Na haya ndio maneno ya wanawake wasio na bikra yalivyo, upo sahhi kabisa. Nashukur unanisaidia kudhihirisha jinsi mlivyo na vijana wataelewa kwa haraka
Mkuu...Wewe niite utakavyo iwe Malaya..au kahaba au lolote lile....
Mimi nilichosema ishi utakavyo amua...Ni maisha yako...
Kwaiyo kusimamia unachokiamini Ni SAWA Ni maisha yako...

Pengine Kuna watu wanamisimano tofauti na hii ya kwako...so we differ
 
Ombi kwa mara ya pili.

Dear future husband usije ukaifahamu jamiiforums.

Huku mtaani kwetu kuna mama aliolewa na Bikra yake, uwa ananiambia D siijui mbo.o tofauti na ya baba Xx lakini huyu mwanaume sijui nimfanyie yapi atulie. Mume wake ni kicheche mbaya, skirt mpya isiingie mtaani anatupia ndoano. Hana heshima kwa mke wake hata kidogo.

Ona huyo kajitunza ila kaja kupata galasa, bikra ina heshima sawa lkn sio guarantee ya utulivu ndani ya ndoa. Sitaki kuamini kama kuna wake waliolewa bila bikra then sio waaminifu kwa ndoa zao. Hata hao mabikira siku wakishawishika wakaonja nje na kunogewa yatakuwa Yale yale tu.

Nikirepot kutokea pande za kaskazini ni mimi mjumbe kutokea chama cha wanawake un'virgin 😀😀 Tunakwambia hivi utulivu tunao kwenye mahusiano yetu, imagine aliyenibikiri ameshatangulia mbele ya haki nabaki vipi sasa huku duniani? Unataka tuishi maisha ya kijane kama wahindi? Hii tamaduni kwetu huku haipo ni lazima tu nitakuwa na mahusiano mengine.

Nimeandika sana. Lol

Kumvumilia mpuuzi ni upuuzi, wapuuzi ndio huvumiliana, halikadhalika na werevu.

Mimi hata mke wangu akinikuta nachepuka nimeshamuambia aniache, sitaki kuvumiliwa kwa maana mimi mwenyewe sio mvumilivu.

Akimsaliti amuache, mwishowe ataletewa magonjwa kwa upumbavu wake hapo na huruma za kipuuzi
 
Kama ulivyoahinisha kwenye hoja na 5,
Tatizo la utoaji mimba kwa sasa hivi ni kubwa mno, ukijaribu kufuatilia kwa juu juu tuu, ni wazi kuwa huu ni zaidi ya ugonjwa kwa jamii ya sasa. Na hii ni kutokana na ugumu wa maisha kila kukicha, Tumekuwa tukiwanyooshea wanawake vidole vya lawama, lakini kiukweli hawa watu wanapitia kipindi kigumu sana katika hii dunia ya tatu. So, ni vyema kuwaelimisha, kuwaombea na kuwatia moyo wa faraja badala ya kuwasuta na kuwakebehi.
 
Kama ulivyoahinisha kwenye hoja na 5,
Tatizo la utoaji mimba kwa sasa hivi ni kubwa mno, ukijaribu kufuatilia kwa juu juu tuu, ni wazi kuwa huu ni zaidi ya ugonjwa kwa jamii ya sasa. Na hii ni kutokana na ugumu wa maisha kila kukicha, Tumekuwa tukiwanyooshea wanawake vidole vya lawama, lakini kiukweli hawa watu wanapitia kipindi kigumu sana katika hii dunia ya tatu. So, ni vyema kuwaelimisha, kuwaombea na kuwatia moyo wa faraja badala ya kuwasuta na kuwakebehi.

Hakuna kuwaombea wala kuwafariji hata wangetaka kujiua, jambo pekee wanaloweza kufanya ni kuwakatalia wanaume na kuacha uzinzi, wanawake wakiamua kukataa kutoa bwerere nakuhakikishia ndoa zitamiminika kama njugu, vijana wataoa kwa kasi.

Lakini kuombea watu wasiojitambua hilo hufanywa na wendawazimu
 
Nimegonga wanawake wengi mamia wanafika, ila niligonga waliogongwa hilo tuu nitajitetea.

Niliapa kuharibu vilivyoharibiwa na kamwe sitatoa bikra ya mtoto wa mtu kama najua sitamuoa, hivyo ndivyo ilivyokuwa mpaka sasa nimepumzika kwa mke wangu
Sio kila aliyejiharibu alijiharibia kwa kupenda, sasa na wewe unapozidisha uharibifu eti tu kwa sababu wao walishajiharibia basi mjomba Karma yupo. Atakulipa tu kwa namna yake
 
Ndoa uvumilivu eti, sasa ukiamua kuacha acha utaacha wangapi? Ila kwa huyu mwanamke huku hata mm uvumilivu ungenishinda.

Ila sasa wengine wanavumilia sababu ya watoto

Ndoa sio uvumilifu, ndoa ni utakatifu.
Huwezi mvumilia shetani hayo ni mafundisho ya uongo,
Yapo ya kuvumilia lakini sio Uasi,

Ndoa uvumilivu kama wa kukosea kupika, uvumilivu wa kiuchumi labda biashara zimeyumba, uvumiivu wa maradhi labda mmoja anaumwa, lakini sio huo upumbavu.

Kuvumilia uovu ni ushetani, ni kuendekeza ushetani na kufanya maovu yaonekane yanavumilika wakati kiukwli hayavumiliki.
Mwisho wa uovu ni mauti tena ya aibu.

Endelea kuvumilia uovu hapo

Wewe uliona wapi mwizi akiiba anavumiliwa, uliona wapi mtu anayeua anavumiliwa badala ya kumuadhibu na kumuangamiza?

Acheni mambo ya ajabu enyi kizazi cha Koboko
 
Nimemkumbuka ndugu yangu, alioa bikra ila ndoa yake haikuchukua hata miaka 2 kabla haijaparanganyika.
Nimewahi kukutana na wasichana zaidi ya 3 bikra na sikuwaoa, na sijawahi kukutana nao kimwili tena licha ya wao kuolewa. Na sometimes tunaonana!!

Bikra kwa kigezo cha kukwepa kubambikiwa mimba hakina mantiki.
Binafsi naona kama mwanamke aliyeolewa bikra, ndio mwenye chance nyingi za kucheza kucheza huko nje ya ndoa kumzidi yule ambaye alishapita hiyo hatua.

Wewe Oa bikra tu no problem hiyo stage aliyoruka ataipitia akiwa ndani kwako.
Piga ua garagaza.
 
Back
Top Bottom