Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu Mimi ni miongoni ambao siwapendi paka kidogo, kwa kuwa siamini hawa Mapaka ni wema kabisa hasa hii mipaka Pori ambayo kazi yake ni kuzurura tu huwa muda mwingine nayaona kama mashirikina tu
Naomba mwenye u juzi wa kuua haya Mapaka. Sibarikiwi kuyaona paka ambaye sijawahi kumfuga
Ndugu @ Mshana ebu nisaidie
Nawachukia Mapaka Pori.msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mwenye u juzi wa kuua haya Mapaka. Sibarikiwi kuyaona paka ambaye sijawahi kumfuga
Ndugu @ Mshana ebu nisaidie
Nawachukia Mapaka Pori.msaada
Sent using Jamii Forums mobile app