KANYIMBI
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,156
- 4,309
Kwa hizi picha nimeamini kweli Bikra kumbe bado zipo, jamii husika inanafasi ya kutunza maadili ya vizazi vyake.Unataka kusema ningetoa somo hili kwa njia ya picha ndio ingeeleweka vizuri?
Yule mkubwa wa kule Botswana anatushinda kwa kuzichakata. Wanajitahidi sana kuzitunza.