Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,305
- 10,582
- Thread starter
- #3,361
Sio kila aliyejiharibu alijiharibia kwa kupenda, sasa na wewe unapozidisha uharibifu eti tu kwa sababu wao walishajiharibia basi mjomba Karma yupo. Atakulipa tu kwa namna yake
Mimi nipo tayari kwa karma, ninapenda haki na ndio maana nikasema, mke wangu akinikuta nachepuka haki yangu ni kuachwa na sio kusamehewa. Halikadhalika na yeye.
Hivyo hayo ya kulala na wanawake walioharibiwa nitalipwa ndio lakini hakuna atakayesema nilimharibu