Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,903
- 4,869
Kwa Agano Jipya la sasa bado mimi naona unajisi si kitu cha kutisha.
Na mwanamke kufanywa kahaba kwa kuvunjwa Bikira yake kabla ya Ndoa bado si kitu cha kutisha, kwani Tunae Yesu Kristo.. ambaye huwapa wamwaminio Pendo lake na kutufanya kuwa wapya.
Mungu mwenyewe alijichagulia bikira kumzaa Yesu, haikuwa bahati mbaya!!