Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 4,951
- 12,519
"Ukipenda Sana uwezo wa kufikiri unapungua"
We ulishapoteza???....Unayo?
.. mkuuu acha kunipa promo za ajabuMtafute creditanalyss
Maji ufata mkondo na tembo hasahau njia waliyopita.watakuwa watoto wapumbavu kama walivyo wapumbavu, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na mwana wa nyoka ni nyoka
Tusiwatenge ila tuishi nao tukitambua NI SIKIO LA KUFA...eleweni gist ya issue anayosema mleta post.Kila mwenye mapungufu angetengwa kutokana na mapungufu yake basi hata Mungu angeshatutenga na dunia hii tusipate hata bahati ya kuwahukumu wengine muda huu kwa kupost nyuzi kama hizi.
Mbona kama umepanic?huwa tunashangaa sana Mambo ya watu kwakua tunayajua..Mungu anatustiri...tungejua Yakwako mleta bandiko...nadhani usingeweka bandiko Tena..
Kuleta hizo case study za single mother..haimaanishi wote Ni wabaya..
Wewe kuoa bikwa na ndoa kudumu..haimaanishi wote walio OA bikara ndoa zilidumu..
Haimaanishi wote walio ambao Sio bikra ndoa hazijadumu..
Unajisifu na kujinadi Sana...ungali Bado hai?.. Unajitweza na kujiona upo juu Sana ingali hujafa?
Kama upo HAI.. anything can happen anytime..USIJIPE GUARANTEE YA MAISHAI.....BE CAREFUL with your words sir.
Huyu jamaa ana tatizo la 'kiakili' psychiatry ishu.
Maana yupo katika hallucinations kua bikra is everything.
Ni wa kumuacha tu kama sio kumpuuza.
Imagine . Aibu kubwa sana imagine uko kwenye hiyo sherehe aisee hata ubwabwa ningeacha niondoke zangu. Second hand embarrassment for Bibi harusiiiUngekuwa na busara ungemuacha na bikra mpaka baada ya kufunga ndoa. Baada ya kufunga ndoa na kuikuta bikra ndio ungeitisha kikao na kuongea maneno yako.
Una bahati Sana, ungekutana na wanaume shababi wangeinuka na kukuchapa makofi usingeendelea na hotuba yako.
Nikuulize wewe, nani anaathirika bikra ikitolewa? Bikra kila mtu anazaliwa na muda ukifika inatolewa/unaipoteza, shida Iko wapi?Mkuuu, muombaji na mtoaji nani anatakiwa kusisitizwa zaid, na athar nani anazipata zaidi??? Kibamia lazima kije kiwe kama mfano mkuu😆
Sawa msema ukweliAcha uongo hakuna kitu Kama hicho
Huyo alikudanganya ana bikra
lolKuna uzi huko alioa bikra na siku ya harusi akajulisha wazazi wa mke na waalikwa wote kua kamkuta mke na bikra.
Haya sasa, ndio maana me sitaki aijue. Asije kuja kukutana na thread za Joka Jeusi bure
Dia future husband tafadhali usije ukaifahamu jamiiforum.
khaaaaahNiwe mtu mzima mara ngapi? Mie nilishakuwa zilipendwa tangu wewe ukiwa kwenye sarawili za baba yako!
Acha kujikuta wewe ..huna uwezo wa kumuacha uyo manzi, utakufa..Ikipasuka nafuma upya.
Mwanaume hafungwi na muda wala kitu chochote.
Nimeshamwambia wife, siku akitaka kujifunza umalaya, kama atafanya umalaya kwa wiki nisijue basi namsamehe kwa kuwa kanizidi akili, lakini kama nitajua ndani ya siku saba nitamfukuza kama nilivyomuapia yeye, wazazi wake, Mungu wangu na nafsi yangu