Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Hata mi ningezikataa
sawa wewe mwenye akili ya kiulaya ila nimesema "nadhani ni wakati sasa tukiwa tunajadili ni jinsi gani ya kuushinda huu ugonjwa pia tujadili ni jinsi gAni ya kuishi na huu ugonjwa kama ilivyo UKIMWI na malaria."
ambao wanasababisha ugonjwa unaoitwa.....!?😇😇😇😇🤔🤔Covid-19 ni kifupi Cha maneno Corona Virus Diseases 2019.