Wakubwa katika bwana nahitaji good desing and very good economy ambaye anaweza kunipa hiyo mambo kama jaribio akiweza kuitimiza within budget nampa kazi nyingine ila awe mkweli kwangu uongo sijui siasa sijui ukanjanja aisee sitaki.
nahitaji a good fundi ambaye anaweza jenga a good house ya one...
Mwenye namba ya huyu Pastor wa Kike anisaidie na kama unajua hata kwao niambieni huenda wadogo wake wakawa wanawake bora kwenye ndoa
"Nataka mwanaume mwenye magari. Nataka mwanaume mwenye viwanja. Shogangu, wewe una nini?"Tanzanian preacher Rose Shaboka challenges women during a sermon...
Hongera kwa kuvumilia maumivu ya tozo, pia msisahau kulipa ada kwa wale mliozaa kwenye ndoa au nje ya ndoa.
Kwa nini mwanamke akitaka kuolewa kuna huu upuuzi sijui;
Kupeleka barua ya posa
Sijui kutoa mahari
Sijui Kumvalisha pete ya uchumba
Hivi ndoa haiwezi kufanyika bila huu mlolongo wa...
Short Courses
Long course
Welding and Fabrication level I and II
Auto Electric level I and II
Motor Vehicle Mechanics level I and II
Truck Mechanics
Plant Mechanics
Short courses
Operation of Motor Grader
Operation of Hydraulic Excavator
Operation of Roller
Operation of...
Hivi kuna mtu wa Nchi hii anafuatilia na kuanzisha Mada JF ya nayoendelea Afrika Mashariki yanayohisiana na vita au heka heka ya kuagiza Yesu Africa?
Au nikiumbelel na kumuhemuhe au ubwege wa kuwazu yanayotuhusu mfano rushwa, mahari kwa watoto wetu na kabira zetu na mila zetu, tozo za vocha...
D. MASWALI YA 64 HADI 68 NI KWA WANAWAKE WENYE MIAKA 10 AU ZAIDI
64. Je, ulishawahi kuzaa watoto hai katika maisha yako/yake? --------------------
65. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike wanaoishi na wewe/yeye katika kaya hii?---- Hili halina shida.
66. Je, umezaa watoto...
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.
Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.
"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama...
Kumekuwa na maombi mengi humu lakini ukiangalia muombaji unaona kabisa Kuna mzaha mwingi na walio wengi hawatoi ushirikiano hata wakifuatwa pm.
Hivi mtu anasema anatafuta mke......stage za mdada WA kike kufika cheo Cha mke kikoje? Mtu anatafuta Mume. Unajua Mume ni baba mwenye watoto tayàri...
Wakuu mwenye mbinu au dawa ya kuuwa hii mijusi hii ya rangi rangi inasumbua Sana juu ya paa au hata ndani utakuta Hilo limeingia au Mpaka Maji ya Mwamposa.
Nisaidieni.
Katika maadhimisho ya Mei Mosi katika maombi yaliyowasilishwa kwa Rais Wetu Rais wa Tucta hakuzungumza lolote juu ya FAO la kujitoa NSSF baadala yake alijikita kuzungumza matakwa ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika taasisi za Imma tu.
Nilijiuliza maswali mengi sana na mojawapo lilikuwa hivi...
Hello marafiki,
Nahitaji mtu aliye soma pharmacy kwa level ya certificates na diploma.
Atume CV yake kwenye WhatsApp number 0759883335
Kituo cha kazi ni Kilosa Morogoro kwenye Polyclinic nzuri sana.
Maswala ya salary yatajadiliwa pale atakapokuwa amebahatika kupata kazi na kabla ya ku-sign...
Hi Wakuu!
Nimepata one of the business partner ambaye yupo Canada ameniomba nimsaidie kutafuta utaratibu unaohitajika kufuata katika uagizaji wa Vifaa tiba Toka Bangladesh.
Mtaji siyo tatizo Utaratibu ndiyo ninaouhitaji najua tunaingia kwenye Vita na Wahindi Lakini hakuna namna as i believe...
Hi Team am looking for a serious Business Partner who is ready partner in business that am thinking to start with immediate effect.
The partner must be able and have patience in doing business and should be either residing Dodoma, Morogoro or Singida.
I will love if the business partner would...
Wakuu nini maana ya ndoto Inayohusu wanga wakitaka kumdhuru Mwanao ..imenitokea Mimi tena nimeota mara mbili.... ya kwanza ilikuwa saa kumi na dk 40 ambapo nilitewa chumbani na mwenzie anayelala naye kuwa baba fulani kuna jitu linamkandamiza kifua na linataka kumuaa.
Basi walipohamia kwangu...
Wakuu hivi majuzi nikienda kufanya checkup baada ya kusikia maumivu kwenye goti walipopima nikaambiwa uric acid imezidi nikatumia dawa walizonipa basi baada kama wiki pakatulia sasa nikapiga vyombo aisee baada ya siku mbili maumivu ya me rudi kwa kasi ya hatare.
Najua humu kuna waganga wa kila...
Jamani
Hivi kweli uvaaji wa Pete kwenye vidole vya mkononi na miguuni hivi wanajua maana zake au wanaiiga tuu.
Ukiangalia waimba nyimbo za injili , ukiangalia hawa wadada wa mjini, ukiangalia wasomi ni shida.....Hivi ni kweli wanajua maana zake.
Tusaidiane tafsri zake
Sent using Jamii Forums...
Wakuu Mimi ni miongoni ambao siwapendi paka kidogo, kwa kuwa siamini hawa Mapaka ni wema kabisa hasa hii mipaka Pori ambayo kazi yake ni kuzurura tu huwa muda mwingine nayaona kama mashirikina tu
Naomba mwenye u juzi wa kuua haya Mapaka. Sibarikiwi kuyaona paka ambaye sijawahi kumfuga
Ndugu @...
Kwa wale waliobahatika kuingia Mahabusu watakubaliana na Mimi kuwa kila Mahabusu kuna wafungwa ambao muda wote hawataki kutoka Mahabusu na muda wote wapo kwa ajili ya kuwapa na kusikiliza mshitakiwa ameletwa magereza kwa kosa Gani?
Na pale anaposema ukweli wake na kama kweli hahusiki removal...
Ushauri,
Ukitaka kuoa au kuolewa kamwe usimdharau mama au Baba yako. Hata Babu yako amedumu na bibi yako kwa kuwa alichaguliwa Mke au Mume na Wazazi wake..
Ni Ushauri tu.
Hivi Kwa nini siku hizi Wadada wetu wanapenda kujisendoff kutoka Kwa familia yao hata kabla ya Muda kufika? Je ni kutokana na Utandawazi? au Mihemuko ya Mungiliano wa Uhuru Jinga?
Mifano Michache kwa nini wewe binti unasoma certificate lakini unaamua kuhama nyumbani kwa wazazi wako unaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.