Fao la kujitoa NSSF; Rais Samia sikiliza kilio cha Watoto Wako

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Katika maadhimisho ya Mei Mosi katika maombi yaliyowasilishwa kwa Rais Wetu Rais wa Tucta hakuzungumza lolote juu ya FAO la kujitoa NSSF baadala yake alijikita kuzungumza matakwa ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika taasisi za Imma tu.

Nilijiuliza maswali mengi sana na mojawapo lilikuwa hivi TUCTA inafahamu kuwa Taasisi zilizoathirika na upunguzwaji wafanyakazi ikiwa Ni pamoja na baadhi kufunga oparesheni zao Tanzania Ni Taasisi na Makampuni binafsi? Je, wale wafanyakazi ambao hawajafikia huo umri wa kustaafu wanadai Hela Nyingi kwenye Hiyo mifuko ya Hifadhi ya Jamii?

Kweli TUCTA ilishindwa kuliangalia Hilo la kuwa sehemu ya hoja ya kuiwasilisha kwa Mama ili Hawa wahanga waruhusiwe kuchukua mafao Yao wakajifie Huko mbele?

Kweli TUCTA ilishindwa kujua kuwa taasisi binafsi imeathirika mno na watumishi wao wapo majumbani bila ajila Wala biashara huku wakiwa na fedha zao Nyingi zilizo kwenye hizo taasisi?

Kweli TUCTA imeshindwa kukuona Hilo ilihali inapokea Michango mingi ya wanachama kupitia TUICO, CHODAWU na Vyama vingi ambavyo vyote vinasimama wafanyakazi katika Taasisi binafsi?

Kweli hakuna Umoja wowote unaoweza kuundwa kwa ajili ya kuwawakilisha hili kundi lilosahaulika la wafanyakazi wasio na Akira kutoka Taasisi binafsi kuwasilisha ombi hili kwa Mama ili waruhusiwe kuchukua malikbikizo Yao kwenye hizo taasisi za hifadhi ya Jamii..

Nimekuja nikisikia Mh Jenista Mhagama akisema anatetea wanyonge? Ni wanyonge gani anaowasema Kama siyo Hawa walioathirika kwa kukosa ajira toka sekta binafsi?

TUCTA hamkuwatendea haki wafanyakazi wa sekta binafsi kwa kutoliona Hilo na kuwasilisha mahitaji yenu ya Watu waliopo kwenye ajira na ambao wanalilia kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kuwasahau hawa waliowengi ambao wamekuwa wakikosa wakuwasemea.

Ifike mahala Serikali ichunguze madhara ya Corona kwa watumishi wa sekta binafsi na Ione jinsi ya kurekebisha Sheria kandamizi ya kumlazimisha Mtu awe na umri wa miaka 55 ndiyo aweze kuchukua fao Hilo... Nani anajua ya kesho?

Kama wameweza kuwafungulia Akaunti zikizokuwa zimefungwa na TRA naamini na hili limawezekana kulifanyia kazi .

Shime viongozi unyesheni uteteze wa wananchi wanyonge kwa vitendo na siyo kwa maneno yasiyoakisi uhalisia.

Nawasilisha

Cc. Rais wa TUCTA
 
Katika maadhimisho ya Mei Mosi katika maombi yaliyowasilishwa kwa Rais Wetu Rais wa Tucta hakuzungumza lolote juu ya FAO la kujitoa NSSF baadala yake alijikita kuzungumza matakwa ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika taasisi za Imma tu.

Nilijiuliza maswali mengi sana na mojawapo lilikuwa hivi TUCTA inafahamu kuwa Taasisi zilizoathirika na upunguzwaji wafanyakazi ikiwa Ni pamoja na baadhi kufunga oparesheni zao Tanzania Ni Taasisi na Makampuni binafsi? Je, wale wafanyakazi ambao hawajafikia huo umri wa kustaafu wanadai Hela Nyingi kwenye Hiyo mifuko ya Hifadhi ya Jamii?

Kweli TUCTA ilishindwa kuliangalia Hilo la kuwa sehemu ya hoja ya kuiwasilisha kwa Mama ili Hawa wahanga waruhusiwe kuchukua mafao Yao wakajifie Huko mbele?

Kweli TUCTA ilishindwa kujua kuwa taasisi binafsi imeathirika mno na watumishi wao wapo majumbani bila ajila Wala biashara huku wakiwa na fedha zao Nyingi zilizo kwenye hizo taasisi?

Kweli TUCTA imeshindwa kukuona Hilo ilihali inapokea Michango mingi ya wanachama kupitia TUICO, CHODAWU na Vyama vingi ambavyo vyote vinasimama wafanyakazi katika Taasisi binafsi?

Kweli hakuna Umoja wowote unaoweza kuundwa kwa ajili ya kuwawakilisha hili kundi lilosahaulika la wafanyakazi wasio na Akira kutoka Taasisi binafsi kuwasilisha ombi hili kwa Mama ili waruhusiwe kuchukua malikbikizo Yao kwenye hizo taasisi za hifadhi ya Jamii..

Nimekuja nikisikia Mh Jenista Mhagama akisema anatetea wanyonge? Ni wanyonge gani anaowasema Kama siyo Hawa walioathirika kwa kukosa ajira toka sekta binafsi?

TUCTA hamkuwatendea haki wafanyakazi wa sekta binafsi kwa kutoliona Hilo na kuwasilisha mahitaji yenu ya Watu waliopo kwenye ajira na ambao wanalilia kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kuwasahau hawa waliowengi ambao wamekuwa wakikosa wakuwasemea.

Ifike mahala Serikali ichunguze madhara ya Corona kwa watumishi wa sekta binafsi na Ione jinsi ya kurekebisha Sheria kandamizi ya kumlazimisha Mtu awe na umri wa miaka 55 ndiyo aweze kuchukua fao Hilo... Nani anajua ya kesho?

Kama wameweza kuwafungulia Akaunti zikizokuwa zimefungwa na TRA naamini na hili limawezekana kulifanyia kazi .

Shime viongozi unyesheni uteteze wa wananchi wanyonge kwa vitendo na siyo kwa maneno yasiyoakisi uhalisia.

Nawasilisha

Cc. Rais wa TUCTA
Fao la kujitoa ni kama 'Lipo' lakini siyo kwa kila mtu.

Ila uweze kulipata inakupasa:

  • Kwanza kazi unayofanya isiwe kazi ya kitaaluma
  • Pili, Mhusika asiwe aliyejiuzulu kazi mwenyewe
  • Yaani, Mnufaika ni yule aliyefukuzwa kazi au kafika mwisho wa mkataba na kazi yake siyo ya kitaalamu.
  • Baada ya kupoteza kazi, fuatilia mafao yako ndani ya miezi 6 tu.

Kwa kawaida, ukiwa na sifa hizo unapata pesa zako.
 
Fao la kujitoa ni kama 'Lipo' lakini siyo kwa kila mtu.

Ila uweze kulipata inakupasa:

  • Kwanza kazi unayofanya isiwe kazi ya kitaaluma
  • Pili, Mhusika asiwe aliyejiuzulu kazi mwenyewe
  • Yaani, Mnufaika ni yule aliyefukuzwa kazi au kafika mwisho wa mkataba na kazi yake siyo ya kitaalamu.
  • Baada ya kupoteza kazi, fuatilia mafao yako ndani ya miezi 6 tu.

Kwa kawaida, ukiwa na sifa hizo unapata pesa zako.
Mkuu vigezo vinavyotumika kuwa Mfanyakazi Ana taaluma halifuatwi Ila kwa ambao wamenyimwa wengi wananyimwa kwa kuangalia ukubwa wa Mchango unaowasilishwa na Mwajiri wako.. hicho ndicho kigezo kinachotumika Kama Mtu Ana utaluma?

Nina mfano hai.. Kuna mdau alikuwa just mare form Six alikini alibahatika kuajiriwa kwenye taasisi Moja wakawa wanamlipa Mshahara Mkubwa mwisho wa siku akawa ameaacumulate mpunga Mkubwa sana NSSF siku mkataba wake ulipositishwa na kufaili madai ilimchukuwa zaidi ya miezi sita kufanikisha dai lake huku hao watumishi wa NSSF wakimpiga danadana kuwa Mtu wa elimu ya form six hawexi lipwa Mshahara huo Hadi alimporidhia kutoa fungu la kumi ndiyo akafanikiwa.

Sasa swali Taaluma kwa mjibu wa hiyo sheria ya NSSF Ina maana Cheri cha degree yoyote au ni uzoefu alioupata kazini?
Kama Maana yake ni Cheri Cha ngazi yoyote wangapi wapo mtaani na hivyo vyeti Lakini hawana hiyo Kazi?

Iweje umuadhibu mtu ambaye anesitishiwa ajira na mwajiri kuwa bado anauwezo wa kupata ajira wakati Hata waliopo mtaani wenye Sifa Kama zake hawana ajira?

Na Kama ni mzoefu wa sekta binfasi Wengi walioachishwa kazi hawaajiriki Tena either by their age au kazi wakizokuwa wabazifanya hazipo sokoni Tena huoni kuwaadhibu kwa kutumia Sifa ambazo hujazitengezea ajira ni unyanyasaji?

Ndiyo Maana tunaomba kuwepo na Watu wanaoweza wakilisha hili kundi ambalo kwa uwazo limekosa wa kukisemea keep zake..
 
Mkuu vigezo vinavyotumika kuwa Mfanyakazi Ana taaluma halifuatwi Ila kwa ambao wamenyimwa wengi wananyimwa kwa kuangalia ukubwa wa Mchango unaowasilishwa na Mwajiri wako.. hicho ndicho kigezo kinachotumika Kama Mtu Ana utaluma?

Nina mfano hai.. Kuna mdau alikuwa just mare form Six alikini alibahatika kuajiriwa kwenye taasisi Moja wakawa wanamlipa Mshahara Mkubwa mwisho wa siku akawa ameaacumulate mpunga Mkubwa sana NSSF siku mkataba wake ulipositishwa na kufaili madai ilimchukuwa zaidi ya miezi sita kufanikisha dai lake huku hao watumishi wa NSSF wakimpiga danadana kuwa Mtu wa elimu ya form six hawexi lipwa Mshahara huo Hadi alimporidhia kutoa fungu la kumi ndiyo akafanikiwa.

Sasa swali Taaluma kwa mjibu wa hiyo sheria ya NSSF Ina maana Cheri cha degree yoyote au ni uzoefu alioupata kazini?
Kama Maana yake ni Cheri Cha ngazi yoyote wangapi wapo mtaani na hivyo vyeti Lakini hawana hiyo Kazi?

Iweje umuadhibu mtu ambaye anesitishiwa ajira na mwajiri kuwa bado anauwezo wa kupata ajira wakati Hata waliopo mtaani wenye Sifa Kama zake hawana ajira?

Na Kama ni mzoefu wa sekta binfasi Wengi walioachishwa kazi hawaajiriki Tena either by their age au kazi wakizokuwa wabazifanya hazipo sokoni Tena huoni kuwaadhibu kwa kutumia Sifa ambazo hujazitengezea ajira ni unyanyasaji?

Ndiyo Maana tunaomba kuwepo na Watu wanaoweza wakilisha hili kundi ambalo kwa uwazo limekosa wa kukisemea keep zake..
Nadhani hapa tunazungumzia kupewa mafao au kutokupewa.

Suala la DANADANA hakuna asiyepigwa.

Hata wastaafu kabisa wenye miaka 60 na sifa za kupewa pension wanakula DANADANA kama kawaida.

Kwahiyo Danadana ni tatizo lingine tofauti kabisa.
 
Hivi Pension ilivyoanzishwa au Madhumuni ya Pension yalikuwa ni nini ?

Pili kuna kitu kinachoitwa Unemployment Benefit (nadhani hio ndio ina madhumuni tofauti ila kwa nchi kama hii ambayo keki yake inaliwa na wachache ni vigumu kufanyika) kwa ufupi kufanya pension ya mtu kama unemployment benefit itakuwa haukidhi madhumuni ya pension....
 
Hivi Pension ilivyoanzishwa au Madhumuni ya Pension yalikuwa ni nini ?

Pili kuna kitu kinachoitwa Unemployment Benefit (nadhani hio ndio ina madhumuni tofauti ila kwa nchi kama hii ambayo keki yake inaliwa na wachache ni vigumu kufanyika) kwa ufupi kufanya pension ya mtu kama unemployment benefit itakuwa haukidhi madhumuni ya pension....
Pension Ni tofauti na FAO la kujitoa...

Pension inafanya kazi kwa Mfanyakazi katika Sekta za Umma. Anayefanya kazi katika taasisi za serikali....

Ndiyo Maana kuna mifuko miwili ambayo moja inaratibu wafanyakazi katika Ajira za Serikalini na NSSF Ambayo inaratibu wafanyakazi wote ambao wapo katika sekta binafsi..

Kutreat kundi la wafanyakazi wa sekta binafsi Kama wafanyakazi wa Umma siyo sawa...

Ni hivi karibuni tu tumeona wakitumbuliwa Lakini iliaminika kuwa Mfanyakazi wa selikalini ataondolewa kwenye ajira endapo kwa sabAbu za kitabibu au kustaafu ambapo akifikia ukomo huo yupo eligible kwa kulipa Pension..

Ila kundi hili la wafanyakazi wa sekta binafsi kuwalazimisha kusubiria Hadi miaka afikishe 55 awe na Ajira au asiwe na Ajira ndiyo aweze kuchukua mpunga wake siyo haki za kibinadamu kabisa.

Mfano Sheria ya NSSF unasema Mtu atakuwa eligible kuqualify kulipwa pension yake akiwa amechangia kwa mfululizo Michango 180 yaani miaka kumi na tano..

Sasa kwa wale wafanyakazi wa private unakuta amequalify kwenye hiyo criteria ya kuchangia miaka 15 akiwa na umri wa hardly 40 years of age Sasa Kwani asinufaike kwa umri huo badala yake asubirie another 15 years to be eligible?

Tushikamane hii sheria kandamizi iondolewe...

Hivi mwajiriwa wa Private Sector Ana tofauti gani na Mfanyakazi ya Ubunge!

Why wao wakimaliza miaka Yao Mitano wanalipwa na Wengine on the same industry wanaambiwa have to wait until 55
 
Mkuu vigezo vinavyotumika kuwa Mfanyakazi Ana taaluma halifuatwi Ila kwa ambao wamenyimwa wengi wananyimwa kwa kuangalia ukubwa wa Mchango unaowasilishwa na Mwajiri wako.. hicho ndicho kigezo kinachotumika Kama Mtu Ana utaluma?

Nina mfano hai.. Kuna mdau alikuwa just mare form Six alikini alibahatika kuajiriwa kwenye taasisi Moja wakawa wanamlipa Mshahara Mkubwa mwisho wa siku akawa ameaacumulate mpunga Mkubwa sana NSSF siku mkataba wake ulipositishwa na kufaili madai ilimchukuwa zaidi ya miezi sita kufanikisha dai lake huku hao watumishi wa NSSF wakimpiga danadana kuwa Mtu wa elimu ya form six hawexi lipwa Mshahara huo Hadi alimporidhia kutoa fungu la kumi ndiyo akafanikiwa.

Sasa swali Taaluma kwa mjibu wa hiyo sheria ya NSSF Ina maana Cheri cha degree yoyote au ni uzoefu alioupata kazini?
Kama Maana yake ni Cheri Cha ngazi yoyote wangapi wapo mtaani na hivyo vyeti Lakini hawana hiyo Kazi?

Iweje umuadhibu mtu ambaye anesitishiwa ajira na mwajiri kuwa bado anauwezo wa kupata ajira wakati Hata waliopo mtaani wenye Sifa Kama zake hawana ajira?

Na Kama ni mzoefu wa sekta binfasi Wengi walioachishwa kazi hawaajiriki Tena either by their age au kazi wakizokuwa wabazifanya hazipo sokoni Tena huoni kuwaadhibu kwa kutumia Sifa ambazo hujazitengezea ajira ni unyanyasaji?

Ndiyo Maana tunaomba kuwepo na Watu wanaoweza wakilisha hili kundi ambalo kwa uwazo limekosa wa kukisemea keep zake..
Pale Nssf kuna dada wa data entry huyo Dada ni noma, mosi haingizi michango ya makampuni yaani analinga sana, pili meneja wa Nssf Temeke anambeba na pia ni kikwazo sana huyu Dada kwa kukwamisha madai ya watu, lakini viongozi wa Nssf Temeke bado wanamlinda, mfano nssf wanawaambia watu wana toa huduma ya bima ya matibabu cha ajabu ni kwamba mwajiri anaingiza michango yaani analipa zile statutory contributions ukienda hospital unaambiwa mwajiri wako hajaingiza michango wako, wakati huo michango imeshalipwa tena huyu mtu anaye itwa Sifaeli wakati mwingine a naweza asiingiza michango ya makampuni hadi mwaka mzima.
 
Katika maadhimisho ya Mei Mosi katika maombi yaliyowasilishwa kwa Rais Wetu Rais wa Tucta hakuzungumza lolote juu ya FAO la kujitoa NSSF baadala yake alijikita kuzungumza matakwa ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika taasisi za Imma tu.

Nilijiuliza maswali mengi sana na mojawapo lilikuwa hivi TUCTA inafahamu kuwa Taasisi zilizoathirika na upunguzwaji wafanyakazi ikiwa Ni pamoja na baadhi kufunga oparesheni zao Tanzania Ni Taasisi na Makampuni binafsi? Je, wale wafanyakazi ambao hawajafikia huo umri wa kustaafu wanadai Hela Nyingi kwenye Hiyo mifuko ya Hifadhi ya Jamii?

Kweli TUCTA ilishindwa kuliangalia Hilo la kuwa sehemu ya hoja ya kuiwasilisha kwa Mama ili Hawa wahanga waruhusiwe kuchukua mafao Yao wakajifie Huko mbele?

Kweli TUCTA ilishindwa kujua kuwa taasisi binafsi imeathirika mno na watumishi wao wapo majumbani bila ajila Wala biashara huku wakiwa na fedha zao Nyingi zilizo kwenye hizo taasisi?

Kweli TUCTA imeshindwa kukuona Hilo ilihali inapokea Michango mingi ya wanachama kupitia TUICO, CHODAWU na Vyama vingi ambavyo vyote vinasimama wafanyakazi katika Taasisi binafsi?

Kweli hakuna Umoja wowote unaoweza kuundwa kwa ajili ya kuwawakilisha hili kundi lilosahaulika la wafanyakazi wasio na Akira kutoka Taasisi binafsi kuwasilisha ombi hili kwa Mama ili waruhusiwe kuchukua malikbikizo Yao kwenye hizo taasisi za hifadhi ya Jamii..

Nimekuja nikisikia Mh Jenista Mhagama akisema anatetea wanyonge? Ni wanyonge gani anaowasema Kama siyo Hawa walioathirika kwa kukosa ajira toka sekta binafsi?

TUCTA hamkuwatendea haki wafanyakazi wa sekta binafsi kwa kutoliona Hilo na kuwasilisha mahitaji yenu ya Watu waliopo kwenye ajira na ambao wanalilia kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kuwasahau hawa waliowengi ambao wamekuwa wakikosa wakuwasemea.

Ifike mahala Serikali ichunguze madhara ya Corona kwa watumishi wa sekta binafsi na Ione jinsi ya kurekebisha Sheria kandamizi ya kumlazimisha Mtu awe na umri wa miaka 55 ndiyo aweze kuchukua fao Hilo... Nani anajua ya kesho?

Kama wameweza kuwafungulia Akaunti zikizokuwa zimefungwa na TRA naamini na hili limawezekana kulifanyia kazi .

Shime viongozi unyesheni uteteze wa wananchi wanyonge kwa vitendo na siyo kwa maneno yasiyoakisi uhalisia.

Nawasilisha

Cc. Rais wa TUCTA

Wafanyakazi wa sector binafsi mikataba yao ni ya kimagumashi ,hakuna garantii tofauti na serikalini una uhakika wa ajira mpaka kustaafu.

Kwahiyo wafanyakazi wa sector binafsi wanafanya kwa lengo endapo mkataba ukiisha na sijaongezewa basi fedha za nssf zinanipush kuanzisha biashara,cha kushangaza nazo Jiwe alizipiga pini..

Mh SSh jaribu kuliona hilo wafanyakazi wapewe fao la kujitoa endapo ajira zikikwama,sio kwamba tunakufundisha kazi ,hapana kipindi cha kikwete lilikuwepo ila alivyoingia Mwendazake NZIRANKENDE akalifutilia mbali.
 
NSSF ni kwa ajili ya sector binafsi ambako mfanyakazi anaacha kazi siku na saa yeyote hivyo uwepo wa fao la kujitoa haukwepeki tofauti na waajiriwa wa serikalini. Kama mama hapendi pesa za dhuruma basi itapendeza akiruhusu fao la kujitoa ili kuondoa manung'uniko waliyoanayo wahanga wa hili toka enzi za Magufuli
 
Miaka 10 imagine itaenda, fao la kujitoa ni ndoto..
Bado waliweka 1/3 sijui ya Michango...
JK was the best Presd ever....
 
Miaka 10 imagine itaenda, fao la kujitoa ni ndoto..
Bado waliweka 1/3 sijui ya Michango...
JK was the best Presd ever....
Yule mkwere acheni mwenyezi mungu ampe maisha marefu tu ndilo tunaloweza kumuombea kwa sasa, ila jiwe astakafulilah!!
 
Pale Nssf kuna dada wa data entry huyo Dada ni noma, mosi haingizi michango ya makampuni yaani analinga sana, pili meneja wa Nssf Temeke anambeba na pia ni kikwazo sana huyu Dada kwa kukwamisha madai ya watu, lakini viongozi wa Nssf Temeke bado wanamlinda, mfano nssf wanawaambia watu wana toa huduma ya bima ya matibabu cha ajabu ni kwamba mwajiri anaingiza michango yaani analipa zile statutory contributions ukienda hospital unaambiwa mwajiri wako hajaingiza michango wako, wakati huo michango imeshalipwa tena huyu mtu anaye itwa Sifaeli wakati mwingine a naweza asiingiza michango ya makampuni hadi mwaka mzima.
Huyo meneja ni kimeo, mchawi na mla rushwa maarufu

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu vigezo vinavyotumika kuwa Mfanyakazi Ana taaluma halifuatwi Ila kwa ambao wamenyimwa wengi wananyimwa kwa kuangalia ukubwa wa Mchango unaowasilishwa na Mwajiri wako.. hicho ndicho kigezo kinachotumika Kama Mtu Ana utaluma?

Nina mfano hai.. Kuna mdau alikuwa just mare form Six alikini alibahatika kuajiriwa kwenye taasisi Moja wakawa wanamlipa Mshahara Mkubwa mwisho wa siku akawa ameaacumulate mpunga Mkubwa sana NSSF siku mkataba wake ulipositishwa na kufaili madai ilimchukuwa zaidi ya miezi sita kufanikisha dai lake huku hao watumishi wa NSSF wakimpiga danadana kuwa Mtu wa elimu ya form six hawexi lipwa Mshahara huo Hadi alimporidhia kutoa fungu la kumi ndiyo akafanikiwa.

Sasa swali Taaluma kwa mjibu wa hiyo sheria ya NSSF Ina maana Cheri cha degree yoyote au ni uzoefu alioupata kazini?
Kama Maana yake ni Cheri Cha ngazi yoyote wangapi wapo mtaani na hivyo vyeti Lakini hawana hiyo Kazi?

Iweje umuadhibu mtu ambaye anesitishiwa ajira na mwajiri kuwa bado anauwezo wa kupata ajira wakati Hata waliopo mtaani wenye Sifa Kama zake hawana ajira?

Na Kama ni mzoefu wa sekta binfasi Wengi walioachishwa kazi hawaajiriki Tena either by their age au kazi wakizokuwa wabazifanya hazipo sokoni Tena huoni kuwaadhibu kwa kutumia Sifa ambazo hujazitengezea ajira ni unyanyasaji?

Ndiyo Maana tunaomba kuwepo na Watu wanaoweza wakilisha hili kundi ambalo kwa uwazo limekosa wa kukisemea keep zake..
Wacha ni MPM Mbunge KIshimba au DR, Kasheku Musukuma watusaidie kupush agenda
 
Back
Top Bottom