Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,752
Yanini kubishana nawewe ..Wewe mtu asie na Mawazo sawa nayako..Ni matusi TU...
so umeamua unijibu ninavyotaka sio?
Ukishamsoma mtu mzima unaenda nae sawa...Nani anapenda fedheha.
Yanini kubishana nawewe ..Wewe mtu asie na Mawazo sawa nayako..Ni matusi TU...
so umeamua unijibu ninavyotaka sio?
Nilipofungua tu nikaanza kutafuta reply yako.
Heee nmpe joka atulie...Mpe bikra ya mlango wa pili huwenda akatulia
Hongera sana Madam na uilinde maana ukiteleza na ukapata mchepuko utaishia kuitoa hiyo bikra ya mlango wa piliMe sina hofu na bkra, sasa n mama wa watoto 2 mke wa mume
mmoja tu, wala siwaz chepuka... Mume Wangu wala hana shda za joka anazoelezea hapa. Wala
siwashwi na post za joka am just commentng for fun dear.....
Sasa hi bkra nyngne wacha nkae nayo tu kama pambo
I wish i can turn back time...Mimi nimeoa, ingawa sikuoa bikra, lkn ukweli ni kwamba bikra inaleta heshima zaidi kwa mwanamke, na ni usafi na utakatifu wa kizazi utakachozaa. Kuoa mke bikra ni bora zaidi lakini mwanaume pia akiwa bikra ni bora mara zaidi. Ndoa ya watu wawili ambao wote hawajawahi kufanya ngono, ni ndoa tamu sana na yenye upendo wa kweli %
Mawazo haya hunijia pia.I wish i can turn back time...
ndo maanaHongera sana Madam na uilinde maana ukiteleza na ukapata mchepuko utaishia kuitoa hiyo bikra ya mlango wa pili
Ni wengi Pemba.. kule kabla ya ndoa ni t.go tuu!Tupatie connection ya hao mabikra maana siku hizi wamekuwa adimu sana mkuu.
Hao wa t*go ndo wachafu sana mkuuNi wengi Pemba.. kule kabla ya ndoa ni t.go tuu!
Bikra unayo au huna?Ombi kwa mara ya pili.
Dear future husband usije ukaifahamu jamiiforums.
Huku mtaani kwetu kuna mama aliolewa na Bikra yake, uwa ananiambia D siijui mbo.o tofauti na ya baba Xx lakini huyu mwanaume sijui nimfanyie yapi atulie. Mume wake ni kicheche mbaya, skirt mpya isiingie mtaani anatupia ndoano. Hana heshima kwa mke wake hata kidogo.
Ona huyo kajitunza ila kaja kupata galasa, bikra ina heshima sawa lkn sio guarantee ya utulivu ndani ya ndoa. Sitaki kuamini kama kuna wake waliolewa bila bikra then sio waaminifu kwa ndoa zao. Hata hao mabikira siku wakishawishika wakaonja nje na kunogewa yatakuwa Yale yale tu.
Nikirepot kutokea pande za kaskazini ni mimi mjumbe kutokea chama cha wanawake un'virgin 😀😀 Tunakwambia hivi utulivu tunao kwenye mahusiano yetu, imagine aliyenibikiri ameshatangulia mbele ya haki nabaki vipi sasa huku duniani? Unataka tuishi maisha ya kijane kama wahindi? Hii tamaduni kwetu huku haipo ni lazima tu nitakuwa na mahusiano mengine.
Nimeandika sana. Lol
Nikweli Mungu anatutaka tuwe wasafi... Lakini je usafi wa bikra ya mkeo Ni kwa Ajili yake..na Mungu wake..Wewe binafsi unaishije maisha yako je maisha yako yanampendeza Mungu......
Kujisifia kuwa Nimetomba Sana wanawake wasio bikra Ila nimeoa Bikra kutoka kwa Mungu..Tena nikafanya nae kabla kunihakikishia ndo nikao...hayo Maneno yanaongelewa na anae mjua Mungu...
Tuache unafiki wakujifanya tunamjua Mungu Sana..ilhali hata nusu hatufiki...
Sijaandika haya Kwa Kusema BIKRA NO MBAYA...HAPANA
Ninayo
kuna nn kimetokea tena kati ya hawa watu wawili????Mama Tiffah na Mzee Abdul
huwa tunashangaa sana Mambo ya watu kwakua tunayajua..Mungu anatustiri...tungejua Yakwako mleta bandiko...nadhani usingeweka bandiko Tena..
Kuleta hizo case study za single mother..haimaanishi wote Ni wabaya..
Wewe kuoa bikwa na ndoa kudumu..haimaanishi wote walio OA bikara ndoa zilidumu..
Haimaanishi wote walio ambao Sio bikra ndoa hazijadumu..
Unajisifu na kujinadi Sana...ungali Bado hai?.. Unajitweza na kujiona upo juu Sana ingali hujafa?
Kama upo HAI.. anything can happen anytime..USIJIPE GUARANTEE YA MAISHAI.....BE CAREFUL with your words sir.