Mpe bikra ya mlango wa pili huwenda akatulia
Heee nmpe joka atulie...
Ye aendelee tu kwakwel
Me sina hofu na bkra wala post zke! sasa n mama wa watoto 2 mke wa mume
mmoja tu, wala siwaz chepuka... Mume Wangu wala hana shda za joka anazoelezea hapa. Wala
siwashwi na post za joka am just commentng for fun dear.....
Sasa hi bkra nyngne wacha nkae nayo tu kama pambo
 
Me sina hofu na bkra, sasa n mama wa watoto 2 mke wa mume
mmoja tu, wala siwaz chepuka... Mume Wangu wala hana shda za joka anazoelezea hapa. Wala
siwashwi na post za joka am just commentng for fun dear.....
Sasa hi bkra nyngne wacha nkae nayo tu kama pambo
Hongera sana Madam na uilinde maana ukiteleza na ukapata mchepuko utaishia kuitoa hiyo bikra ya mlango wa pili
 
wengi wao wameolewa na machenza .
..ndoa zao wameshindwa kuzitunza
na wangapi wameolewa na machungwa
ndoa zao mpaka sasa wanazitunza
Suma lee huyo
 
Hizo data zako umetumia njia gani kuzikusanya mkuu maana naona 5% 3% 95% na nyinginezo au ni hisia zako tu.
Na kwa mujibu wa post zako hujaoa single mother wewe huo ukichomi wao umeujulia wapi au unashinda nao sana mkuu
 
Mimi nimeoa, ingawa sikuoa bikra, lkn ukweli ni kwamba bikra inaleta heshima zaidi kwa mwanamke, na ni usafi na utakatifu wa kizazi utakachozaa. Kuoa mke bikra ni bora zaidi lakini mwanaume pia akiwa bikra ni bora mara zaidi. Ndoa ya watu wawili ambao wote hawajawahi kufanya ngono, ni ndoa tamu sana na yenye upendo wa kweli %
I wish i can turn back time...
 
Hakuna kitu hapo!!, wangapi wameoa bikra na wakafumania na ndoa mpaka leo hakuna? hii hoja niya kitoto sana
 
Ombi kwa mara ya pili.

Dear future husband usije ukaifahamu jamiiforums.

Huku mtaani kwetu kuna mama aliolewa na Bikra yake, uwa ananiambia D siijui mbo.o tofauti na ya baba Xx lakini huyu mwanaume sijui nimfanyie yapi atulie. Mume wake ni kicheche mbaya, skirt mpya isiingie mtaani anatupia ndoano. Hana heshima kwa mke wake hata kidogo.

Ona huyo kajitunza ila kaja kupata galasa, bikra ina heshima sawa lkn sio guarantee ya utulivu ndani ya ndoa. Sitaki kuamini kama kuna wake waliolewa bila bikra then sio waaminifu kwa ndoa zao. Hata hao mabikira siku wakishawishika wakaonja nje na kunogewa yatakuwa Yale yale tu.

Nikirepot kutokea pande za kaskazini ni mimi mjumbe kutokea chama cha wanawake un'virgin 😀😀 Tunakwambia hivi utulivu tunao kwenye mahusiano yetu, imagine aliyenibikiri ameshatangulia mbele ya haki nabaki vipi sasa huku duniani? Unataka tuishi maisha ya kijane kama wahindi? Hii tamaduni kwetu huku haipo ni lazima tu nitakuwa na mahusiano mengine.

Nimeandika sana. Lol
Bikra unayo au huna?





Cc: mahondaw
 
Nikweli Mungu anatutaka tuwe wasafi... Lakini je usafi wa bikra ya mkeo Ni kwa Ajili yake..na Mungu wake..Wewe binafsi unaishije maisha yako je maisha yako yanampendeza Mungu......

Kujisifia kuwa Nimetomba Sana wanawake wasio bikra Ila nimeoa Bikra kutoka kwa Mungu..Tena nikafanya nae kabla kunihakikishia ndo nikao...hayo Maneno yanaongelewa na anae mjua Mungu...


Tuache unafiki wakujifanya tunamjua Mungu Sana..ilhali hata nusu hatufiki...

Sijaandika haya Kwa Kusema BIKRA NO MBAYA...HAPANA

Sasa ndio maana nasema hupaswi kuoa mwanamke asiye na bikra ili kuepusha madhila, wewe endelea kutimua vumbi hapa lakini halitawafanya vijana wasione hasa wenye lion attitude wale wa Hyena attitude wapo wanakusubiri

Fisi pia ni mnyama na ni bwana Afya wa porini
 
huwa tunashangaa sana Mambo ya watu kwakua tunayajua..Mungu anatustiri...tungejua Yakwako mleta bandiko...nadhani usingeweka bandiko Tena..

Kuleta hizo case study za single mother..haimaanishi wote Ni wabaya..

Wewe kuoa bikwa na ndoa kudumu..haimaanishi wote walio OA bikara ndoa zilidumu..

Haimaanishi wote walio ambao Sio bikra ndoa hazijadumu..

Unajisifu na kujinadi Sana...ungali Bado hai?.. Unajitweza na kujiona upo juu Sana ingali hujafa?

Kama upo HAI.. anything can happen anytime..USIJIPE GUARANTEE YA MAISHAI.....BE CAREFUL with your words sir.

Yupo sahihi hasaa...

UNADHANI HUYU ANGEOLEWA BIKRA ANGEKUWA NA HIZI AKILI?

#YNWA
 
Back
Top Bottom