MKONGORO
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 325
- 263
Wakuu habari Majukumu!
Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua),
Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi yoyote ya kunipatia liziki.
Kuna mradi huwa nafuatilia hii sasa ni wiki ya pili bila mafanikio ingawa watu wanaingia ukiuliza jinsii wanavyo penya huambiwi ni hapa bondeni karibu na lugalo jeshini kuna project inaandaliwa ya ujenzi naomba mwenye connection na pale au pengineb anisaidie.
Natanguliza shukrani 0714372970
Wakuu Mimi ni fundi Ngungwa (Kibarua),
Nimefanya kazi Mradi wa Mwalimu Nyerere Rufiji lakini toka nimalize mkataba wangu kule mwezi wa 9 mwaka jana sijapata kazi yoyote ya kunipatia liziki.
Kuna mradi huwa nafuatilia hii sasa ni wiki ya pili bila mafanikio ingawa watu wanaingia ukiuliza jinsii wanavyo penya huambiwi ni hapa bondeni karibu na lugalo jeshini kuna project inaandaliwa ya ujenzi naomba mwenye connection na pale au pengineb anisaidie.
Natanguliza shukrani 0714372970