wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Sijasema wafeKwahioo WAFE JTATU-JMOSI
LOH
Jamaa kaomba msaada kwa mbinu ya kuwalazimisha. Subiri baada ya muda wakimpa zile dollari utaona anatangaza watu tujifungie ndani.Wameshasema jamaa ni jeur, anajimwambafy. Sasa wanasubir tatizo liwe kubwa tuanze kuomba misaada.
Na atakayeumia hapa ni yule yule mnyonge. Wao wameshakimbilia dodoma kujificha.
Nilitegemea jna Rais aseme mkakati alyoweka kupambana na hili janga mfano kuagiza mashine na vifaa vya kupima huu ugonjwa ili ziwekwe kwenye kila zahanati. Hata bashite kamzidi akili katika hili. Bashite kwapamatumain watu wake kuwa kwaagiziavifaa vya kupima ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora tukamuiga Mseven tusimungunyemungunye maneno kuhofia misaada, hiyo misaada itatoka wapi wakati hata wao wanalia na Corona? Dawa ni kufunga mipaka tu.Jamaa kaomba msaada kwa mbinu ya kuwalazimisha. Subiri baada ya muda wakimpa zile dollari utaona anatangaza watu tujifungie ndani.
Hizo hizo wanazotumia watugawie na siye. Pia kuna zile zilizuiliwa kwa barua ya Zitto, wakitoa tunafuata mdundo wao, wasipotupatia tunasubiria natural selection.N
Ni bora tukamuiga Mseven tusimungunyemungunye maneno kuhofia misaada, hiyo misaada itatoka wapi wakati hata wao wanalia na Corona?Dawa ni kufunga mipaka tu
My foot
Mimi ombi langu tufunge mipaka kabisa hasa abiria toka nchi zenye ugonjwa.
Tuweke utaratibu wa kufanya mazishi kunapokuwa na misiba.
Sokoni kuwe na utaratibu wa kukaa mbali mbali, soko kama limebana waruhusu biasha kuwekwa hata nje lakini kwenye meza sio chini.
Ibada za kukusanya watu wengi zisitishwe, tyendeshe ibada kwa njia ya television, radio, na mitandao ya internet.
Sadaka watu watume kwa namba za simu au bank.
Vinginevyo kuna watu tutakuja kuonekana manabii bila ya sababu za msingi, maana hili gonjwa litakuja kutufanyia mabaya sana, Mungu atuepushie mbali huo msiba.
Angalia Italia, Spain, na Ufaransa.
Nchi tajiri kama France nao sasa hali tete kiasi kwamba jeshi limeingilia kati kusaidia kusafirisha wagonjwa na marehemu.
Mkuu tupendane! Hata hivyo thanks kwa mtazamo wako juu ya Corona.
Mawazo yako ni mazuri mkuu. Japo kwenye suala la kufunga mipaka Bado sikubaliani nalo kwa sasa maana nadhani Bado tunahitaji muingiliano na wenzetu katika kulisukuma gurudumu la maendeleo, inawezekana katika mipaka yetu kuweka vifaa madhubuti vya uchunguzi wa afya. Ili kutoruhusu wagonjwa kuingia nchini, ni mawazo yangu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo wewe unaamini sisi ndio tunaweza kuweka vifaa vizuri vya uchunguzi wa afya kuliko Marekani, Ufaransa, Italia, Spain na Uingereza?Mawazo yako ni mazuri mkuu. Japo kwenye suala la kufunga mipaka Bado sikubaliani nalo kwa sasa maana nadhani Bado tunahitaji muingiliano na wenzetu katika kulisukuma gurudumu la maendeleo, inawezekana katika mipaka yetu kuweka vifaa madhubuti vya uchunguzi wa afya. Ili kutoruhusu wagonjwa kuingia nchini, ni mawazo yangu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app