Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Kidokezo;

Mambo ya walawi 21
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Jokajeusi
BIKIRA SIO ISHU KWA SASA KWANI HATA WANAOLEWA NA BIKRA WANALIWA KAMA NJUGU. MAADILI HAKUN TENA, NDOA NI MTINDO TU WA MAISHA NA SIO KWA UMUHIMU, KAMA MZAZI ANANGONOKA NA MTOTO WAKE AWE WA KIUME AU WA KIKE, KAMA VIONGOZI WA DINI BAADHI WANANGONOKA KAMA WATU WALIOTAKIWA KUAMINIKA NGONO IMEKUWA KAMA KIFUNGUA KINYWA, KWANINI TUULIZIE BIKRA KWA MWANAMKE? HATA WANAUME WANAPASWA KUWA NA BIKRA ILI NDOA IWE SALAMA KAMA NDIO KIGEZO
 
BIKIRA SIO ISHU KWA SASA KWANI HATA WANAOLEWA NA BIKRA WANALIWA KAMA NJUGU. MAADILI HAKUN TENA, NDOA NI MTINDO TU WA MAISHA NA SIO KWA UMUHIMU, KAMA MZAZI ANANGONOKA NA MTOTO WAKE AWE WA KIUME AU WA KIKE, KAMA VIONGOZI WA DINI BAADHI WANANGONOKA KAMA WATU WALIOTAKIWA KUAMINIKA NGONO IMEKUWA KAMA KIFUNGUA KINYWA, KWANINI TUULIZIE BIKRA KWA MWANAMKE? HATA WANAUME WANAPASWA KUWA NA BIKRA ILI NDOA IWE SALAMA KAMA NDIO KIGEZO

Endelea kujifurahisha
 
Wakuu kwema!

Watu wengi wamekuwa wanalalamika kuwa kwa nini wake za watu wa siku hizi wengi ni chebweda, yaani maharage ya mbeya maji mara Moja.
Mimi nimekuwa nikitongoza wake za watu kwa muda mrefu sasa, kwa uzoefu wangu, nikitongoza wake za watu 10 basi 9 watanikubalia 1 ndiye atakataa. Wake za watu sio wasumbufu ukishaingia naye kwenye mahusiano, ingawaje sijawahi kulala na mke wa mtu kutokana na miiko yangu binafsi.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa ya Mke wako/wake zetu kuchepuka katika zama hizi ni kwa sababu waliolewa wakiwa hawana bikra. Tayari walishaingia kwenye umalaya.

Hakuna mwanamke aliyeolewa akiwa hana bikra ambaye hatachepuka, ni lazima achepuke tuu.
Lakini ukioa mwanamke mwenye bikra uwezekano wa kutochepuka ni mkubwa zaidi labda usababishe wewe mwenyewe ndio atachepuka.

Lakini hawa wasio na bikra ni costant, umhudumie, umridhishe usimridhishe, uwe na pesa usiwe na pesa, uwe HB au usiwe HB ni lazima achepuke, Yaani huna namna ya kuzuia hilo.

Mwanamke asiye na bikra haoni hatia moyoni mwake pindi anapochepuka, lakini mwanamke aliyeolewa bikra kabla hajachepuka huwa na uoga mwingi mno kwani ndio anajifunza. Kama ilivyo jambo lolote ukilianza huwaa gumu ndivyo kwa mwanamke mwenye aliyeolewa akiwa bikra huona ugumu sana kuchepuka.

Lakini hawa maharage ya Mbeya atachepuka na wala haoni shida.

Kijana, kwa usalama wa ndoa yako, Usithubutu kuoa mwanamke asiye na bikra, utanishukuru baadaye.
Kwa sisi tuliooa tupambane na hali zetu hasa waliooa hao maharage ya mbeya.

Kidokezo;

Mambo ya walawi 21
13Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira. 14Haruhusiwi kuoa mwanamke mjane, mwanamke asiye bikira, wala kahaba. Ni lazima aoe bikira kutoka watu wake mwenyewe 15asije akawatia unajisi watoto wake mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu niliyemweka wakfu.”

Jokajeusi
Mkuu tufanyaje sasa.. na dunia yenyewe tumeikuta ikiwa hivi hivi. yaani watu kutoa na kutolewa bikra kabla ya ndoa imekuwa (fasheni) mtindo wa maisha
Pia nani wa kulaumiwa kwenye hili swala kati ya mwanaume / mwanamke
 
Mkuu tufanyaje sasa.. na dunia yenyewe tumeikuta ikiwa hivi hivi. yaani watu kutoa na kutolewa bikra kabla ya ndoa imekuwa (fasheni) mtindo wa maisha
Pia nani wa kulaumiwa kwenye hili swala kati ya mwanaume / mwanamke

1. Wazazi.

Bikra ikitolewa kabla ya miaka 18 wazazi ndio chanzo. Wazazi wa siku hizi wengi wehu

2. Mwanamke binafsi
Kama Bikra imetolewa baada ya binti kuwa na miaka 18 basi kosa ni la mwanamke.

Mwanaume hana lawama popote.
Mwanaume ni muwindaji kiasili,
 
Screenshot_20201204-210524-1.jpg
 
Rafiki yangu anasema, Kwahyo bikra sio tabia ni maaamuzi katika kuitunza na sio kila anaetolewa Basi ni Malaya Ila kupoteza bikra Kuna mengi yanayoweza kuchangia

1. Tamaa ya vitu au pesa
2. Umaskini uliokithiri mpaka kupelekea kujiingiza kwenye ngono
3. Makusudi kutafuta kuonja uume
4. Mkumbo wa marafiki au watu wa karibu
5 . Kubakwa
6. Imani na mitazamo ya kimila na kifamilia

Jokajeusi
 
Back
Top Bottom