzi ni best dr wa watoto ama kama dar muone dr Rahimu pale Recency utapata msaada sana vinginevyo acha kujaribu dawa utamzidishia sumu mwilini huyo mtoto
 
Kama kweli una mtoto wa hivyo nakushauri acha kumpa dawa nyingi bado ni mdogo utamchosha ini lake mapema kumbuka ini lake hakijaweza kusaga na kuteyusha vizuri viini sumu, allergy haina tiba huisha yenyewe kwa watoto akifika miezi 6 hicho kitu kitapotea ama itaendelea kupotea kadri anavyokua, ngumu sana kuepuka allergy unaweza kuepuka hiki leo kesho kikajitokeza kingine kinachosababisha, ila kama upo Moshi muone dr Shoo pale mawenzi ni best dr wa watoto ama kama dar muone dr Rahimu pale Recency utapata msaada sana vinginevyo acha kujaribu dawa utamzidishia sumu mwilini huyo mtoto
Akiwa KIGOMA!?
 
Mwanangu ilifikia hata kutumia dawa za TB ila ngoma ikawa droo,ajabu mwanafunzi wa udaktari pale Muhimbili akanishauri nijaribu kum-check allergy kweli akakutwa nayo akatumia dawa siku 7 akawa mpya.baadhi ya madokta bingwa{siwafundishi kazi}huwa sielewi kama hawajui au wanapuuzia tu kuna baadhi ya vitatizo vidogo vidogo huwa wanavipuuzia puuzia hivi.jaribu kumpima allergy mkuu unaweza kutatua tatizo
 
Kama kweli una mtoto wa hivyo nakushauri acha kumpa dawa nyingi bado ni mdogo utamchosha ini lake mapema kumbuka ini lake hakijaweza kusaga na kuteyusha vizuri viini sumu, allergy haina tiba huisha yenyewe kwa watoto akifika miezi 6 hicho kitu kitapotea ama itaendelea kupotea kadri anavyokua, ngumu sana kuepuka allergy unaweza kuepuka hiki leo kesho kikajitokeza kingine kinachosababisha, ila kama upo Moshi muone dr Shoo pale mawenzi ni best dr wa watoto ama kama dar muone dr Rahimu pale Recency utapata msaada sana vinginevyo acha kujaribu dawa utamzidishia sumu mwilini huyo mtoto
Mkuu nashukuru kwa jinsi ambavyo mmeguswa na tatizo hili ushauri wenu nitaufanyia kazi mwisho wa siku nita leta mrejesho hapa Asante
 
Back
Top Bottom