MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,759
- 3,033
He is Back!!Joka jeusi kaanza tena!!! Ntasoma nikitulia😆😆
Like he never left...
He is Back!!Joka jeusi kaanza tena!!! Ntasoma nikitulia😆😆
Sijakuelewa unasema niniSasa iweje utolewe bikra alafu umwambie mwenzio na yeye anashawishika kwenda kubikiriwa na anakua sugu kwanini anyway sijui nlitaka kusema nini na unataka kusemaje
Una uhakika gani ni mabikra? Usikute matozi wa chuo wanawala hadi tigo rusha wewe unacheka cheka tu.
Hatakama Yesu yupo, hupaswi kufanya ukahaba kwa kisingizio kuwa nitatubu na Yesu ataniponya na kunitakasa , chamsingi ni kujiheshimu full stop .Habari za Yesu unazo au unadandia tu gari kwa Mbele.
Kwani kahaba akiacha ukahaba na kumuomba Mungu ampe Mume.
Unadhani Mungu atakataaa ????
Pole sana, image yako yote ikawa tarnished ,uko soo desperate kuonyesha uko fine, dont try soo hard..we understand you need to recover and its not healthy even in your own relationship/walikupa kitu cha ku ponder kuhusu uhusiano wako mwenyewe
Mkuu..hivi nyie hamna dhambi?..Wewe unae kazana na ukahaba wa mtu...Wewe hutakiwi kutubu kwa Uzinifu wako?Hatakama Yesu yupo, hupaswi kufanya ukahaba kwa kisingizio kuwa nitatubu na Yesu ataniponya na kunitakasa , chamsingi ni kujiheshimu full stop .
Mimi sitaki bikra, nataka mwanamke anayetaka ku settle.
Itafaa nin uoe bikra akiijua mboo anatamani aonje zingine?
Nataka anayesema nimetosheka nataka kutulia na mume mmoja.
Nafungua dirisha rasmi;
financial services
Shunie
Rebecca
Waiteni na wwngine lkn nataka mmoja tu
Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..
Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..
Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...
Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..
Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..
Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.
Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Endelea kunipa pole mimi nikiendelea kutoa dawa
Kama hukumu kwa kupoteza bikira kabla ya ndoa ipo,basi hakuna atakayebaki salama,ila kwakuwa kuna upenyo umewekwa wa toba sijajua sasa kama baada ya mtu kusamehewa kama kiimani anakubalika kuolewa akiwa hana bikira......
truth's bitter and nobody appreciate it by any means.Kwa msiofuatilia mambo, huyu Joka jeusi kaandika hii mada kujifariji tu,attempt to regain control after his reputation was tarnished...pole weeeeeeeeeee
Umeumia ,kutoa dawa hakukusaidiii..tutaendelea kukujibu mashudu yako accordingly
Fafanua kidogo mkuu,kivipi hapo...Ninyi ndio mnachanganya maandiko,
Imani ni matendo na matendo ndio imani.
Fafanua kidogo mkuu,kivipi hapo...
Kwenye maandiko kuna kifungu kinasema , Mwaname anaweza kuwafanya wanawake 1000 wakaitwa kwa jina lake , ila mwanamke anatakiwa kujitunza kwaajili ya Mumewe , kwa tafsi isiyo rasmi""Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..
Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..
Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...
Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..
Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..
Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.
Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Mbona watu wanajua hapa ni pambano la pande mbili ambalo ni;
Mafisi wapenda uchafu ukiwemo wewe
Simba wapenda Fresh Meat ambapo nipo mimi.
Hivyo ni lazima unijibu kutetea uchafu wako na wanaokula uchafu
Kwa Agano Jipya la sasa bado mimi naona unajisi si kitu cha kutisha.
Na mwanamke kufanywa kahaba kwa kuvunjwa Bikira yake kabla ya Ndoa bado si kitu cha kutisha, kwani Tunae Yesu Kristo.. ambaye huwapa wamwaminio Pendo lake na kutufanya kuwa wapya.
Nikweli..kwaiyo inaamnisha Wewe Uzinifu wako...Upo sawa based on hayo maandiko...Kwenye maandiko kuna kifungu kinasema , Mwaname anaweza kuwafanya wanawake 1000 wakaitwa kwa jina lake , ila mwanamke anatakiwa kujitunza kwaajili ya Mumewe , kwa tafsi isiyo rasmi""