1. Hakikisha na wewe ni bikra(hauwi chanzo cha kuharibu usichana au nafsi za wanawake/wasichana). Epuka hatia hii kwa gharama yoyote!

2. Usikatishwe tamaa kwamba wanawake bikra hawapo hasa katika kizazi hiki(Wapo ila kuwatafuta kwa akili zako utakesha,cha kufanya kama wewe ni mcha Mungu(usichanganye na mcha dini nazungumzia mcha Mungu na unahitaji mwanamke bikra ambaye nafsi yake haijaharibika) teta na Mungu akushushie mmojawapo maana wanawake hawa Mungu amewaclassify kwamba ni highly self-aware ladies,they are very rare and innocent deserving to be married by only God fearing&visionary men)

3. Mungu akikushushia Mwanamke bikra wa mwili au nafsi mtunze kwa nguvu zako zote(Muoneshe Mungu kwamba unaheshimu zawadi hiyo adimu aliyokukirimia)

4. Usije kujichanganya ukamcheat. Hataona tena Thamani ya yeye kujitunza na kuwa msafi kwa ajili yako halafu wewe unaenda kugaagaga kwenye matope huko nje kisha uje umchafue. Kwa kifupi siku utakayomcheat ndivyo siku utakayokuwa umeongeza idadi ya wake za watu 'Malaya'. Atakuwa na uchungu na kisha ataanza kutafuta namna ya kulipa kisasi kwa kumkubalia kila Mwanaume anayemtongoza na hata kujitongozesha inapobidi. Nakuhakikishia,ukimcheat tu,hesabu huyo sio Mke wako tena bali atakuwa Mke wa Jumuiya!

NB: Acha kuota ndoto za alinacha, kutaka kitu ambacho hustahili(hujajiweka mkao wa kukipata). Mwanamke bikra plus mcha Mungu analetwa na Mungu mwenyewe. Na ndio tafsiri hasa ya lile andiko kwamba
"Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana"( MITHALI 19:14). Mpe Mungu sababu ya kukupa Mke wa aina hii.

Nasisitiza usitumie trial and error kutafuta Mke bikra(Mwenye busara) utakesha my friend. INUA MACHO JUU. Teta na mwenye hatimiliki ya Wanawake wa aina hii(kama unaqualify hasa Kwa kigezo namba moja hapo juu) ili uufurahie uanaume wako ipasavyo!
 
1. Hakikisha na wewe ni bikra(hauwi chanzo cha kuharibu usichana au nafsi za wanawake/wasichana). Epuka hatia hii kwa gharama yoyote!

2. Usikatishwe tamaa kwamba wanawake bikra hawapo hasa katika kizazi hiki(Wapo ila kuwatafuta kwa akili zako utakesha,cha kufanya kama wewe ni mcha Mungu(usichanganye na mcha dini nazungumzia mcha Mungu na unahitaji mwanamke bikra ambaye nafsi yake haijaharibika) teta na Mungu akushushie mmojawapo maana wanawake hawa Mungu amewaclassify kwamba ni highly self-aware ladies,they are very rare and innocent deserving to be married by only God fearing&visionary men)

3. Mungu akikushushia Mwanamke bikra wa mwili au nafsi mtunze kwa nguvu zako zote(Muoneshe Mungu kwamba unaheshimu zawadi hiyo adimu aliyokukirimia)

4. Usije kujichanganya ukamcheat. Hataona tena Thamani ya yeye kujitunza na kuwa msafi kwa ajili yako halafu wewe unaenda kugaagaga kwenye matope huko nje kisha uje umchafue. Kwa kifupi siku utakayomcheat ndivyo siku utakayokuwa umeongeza idadi ya wake za watu 'Malaya'. Atakuwa na uchungu na kisha ataanza kutafuta namna ya kulipa kisasi kwa kumkubalia kila Mwanaume anayemtongoza na hata kujitongozesha inapobidi. Nakuhakikishia,ukimcheat tu,hesabu huyo sio Mke wako tena bali atakuwa Mke wa Jumuiya!

NB: Acha kuota ndoto za alinacha, kutaka kitu ambacho hustahili(hujajiweka mkao wa kukipata). Mwanamke bikra plus mcha Mungu analetwa na Mungu mwenyewe. Na ndio tafsiri hasa ya lile andiko kwamba
"Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana"( MITHALI 19:14). Mpe Mungu sababu ya kukupa Mke wa aina hii.

Nasisitiza usitumie trial and error kutafuta Mke bikra(Mwenye busara) utakesha my friend. INUA MACHO JUU. Teta na mwenye hatimiliki ya Wanawake wa aina hii(kama unaqualify hasa Kwa kigezo namba moja hapo juu) ili uufurahie uanaume wako ipasavyo!
Kanuni ya kuchoka/kukinai kitu haikwepeki, ata hivyo furaha hutafutwa kwa udi na uvumba ilihali huisha kwa muda mfupi tu

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wakuu!

Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.

Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.

Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.

Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.

Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.

Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.

Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Umemaliza Kila kitu atakayepinga hapa
Akili zake hazipo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako

Habarini Wakuu.

Naweza kuwa tofauti na wengi, Naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa. Lakini ninachojaribu kueleza hapa ni suala lenye manufaa kwa familia, jamii, taifa na dunia kwa ujumla. ni suala litakalo iweka dunia salama hasa katika kipengele cha mahusiano ndani ya ndoa.

Haijalishi tulikosea wapi na kujikwaa wapi. Makosa tuliyoyafanya tuhakikishe hayajitokezi kwa wana na binti zetu. Ili familia zetu ziweze kuwa bora na zenye baraka kwa Mungu.

Bikra ni alama aliyopewa mwanamke kuthibitisha kuwa hajaguswa na mwanaume. Kwa nini Mwanamke apewe alama hii? Nitakupa mfano, Ukienda kununua kitu dukani kuna alama fulani huwekwa katika kitu husika ikiashiria kitu hicho ni kipya. Ndivyo ilivyo kwa mwanamke, bikra ni uthibitisho namba moja kuonyesha mwanamke husika ni kigoli, mwanawali na ambaye hajaguswa. Mwanaume hajapewa alama hii kwani yeye hayupo kwaajili ya mwanamke bali mwanamke kwaajili ya mwanaume. Hivyo ni kusema mwanaume ndiye mwenye wajibu wakumtafuta mwanamke kama bidhaa yenye thamani kushinda zote duniani.

Ili ndoa zetu zidumu lazima jambo hili lizingatiwe. Watu wengi wanachukulia ni jambo jepesi lakini athari zake zinaonekana. Usishangae kusikia watu kudhihakiana kwa majina elfu. Mara kibamia, sijui Bwawa haya yote ni matokeo ya kuoa wanawake wasio bikra.

Tuje kwenye maandiko;
Kumbukumbu la torati 22:
13 Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,
14 kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
18 Basi wazee wa mji ule na wamtwae yule mtu mume na kumrudi,
19 wamtoze shekeli mia za fedha, wampe babaye yule kijana, kwa kuwa amemzulia jina baya mwanamwali wa Israeli; naye awe mkewe; hana ruhusa ya kumwacha siku zake zote.
20 Lakini likiwa ni kweli neno hili, la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira;
21 na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Aya hizo zinaonyesha jinsi gani Bikra ilivyomuhimu kwa watu makini. Mwanamke asiye na alama za ubikira humdhalilisha Baba yake kwani inatafsirika alifanya ukahaba katika nyumba ya baba yake. Au huenda Baba yake ndiye aliyembikiri.
Pia hufanya familia husika kuonekana ni familia ya kikahaba na uzinifu jambo ambalo ni aibu kwa familia na ukoo kwa ujumla.

Aya hizo pia zinaonyesha kuwa mwanaume anayohaki ya kudai bikira kwa mke wake endapo hajaikuta. Jambo ambalo kwa ulimwengu wa sasa wanawake wengi wasingeolewa na kuishia kuwa makahaba wa mjini.

mambo ya walawi 21
13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.
14 Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.
15 Naye asiwatie unajisi kizazi chake katika watu wake; kwa kuwa mimi ndimi Bwana nimtakasaye.

Aya hizo zinamhusu mtu yeyote makini, mwenye kumcha Mungu, anayetaka utakatifu na anayetaka ukoo na kizazi chake kiwe kitakatifu.

Ili familia isiwe najisi basi lazima mwanaume aoe mwanamke Bikra, Asioe mjane au mwanamke aliyeachwa na mtu mwingine au kuokota wanawake kwenye mabaa. Lengo ni kutokitia kizazi chake unajisi.

Kutokana na shetani kutamalaki, watu siku hizi huokota okota tuu wanawake popote. Wengine huokotana Baa na kwenye kumbi za starehe. Wengine huenda kabisa kwenye madanguro na kujichukulia wake ilimradi tuu. Watu wa namna hii hukutwa na madhila makubwa ndani ya ndoa. Kama si kuzaa watoto mashoga,basi ni wasagaji. Kama si wasagaji hupata watoto malaya na makahaba. Ni rahisi watoto kuzalia nyumbani kwani Baba na mama ni wale wale tuu.

Hapo hapo utasikia mwanaume anakibamia au hana nguvu za kiume. Au mke wangu ana K kubwa au sio mtamu. Ulijuaje mkeo sio mtamu kama hukuwahi onja vya nje.

Mwenye jukumu la kulinda bikra ya mtoto ni nani?
Jibu ni moja, Ni mzazi.
Wazazi ndio watu pekee wenye jukumu la kuilinda bikra ya mtoto wao. Changamoto inatokea pale endapo Mama hakuweza kulinda bikra yake sembuse ya mtoto. Baba naye aliuziwa mbuzi kwenye gunia hawezi kuwa na muda huo.

Lutu alikuwa ni mzazi wa kiume lakini aliweza kujua kuwa mabinti zake ni bikra. Utajiuliza alijuaje. Ni rahisi kwa Baba mwenye kujali familia yake kujua kinachoendelea kwa watoto wake. Lakini wababa wazembe na wanaoaibisha ubaba wao huuliza maswali yakijinga kama Mimi ni Baba nitawezaje kulinda bikra ya binti yangu. Jibu ni kuwa huwezi ikiwa mwenyewe ulichukua mtu asiye na bikra.

Kwa upande wa wachungaji, maaskofu na mapastor. Hii kwao ni moja ya sheria kubwa na muhimu. Mchungaji hawezi kukamilika ikiwa amechukua vitu vya mtumba. Ndio maana baadhi ya Wachungaji wa siku hizi wapo wapo tuu. Hawana tofauti na watu wa mitaani.
mambo ya walawi 21
13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.
14 Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.
15 Naye asiwatie unajisi kizazi chake katika watu wake; kwa kuwa mimi ndimi Bwana nimtakasaye.

Nawasilisha.

Nakaribisha hoja na mapovu yenye hoja pia. Hoja zijikite kwenye maandiko ya kwenye biblia.

==============

Kwa nini maaskofu/ wachungaji hawaoi bikra; Je, wameasi kanuni zao?



===============

Somo Muhimu la Kuhusu Bikra



===========

Mwanamke Bikra ndiye Mke bora




=========

Bikra ni kapu la ndoa



===============

Madhara makuu ya kuoa mwanamke asiye na bikra




================

Kuoa mwanamke bikra sio kinga ya mkeo kutokukusaliti
Ishu ni mwanamke akikupenda mwenyewe lazima umle HAIJALISHI itapita muda gani
 
1. Hakikisha na wewe ni bikra(hauwi chanzo cha kuharibu usichana au nafsi za wanawake/wasichana). Epuka hatia hii kwa gharama yoyote!

2. Usikatishwe tamaa kwamba wanawake bikra hawapo hasa katika kizazi hiki(Wapo ila kuwatafuta kwa akili zako utakesha,cha kufanya kama wewe ni mcha Mungu(usichanganye na mcha dini nazungumzia mcha Mungu na unahitaji mwanamke bikra ambaye nafsi yake haijaharibika) teta na Mungu akushushie mmojawapo maana wanawake hawa Mungu amewaclassify kwamba ni highly self-aware ladies,they are very rare and innocent deserving to be married by only God fearing&visionary men)

3. Mungu akikushushia Mwanamke bikra wa mwili au nafsi mtunze kwa nguvu zako zote(Muoneshe Mungu kwamba unaheshimu zawadi hiyo adimu aliyokukirimia)

4. Usije kujichanganya ukamcheat. Hataona tena Thamani ya yeye kujitunza na kuwa msafi kwa ajili yako halafu wewe unaenda kugaagaga kwenye matope huko nje kisha uje umchafue. Kwa kifupi siku utakayomcheat ndivyo siku utakayokuwa umeongeza idadi ya wake za watu 'Malaya'. Atakuwa na uchungu na kisha ataanza kutafuta namna ya kulipa kisasi kwa kumkubalia kila Mwanaume anayemtongoza na hata kujitongozesha inapobidi. Nakuhakikishia,ukimcheat tu,hesabu huyo sio Mke wako tena bali atakuwa Mke wa Jumuiya!

NB: Acha kuota ndoto za alinacha, kutaka kitu ambacho hustahili(hujajiweka mkao wa kukipata). Mwanamke bikra plus mcha Mungu analetwa na Mungu mwenyewe. Na ndio tafsiri hasa ya lile andiko kwamba
"Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana"( MITHALI 19:14). Mpe Mungu sababu ya kukupa Mke wa aina hii.

Nasisitiza usitumie trial and error kutafuta Mke bikra(Mwenye busara) utakesha my friend. INUA MACHO JUU. Teta na mwenye hatimiliki ya Wanawake wa aina hii(kama unaqualify hasa Kwa kigezo namba moja hapo juu) ili uufurahie uanaume wako ipasavyo!
Ni kweli kabisa. Ila hii makitu sijui wadau wanaioteaje? Kwa maana kila unayo gusa watu wanakuwa wamefanya uzinduzi
 
Back
Top Bottom