wahenga

Get Out is a 2017 American horror film written and directed by Jordan Peele in his directorial debut. It stars Daniel Kaluuya, Allison Williams, Lil Rel Howery, Bradley Whitford, Caleb Landry Jones, Stephen Root, Lakeith Stanfield, and Catherine Keener. Get Out follows Chris Washington (Kaluuya), a young black man who uncovers a disturbing secret when he meets the family of his white girlfriend, Rose Armitage (Williams).
Principal photography began in February 2016 in Fairhope, Alabama, then moved to Barton Academy and the Ashland Place Historic District in Mobile, Alabama. The entire film was shot in 23 days.
Get Out premiered at the Sundance Film Festival on January 23, 2017, and was theatrically released in the United States on February 24, 2017, by Universal Pictures. It received acclaim from critics, with praise for the screenplay, direction, acting performances (particularly Kaluuya), use of black comedy, and social themes. It was also a massive commercial success, grossing $255 million worldwide on a $4.5 million budget, with a net profit of $124.8 million, making it the tenth-most profitable film of 2017.It was chosen by the National Board of Review, the American Film Institute, and Time magazine as one of the top ten films of the year. Peele won the Academy Award for Best Original Screenplay at the 90th Academy Awards, with additional nominations for Best Picture, Best Director and Best Actor (Kaluuya). It also earned five nominations at the 23rd Critics' Choice Awards, two at the 75th Golden Globe Awards, and two at the 71st British Academy Film Awards. It has been featured in multiple listings of the best films of the 2010s.

View More On Wikipedia.org
  1. LugaMika

    Je, Semi hizi ni za kweli amma ni za wahenga tu?

    Niliambia hivi ★"Mwanangu katika maisha yako ya utuuzima ishi na mwenyeji wako kama mgeni,mgeni ajapo ishi naye kama mwenyeji tu ulokwepo naye kabla" ★ Nilipewa nafasi kufikiria kama ningepata hata kuelewa lakini haikuwa rahisi sana. Ikatafsiriwa na wataalamu wakasema kuwa jambo hilo lipo...
  2. DR Mambo Jambo

    Shairi: Swala la Umeme na Bunge wahenga wanasema "Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"

    Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"(Mmetupunguza Ubongo,Mnatuchuza Hadharani) Achutama zivukapo, mwerevu zake 'zo Nguo, Kuinama aketipo, soniye ndio chaguo, Tena hata aitwapo, huitika kwa rudio, Mmetupunguza Bongo, mwatuchuza Hadharani. Mwatuchuza Hadharani, mmetupunguza Bongo, Wengine...
  3. Damaso

    Urithi wa Kundi la Eiffel 65 katika Muziki wa Elektroniki

    Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya Roxette au Vogue ya Madonna. Lakini kuna nyimbo mbili ambazo utotoni tulipenda sana kusikiliza kiasi...
  4. nentewene

    Tungo: Nipeni ushauri, mke gani nichague

    Naombeni ushauri, mke gani nichague! Niangalie uzuri, mtaani wanijue? Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie. Au alietulia tuli, pekeangu nitanue. Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue. Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha. Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha. Au nichukue mnoko...
  5. W

    Wahenga je hawa ni walimu wako?

    Je, hawa walikuwa walimu wako? tutajie majina.
  6. Hance Mtanashati

    Special Thread: Ya kale ni dhahabu

    Huu ni uzi maalumu unaojumuisha maisha yote ya kale tuliyoyaisha ,mashujaa wetu wa enzi hizo visa vyao na burudani kwa ujumla. Karibuni .
  7. R

    Hata kama mkeo na watoto unawapenda usisafiri nao kwenye gari moja; wahenga waliishi muda mrefu kwa kukwepa haya

    Wazee wa zamani waliona mbali sana kifikra kuhusu maisha. Awakuruhusu watoto wao watumie chombo kimoja cha usafiri, wakae pamoja au kuambatana mara kwa mara; waliogopa kuteketeza familia at once. Leo hii imekuwa fashion kwa ndugu kusafiri pamoja, tunapotumia chombo kimoja cha usafiri upo...
  8. M

    Wahenga hawakukosea, tamaa mbele mauti nyuma: Huyu boss wa Wagner alipewa tenda yote kulisha majeshi ya Urusi, bado hakutosheka!!

    Fikiria jamaa alikuwa anapata mabilioni mangapi kwa kupewa tenda ya kulisha majeshi yote ya Urusi!! Lakini bado akawa hajaridhika na kuwa na bifu na waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wanaoidhinisha tenda yake!! Bila shaka alitamani yeye ndio awe top kwenye jeshi la Urusi!! Sasa atakula jeuri...
  9. MIXOLOGIST

    Tuwafokee wahenga wetu na kauli/misemo potofu na kengefu

    Ashakuum si matusi, maskini akipata matako ulia mbwata, hizi ni moja ya kauli za wahenga wetu. Hakika nyingi ya kauli hizi zina mafunzo makuu lakini zipo kauli potofu na kengefu. Aliye juu mngoje chini, hakika hii ni kauli kengefu, inayochochea uvivu, kwanini usichukue ngazi umfuate? Aidha...
  10. Maleven

    Wahenga, Kuongea bure baada ya dakika ya 3 :Tigo, My number 1: Vodacom

    Kama ulitumia hizi huduma nadhani sasa uko kwenye ndoa au unawatoto Kwakweli Tigo na Vodacom walisaidia sana mahusiano ya watu mana hata utaratibu wa kujiunga bando haukua sawa. Tigo unasubiri saa sita baada ya dk ya tatu, unakua unaongea bure mpanga asuburi Vodacom: unajiunga shiling 50...
  11. Kyambamasimbi

    Kwa wahenga tu, Zama zetu zileee, tujikumbushe enzi zetu, tuliokulia vijijini

    Jamani maisha ni safari ndefu, hasa tuliokulia vijijini tuliishi maisha ya kipekee saaana. 1. Kuoga ilikuwa ni mtoni hasa kwa maeneo ya Tukuyu Miaka hiyo ya tisini. 2. Kuvaa nguo mpya mashati ya Julian na suruali special za Tokyo huku chini na mokas 3. Kupaka mafuta ni mpaka unaenda mjini au...
  12. Lycaon pictus

    Heshima siyo kitu cha bure, usijidanganye

    Nadhani umewahi kukutana na watu wakilalamika, "Mke wangu haniheshimu. Wadogo zangu wananidharau." Wengi hawa wanaamini kuwa maneno ya wahenga kuwa heshima ni kitu cha bure ni ya kweli. Ukweli ni tofauti kabisa. Binadamu siku zote wanamheshimu mtu mwenye uwezo, yaani mtu capable. Social animals...
  13. Nyuki Mdogo

    Wahenga njooni mnisaidie: Eti huyu mama ni nani hasa katika nchi hii?

    Huyu hapa.. Naomba tufahamishane vizuri wahenga wa Jf..
  14. J

    SoC02 Fikra na elimu kwa wahenga

    Elimu huchochea maendeleo makubwa mno katika jamii lakini elimu bila pesa kizazi cha sasa ni sawa na kofia ya chuma inayopata moto nyakati za jua la utosi, Enyi kizazi cha sasa tubadilike tusichukue ya wahenga yote kwani mengi yameharibiwa na teknolojia pamoja na usasa elimu tunayopata mashuleni...
  15. Kinengunengu

    KWA WAHENGA TU: Mara ya kwanza kuona TV/ Video/ Sinema ilikuwa mwaka gani na ulijisikiaje?

    Binafsi nakumbuka mara ya kwanza kuona video ilikuwa ni Late 1980"s na ilikuwa ni Sinema. Walikuja uwanjani kijijini kwetu wakihamasisha maendeleo. Waliwasha Sinema na Waliweka wimbo wa "Remmy Ongala" sikumbuki Jina ila Binafsi sikuwa najua tofauti ya Sinema na Muziki. Nikawa nacheza nikiamini...
  16. mtwa mkulu

    Uzi wa katuni kali za wahenga

    Je unawakumbuka hawa miamba? Mi nashukuru walinilea pale sawala primary.....
  17. Sky Eclat

    Wahenga mnaikumbuka hii meza ya simu?

    Pembeni ya simu kulikua na pen holder na note book kwa kuchukua messages. Hapo chini ilikaa telephone directory.
  18. Linguistic

    Wahenga tyme (born before computers (bbc): 1970s, 1980s & 1990s

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 A. MABINGWA WA BREAK-DANCE TZ 1. Black Moses 2. Mzee Bachu 3. Ommy Sydney 4. Salma Sweet Kajela 5. Athuman Digadiga "Double D " 6. Jimmy To London 7. Bosco Aidan Cool J 8. Super Ngedere 9. Abdul Shalamar 10. Abel Siwale 11. Patrick Chiume "TASS" 12. Kamal Mabobish 13...
Back
Top Bottom