Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,024
ngoja PM akubambe utamdadavulia kiundani zaidi.Hakuna ugonjwa hapo.....hasahasa kwetu sisi waafrika
Kuwa na akiba ya maneno na ujifunze kuchuja maneno ya kutoa hadharani na kuyaacha nafsini. Watu wanateseka, wengine wanakufa ,kilio kila mahali lakini hujali labda mpaka familia yako wakiugua au kufariki ndio utapata akili.Hakuna ugonjwa hapo.....hasahasa kwetu sisi waafrika
Kuwa na akiba ya maneno na ujifunze kuchuja maneno ya kutoa hadharani na kuyaacha nafsini. Watu wanateseka, wengine wanakufa ,kilio kila mahali lakini hujali labda mpaka familia yako wakiugua au kufariki ndio utapata akili.
Bili zilishalipwa, sasa hivi ni maandalizi ya bill mpya.Kalipe bili Umechelewa tu hapa
Kwahioo WAFE JTATU-JMOSIJumapili kama hii watu wengi wamekaa majumbani maduka mitaani yamefungwa.
Ni ushauri wangu kwamba jumapili kama hizi au usiku wa kila siku au usiku wa weekend basi watu wanaohusika na udhibiti wa corona wangepita maeneo ya mikusanyiko kama kariakoo Dsm, Posta, masokoni, nchi nzima wakipuliza madawa ya kudhibiti corona, ili weekdays watu waingie makazini na amani.
Pia maofisi,mabenki, yangetumia muda wa weekend au baada ya kazi kupuliza madawa haya