Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Kwa wale waliobahatika kuingia Mahabusu watakubaliana na Mimi kuwa kila Mahabusu kuna wafungwa ambao muda wote hawataki kutoka Mahabusu na muda wote wapo kwa ajili ya kuwapa na kusikiliza mshitakiwa ameletwa magereza kwa kosa Gani?
Na pale anaposema ukweli wake na kama kweli hahusiki removal order haichelewi.
Kwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na pale anaposema ukweli wake na kama kweli hahusiki removal order haichelewi.
Kwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app