Naomba kujuzwa dawa ya Gauti

Naomba kujuzwa dawa ya Gauti

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,937
Wakuu hivi majuzi nikienda kufanya checkup baada ya kusikia maumivu kwenye goti walipopima nikaambiwa uric acid imezidi nikatumia dawa walizonipa basi baada kama wiki pakatulia sasa nikapiga vyombo aisee baada ya siku mbili maumivu ya me rudi kwa kasi ya hatare.

Najua humu kuna waganga wa kila namna msaada bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na ushauri wa kitabibu hapo juu:

Naweza kukuambia jambo moja na utakubaliana nami: you are a little overweight, right?

Basi ukitaka kuondokana na gout for good punguza uzito wako.

Kuna namna moja tu effective ya kupunguza uzito: sio mazoezi wala nini bali kupunguza msosi.

Acha nyama kwa wingi. Acha bia. Bia na nyama zina purines kwa wingi. Hizi purines ni precursors za uric acid. Uric acid ziki crystallize kwenye tendons ndio huleta maumivu makali sana.

Acha sukari. Acha mafuta kwenye chakula. Hizi ndio njia madhubuti za kupunguza unene ambao ndio chanzo cha gout.

Jua kwamba fat is inflammatory.

Kwa ajili ya kutuliza tumia dawa kama hapo juu. Zipo dawa za asili zinafaa:
Kula tangawizi fresh kwa wingi. Pia kunywa juisi ya limao na ganda zake mara 3 kwa kutwa.

Punguza unene au kitambi kwa suluhisho la kudumu.
 
In addition to that, you need to avoid red meat, sugary drinks and alcohol at least until you're through with the treatment.
Nikataze vyote ila niachie nyama choma na beer na kitimoto roast. Hata uniambie niache nitakuitikia tu lkn muda wa beer ukifika na nyama choma ntakula
 
Mara moja kwa siku 14 , doze yk ikoje, kidonge kimoja kwa cku 14 ,fafanua mkuu
Pole ndugu, hiyo ilishanitokea Mimi hizo jell hazikunisaidia, ila Dk mmoja akanishauri nitafute vidonge vya Omeflex nakunywa Mara moja kwa simu 14, amini hili tatizo limeisha kabisa, tafuta hivyo vidonge vinauzwa ghali kidogo, ila hutajutia,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikataze vyote ila niachie nyama choma na beer na kitimoto roast.
Hata uniambie niache nitakuitikia tu lkn muda wa beer ukifika na nyama choma ntakula

Bado hayajakufika, utaacha tu.
 
Yaani kidonge kimoja mkuu tu kwa wiki mbili huku ukiacha kula vyakula gani?
Pole ndugu, hiyo ilishanitokea Mimi hizo jell hazikunisaidia, ila Dk mmoja akanishauri nitafute vidonge vya Omeflex nakunywa Mara moja kwa simu 14, amini hili tatizo limeisha kabisa, tafuta hivyo vidonge vinauzwa ghali kidogo, ila hutajutia,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu limao na tangawiz nichanganye? Je limao nisage na ujani ukiwiti wake?
Pamoja na ushauri wa kitabibu hapo juu:
Naweza kukuambia jambo moja na utakubaliana nami: you are a little overweight, right?

Basi ukitaka kuondokana na gout for good punguza uzito wako...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom