Get Out is a 2017 American horror film written and directed by Jordan Peele in his directorial debut. It stars Daniel Kaluuya, Allison Williams, Lil Rel Howery, Bradley Whitford, Caleb Landry Jones, Stephen Root, Lakeith Stanfield, and Catherine Keener. Get Out follows Chris Washington (Kaluuya), a young black man who uncovers a disturbing secret when he meets the family of his white girlfriend, Rose Armitage (Williams).
Principal photography began in February 2016 in Fairhope, Alabama, then moved to Barton Academy and the Ashland Place Historic District in Mobile, Alabama. The entire film was shot in 23 days.
Get Out premiered at the Sundance Film Festival on January 23, 2017, and was theatrically released in the United States on February 24, 2017, by Universal Pictures. It received acclaim from critics, with praise for the screenplay, direction, acting performances (particularly Kaluuya), use of black comedy, and social themes. It was also a massive commercial success, grossing $255 million worldwide on a $4.5 million budget, with a net profit of $124.8 million, making it the tenth-most profitable film of 2017.It was chosen by the National Board of Review, the American Film Institute, and Time magazine as one of the top ten films of the year. Peele won the Academy Award for Best Original Screenplay at the 90th Academy Awards, with additional nominations for Best Picture, Best Director and Best Actor (Kaluuya). It also earned five nominations at the 23rd Critics' Choice Awards, two at the 75th Golden Globe Awards, and two at the 71st British Academy Film Awards. It has been featured in multiple listings of the best films of the 2010s.
Niliambia hivi
★"Mwanangu katika maisha yako ya utuuzima ishi na mwenyeji wako kama mgeni,mgeni ajapo ishi naye kama mwenyeji tu ulokwepo naye kabla"
★ Nilipewa nafasi kufikiria kama ningepata hata kuelewa lakini haikuwa rahisi sana.
Ikatafsiriwa na wataalamu wakasema kuwa jambo hilo lipo...
Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya Roxette au Vogue ya Madonna. Lakini kuna nyimbo mbili ambazo utotoni tulipenda sana kusikiliza kiasi...
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko...
Wazee wa zamani waliona mbali sana kifikra kuhusu maisha. Awakuruhusu watoto wao watumie chombo kimoja cha usafiri, wakae pamoja au kuambatana mara kwa mara; waliogopa kuteketeza familia at once.
Leo hii imekuwa fashion kwa ndugu kusafiri pamoja, tunapotumia chombo kimoja cha usafiri upo...
Fikiria jamaa alikuwa anapata mabilioni mangapi kwa kupewa tenda ya kulisha majeshi yote ya Urusi!! Lakini bado akawa hajaridhika na kuwa na bifu na waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wanaoidhinisha tenda yake!! Bila shaka alitamani yeye ndio awe top kwenye jeshi la Urusi!! Sasa atakula jeuri...
Ashakuum si matusi, maskini akipata matako ulia mbwata, hizi ni moja ya kauli za wahenga wetu. Hakika nyingi ya kauli hizi zina mafunzo makuu lakini zipo kauli potofu na kengefu.
Aliye juu mngoje chini, hakika hii ni kauli kengefu, inayochochea uvivu, kwanini usichukue ngazi umfuate?
Aidha...
Kama ulitumia hizi huduma nadhani sasa uko kwenye ndoa au unawatoto
Kwakweli Tigo na Vodacom walisaidia sana mahusiano ya watu mana hata utaratibu wa kujiunga bando haukua sawa.
Tigo unasubiri saa sita baada ya dk ya tatu, unakua unaongea bure mpanga asuburi
Vodacom: unajiunga shiling 50...
Jamani maisha ni safari ndefu, hasa tuliokulia vijijini tuliishi maisha ya kipekee saaana.
1. Kuoga ilikuwa ni mtoni hasa kwa maeneo ya Tukuyu Miaka hiyo ya tisini.
2. Kuvaa nguo mpya mashati ya Julian na suruali special za Tokyo huku chini na mokas
3. Kupaka mafuta ni mpaka unaenda mjini au...
Nadhani umewahi kukutana na watu wakilalamika, "Mke wangu haniheshimu. Wadogo zangu wananidharau." Wengi hawa wanaamini kuwa maneno ya wahenga kuwa heshima ni kitu cha bure ni ya kweli.
Ukweli ni tofauti kabisa. Binadamu siku zote wanamheshimu mtu mwenye uwezo, yaani mtu capable. Social animals...
Elimu huchochea maendeleo makubwa mno katika jamii lakini elimu bila pesa kizazi cha sasa ni sawa na kofia ya chuma inayopata moto nyakati za jua la utosi, Enyi kizazi cha sasa tubadilike tusichukue ya wahenga yote kwani mengi yameharibiwa na teknolojia pamoja na usasa elimu tunayopata mashuleni...
Binafsi nakumbuka mara ya kwanza kuona video ilikuwa ni Late 1980"s na ilikuwa ni Sinema. Walikuja uwanjani kijijini kwetu wakihamasisha maendeleo. Waliwasha Sinema na Waliweka wimbo wa "Remmy Ongala" sikumbuki Jina ila Binafsi sikuwa najua tofauti ya Sinema na Muziki. Nikawa nacheza nikiamini...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
A. MABINGWA WA BREAK-DANCE TZ
1. Black Moses
2. Mzee Bachu
3. Ommy Sydney
4. Salma Sweet Kajela
5. Athuman Digadiga "Double D "
6. Jimmy To London
7. Bosco Aidan Cool J
8. Super Ngedere
9. Abdul Shalamar
10. Abel Siwale
11. Patrick Chiume "TASS"
12. Kamal Mabobish
13...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.