Wale viherehere wa kuoa nawasanua zingatieni ushauri huu ukitaka kuoa bikra hakikisha unaoa anaekupenda haswaa ila ukitumia ushawishi wa kiwaki huko mbele utauona moto, mwanamke ana evolve kwenye nyanja zote
Wadiz
Doh nimecheka mpaka nimeona nishee
Haya Mchungaji hapa ametupa kabisa maana ya mwanamke bikra na akiolewa akikutana na mwanaume anavyokuwa
Eti analia 😂😂😂😂
Akiona msitu kifuani, analia😂😂😂
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako
Habarini Wakuu.
Naweza kuwa tofauti na wengi, Naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa. Lakini ninachojaribu kueleza hapa ni suala lenye manufaa kwa familia, jamii, taifa na dunia kwa ujumla. ni suala litakalo iweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.