Kwanini Wadada Mnajisendoff Majumbani kwenu hata bila sherehe?

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Hivi Kwa nini siku hizi Wadada wetu wanapenda kujisendoff kutoka Kwa familia yao hata kabla ya Muda kufika? Je ni kutokana na Utandawazi? au Mihemuko ya Mungiliano wa Uhuru Jinga?

Mifano Michache kwa nini wewe binti unasoma certificate lakini unaamua kuhama nyumbani kwa wazazi wako unaamua kwenda kupanga? Unajua Madhara ya Maamuzi yako kwenye mahusiano yako ya Kindoa? Hivi Mnajua kuwa vyanzo vya wingi wa Single Mother kinatokana na Wadada wengi kujisendoff bila kufikia hali ha;isi ya Kuagwa?

Tujadili hili kwa mapana yake.....
 
Ngoja wahusika waje watupe sababu.
Hivi Kwa nini siku hizi Wadada wetu wanapenda kujisendoff kutoka Kwa familia yao hata kabla ya Muda kufika? Je ni kutokana na Utandawazi? au Mihemuko ya Mungiliano wa Uhuru Jinga?

Mifano Michache kwa nini wewe binti unasoma certificate lakini unaamua kuhama nyumbani kwa wazazi wako unaamua kwenda kupanga? Unajua Madhara ya Maamuzi yako kwenye mahusiano yako ya Kindoa? Hivi Mnajua kuwa vyanzo vya wingi wa Single Mother kinatokana na Wadada wengi kujisendoff bila kufikia hali ha;isi ya Kuagwa?

Tujadili hili kwa mapana yake.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
JF KUMBE BADO KUNA WATU WENYE AKILI HIVI. ..

UMEMALIZA KILA KITU. .. SASA HIVI KUMEJAA BABA POA... NDIO CHANZO CHA WATOTO WA KIKE KUPOTEA...
 
Hivi Kwa nini siku hizi Wadada wetu wanapenda kujisendoff kutoka Kwa familia yao hata kabla ya Muda kufika? Je ni kutokana na Utandawazi? au Mihemuko ya Mungiliano wa Uhuru Jinga?

Mifano Michache kwa nini wewe binti unasoma certificate lakini unaamua kuhama nyumbani kwa wazazi wako unaamua kwenda kupanga? Unajua Madhara ya Maamuzi yako kwenye mahusiano yako ya Kindoa? Hivi Mnajua kuwa vyanzo vya wingi wa Single Mother kinatokana na Wadada wengi kujisendoff bila kufikia hali ha;isi ya Kuagwa?

Tujadili hili kwa mapana yake.....
Wee jamaa bhanaaa....
Mungu anakuona ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea jambo la msingi sana, lakini hali imebadilika sana kwa sasa. Vipi binti anayekwenda kusoma mbali au akapata ajira mbali na nyumbani?
 
Issue ni mabinti kujitambua basi, binafsi siyo kwamba nimependa kupanga, kwanza hostel zilijaa, na nilipofikia ni mbali na chuo, nikaona heka heka za bajaji na haice siziwezi bora nipange tu karibu na chuo.

Kuna mmoja tumepanga wote nyumba moja, juzi naenda kusafisha chumba changu, nakuta anafua nguo za mpangaji mwenzake kuniona tu kashtuka, na vyombo kaosha.
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
UMEONGEA VIZURI SANA KAMA BABA NA PIA KAMA MZAZI. HATA NILIPOKUWA KIJANA NA HATA SASA HIVI NIKIONA BINTI HAJAOLEWA KAPANGA (LABDA KAMA KAPATA AJIRA MBALI NA NYUMBANI SAWA). LAKINI NYUMBANI KWA WAZAZI NI HAPO ETI KAPANGA ALAFU KIDUME UNAONA UMEPATA MCHUMBA UMELIWA!
 
Hila wakati mwingine uduni wa familia ya huyo binti unaweza kumfanya bora atoke hapo NYUMBANI akapange. Unakuta wazazi hadi binti kakua na kujitambua bado anaishi na kulala sebureni au na utitili wa wadogo zake nyumba yenyewe ni chumba kimoja au viwili kimoja cha wazazi kingine wameswekwa jinsia zoote chumba kimoja bila kujali umri. Katika mazingira kama haya bora binti sepa kapange mwaya! maana hata wazazi wako wanakudhalilisha. WAZAZI KAMA UNA BINTI KAKUA MPE CHUMBA CHAKE! KAMA HUWEZI MWACHE AKAPANGE!
 
Kuna viasilia vya nguvu vya mfumo dume katika hoja hii - ambapo binti hata akiwa mtu mzima ni lazima athibitiwe na wazazi wakati kijana wa kiume ndiye tu mwenye haki ya kuwa huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa binti unajilinganisha na mtoto wa kiume? Katika mazingira hatarishi yenye changamoto za kiuchumi sana sana binti kitega uchumi anachotegemea na ndo hicho hicho kitamuangamiza kama sio kushusha thamani yake ni "papuchi". Bila kumungunya maneno binti akitoka nyumbani kwenda kupanga anaenda kuishi kwa kuuza papuchi " fullstop". Bora akae nyumbani kama mazingira ya nyumbani yanaruhusu atakuwa nafasi kubwa ya kujijenga kiuchumi bila kuharibu utu wake.
 
Issue ni mabinti kujitambua basi, binafsi siyo kwamba nimependa kupanga, kwanza hostel zilijaa, na nilipofikia ni mbali na chuo, nikaona heka heka za bajaji na haice siziwezi bora nipange tu karibu na chuo.

Kuna mmoja tumepanga wote nyumba moja, juzi naenda kusafisha chumba changu, nakuta anafua nguo za mpangaji mwenzake kuniona tu kashtuka, na vyombo kaosha.
Kodi inayokuja hatalipa na atahamisha vitu vyake wakaishi pamoja na mpangaji mwenzie
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
Tuunde kakikundi ka kuwachapa Viboko tu
 
Back
Top Bottom