mchepuko

Mtu yeyote (mwanaume au mwanamke) anaekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanandoa!
  1. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Imad Mughniey: Kamanda wa Hezbollah aliyeuliwa akitoka kwa mchepuko

    "Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita; Na kwa wingi wa washauri huja wokovu" . Mithali 24:6 Kwa Mstari huu wa kwenye biblia acha nikupe kisa hiki kifupi na cha kipekee. Twende kazi, Mnamo tarehe 12 Februari 2008, wapo wanaume kadhaa walijipanga kwa siri kuzunguka jengo la apartmenti...
  2. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kuna tija gani kuingiza mchepuko wa BRT phase 3 airport?

    Pamoja na takwa la Serikali la kuhakikisha miundo mbinu inasomana, Kwa maoni yangu, sioni tija ya mradi wa BRT awamu ya tatu kuingiza mchepuko wake ndani ya Airport ya Kimataifa ya Julius Nyerere kutokana na sababu chache zifuatazo: Ukizingatia umbali wa vituo vingine vya BRT kituo cha airport...
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Kwa wafatiliaji wa kwaya ya Redemption Ministers Melody watakuwa wanamfahamu dada huyu. Binti anaitwa Claire Mary amemwagiwa Tindikali na mtu anayedaiwa kutumwa na Ex boyfriendwake aitwaye Elvis !! Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba: Claire ni msichana mwenye umri wa miaka 24, mrembo na...
  4. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke ajipiga selfie wakati mumewe anafariki ili kumtumia mchepuko

    Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia. Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo mdada huyu aligundua kua mume wake Hana maisha marefu na hakuna kitu anaweza kumfanyia tena kwaio...
  5. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mchepuko umenipa habari njema

    Kwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana. Sasa majuzi, mchepuko wangu ukanijulisha ana ujauzito wa watoto mapacha...
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mwenye mke mmoja bila mchepuko au mtoto wa nje ya ndoa. Je unapointi gani ya maana na ukusema kwa wanaume wenye watoto nje tukakuelewa?

    Binafisi huwa najiuliza mwanaume unawezaje kutoboa miaka hadi 50 kwenye ndoa huna mtoto nje ya ndoa na hata mchepuko huna yaani niwewe na ulokole wewe na usabato bahati mbaya kabisa unakuta mke wako kashakuambia kuzaa mwisho watoto 3 tu. Na baada ya hapo kafunga uzazi na wewe bila hila...
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

    Times have really changed. Huko nyuma ikitokea baba/mama akawa na mchepuko basi alikuwa infanyika siri kubwa na michepuko walikuwa treated kwa nafasi ya makahaba waliochangamka. Lakini michepuko nayo ilijua nafasi, most of them hawakutaka kuvuka mstari wa boundary yao. Ila sasa hivi, michepuko...
  8. Aathan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume, mchepuko au Boyfriend

    girls, ninani hua anakufikisha kileleni Mume wako, boyfriend wako au mchepuko wako ?
  9. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mchepuko lazima awe na makalio makubwa zaidi?

    Eti wakuu.?
  10. 1academ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

    Mzuka wana jf! Hii shida yangu inaweza kuonekana kama maigizo lakini si maigizo ni ukweli kabisa, japo mimi ni mwanaume ila nimefeli kutatua hili tatizo naombeni mawazo mapya. Mke wangu alisafiri kwenda kwao mwezi uliopita, kuna shida fulani ilimpeleka huko na kupelekea kukaa siku zote hizo...
  11. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka nichape rafiki wa mchepuko wangu,nitumie mbinu gani?

    Wakuu,hamjambo? Nina mchepuko wangu juzi kati akanitambulisha kwa shosti wake flani hivi,ebana huyo shosti yake ni pisi sio ya nchi hii,udenda ukanitoka asee,nikavizia mchepuko wangu kaenda toilet fasta nikachukua number,sasa nimeishaipigia kuisaundisha ila inanizingua inaniambia eti me ni...
  12. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanaume, kila mwanamke ana pair zake akikutana nazo ni rahisi sana kula au kuliwa

    Hata kama umeoa au umeolewa kuna mtu ukikutana naye huwa kuna nguvu inawakutanisha kinguvu kutokana na muingiliano wa tabia na haiba mlizonazo mnajikuta mnazama penzini tena penzi zito kweli kweli bila kujali madhara yake nje ya upeo wa fahamu zenu. Mimi wakati nimeshaoa niliwahi kukutana na...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Hakuna siku mchepuko atafurahi zaidi kama siku akigundua kuwa mkeo amemgundua.

    KAA MBALI NA ZINAA Michepuko ni malaya waliochangamka, dada wa shetani na mashine ya ilioundwa kutoka sodoma kwa ajili ya mapenzi thus kuhusu aibu na majuto, sahau kabisaaa. Anafurahia kwa maana anajua anatikisa ngome ya ndoa ambayo anaona inapewa promo sana huku yeye dunia yake inaonekana ya...
  14. othuman dan fodio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangu niwe na nyumba ndogo (mchepuko), ndoa yangu ina amani sasa

    Mwanzo wakati sina mpango wa kando nilikuwa napata shida sana ku-handle ndoa yangu na ukizingatia shemeji yenu ni mfanyakazi basi muda wote nilikuwa na kihoro cha kuchapiwa na kuhisi siheshimiki kama baba. Nilikuwa naona nafasi yangu ni finyu sana na pia wivu uliopitiliza ulitamalaki moyoni...
  15. shuka chini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe na mchepuko mke wa mtu anawivu

    habari wadau. Poleni na majukumu ya kilasiku. Stori ipo hivi kuna dada fulani alijilengesha nikaomba mzigo akanikubalia tukaenda kupima tukakuta tupo fresh tukaanza kukutanisha vikojoleo. Kumbe ni mke wa mtu mimi nilikuwa sijui.nilikuja kujua baadae .nikamuuliza kama kweli nimke wa mtu...
  16. kadeti

    JamiiForums Tanzania KERO TANROADS Mwanza tunaomba Barabara ya Pamba road to Mkuyuni mchepuko wa SGR mtukwangulie

    Habari wadau....tunakoishi Mwanza hasa maeneo ya kuanzia Nyegezi na kuendelea mbele njia ya kwenda Shinyanga tunateseka sana na Barabara hiyo hasa mchepuko wa SGR Barabara imejaa mashimo pamoja na mbavu za mbwa (Rasta) kiasi kwamba magari yanakimbia taratibu sana hasa nyakati za asubuhi na jioni...
  17. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Wenye Guest House na Lodge Siye Tunaochepuka na Wake za Watu – Tunaomba Muondoe Magrill Madishani!

    Wapendwa wamiliki wa Guest House na Lodge kote nchini, Kwa heshima zote, nyenyekevu, na kwa maumivu ambayo hayawezi kuelezwa kwa lugha ya kawaida, tunawaomba kwa moyo wa dhati MUONDOE MAGRILL MADIRISHANI! Hili siyo ombi la kawaida. Huu ni wito wa dharura kutoka kwa sisi watu wa vishughuli vya...
  18. Fene

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baba Mkwe akikufuma na mchepuko unapaswa ufanyaje?

    Niaje WanaJamiiForums Hivi pale inapotokea Baba yako Mkwe anakugumia upo na mchepuko unapaswa ufanye nini? Na kikawaida ni ipi response ya Baba Mkwe baada ya kutoka eneo hilo
  19. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapo zamani ulikuwa unakuta Mzee ana wanawake zake wa ndoa wa wawili au watatu halafu ana mchepuko wake mmoja

    Hapo zamani ulikuwa unakuta Mzee ana wanawake zake wa ndoa wa wawili au watatu halafu ana mchepuko wake mmoja. Huo mchepuko unajulikana nyumbani mchepuko unamheshimu Mzee kama Mume mchepuko unaheshimiana na wake wa Mzee. Na kizuri zaidi mchepuko unatulia na Mzee wanazaa watoto kama Mume...
  20. SweetyCandy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe una mchepuko je nawewe ukijua hili utafanyaje

    Ukija jua mkeo naye nimchepuko wa bossy wako unapofanyia kazi nayeye ndio alimtafutia kazi . Umemzalisha mchepuko wako mtoto mmoja na mke anajua unamtoto njee maana bossy wako ndio msiri wako mkubwa utafanyaje?? Nahuwezi kumuambia bosy wako achane na mke wako maana anasiri zako kibao pia au...
Back
Top Bottom