Mada kuanzishwa na wewe haiwezi kunipa limitation as long as ipo JF.
Ukianzisha mada mtu akiamua atachangia wewe kama nani unizuie kuchangia.
Niogope kuchangia mada kwa sababu ya mbwa kama wewe

Sasa kama mimi ni mbwa endelea kufuatilia mibweko yangu humu

:D :D
 
Bikra wewe Zina kuhusu nini usilete Mambo ya ujinga WA Kiarabu humu

Aliyeiweka hiyo bikra kwako ni Muarabu mpaka uuite ujinga wa Kiarabu?

Watu leo watajionea athari za mwanamke kutolewa bikra kabla ya ndoa, na wewe naomba ushiriki kikamilifu
 
Mtoa mada simuungi mkono, Baba angu alifariki nikiwa Na miaka 2, Na nikiwa Na miaka 5 mama aliolewa tena Mpaka, now wako pamoja ko siwezi kumchukia, mwanamke ambae sio bikra,

Wewe unaongea kesi ingine kabisa.

Hakuna asiyeelewa habari ya kifo humu. Fisi wasitafuta sababu ya kuendelea kufagia pori, hata kama ni bwana Afya wa porini
 
Aliyeiweka hiyo bikra kwako ni Muarabu mpaka uuite ujinga wa Kiarabu?

Watu leo watajionea athari za mwanamke kutolewa bikra kabla ya ndoa, na wewe naomba ushiriki kikamilifu
Bikra nimeshazitoa naona hazina maajabu
 
wewe inaonekana tangu uzaliwe umebahatisha demu mmoja huyo huyo unayemsifia sana.

Sasa heri nini?
Kula mizoga miaka nenda rudi au kubahatisha mwanamke safi kabisa?

Wewe sema usemavyo lakini huwezi nishawishi nijiunge katika chama chenu cha jamhuri ya fisi
 
Na ndio maana nikasema usioe mwanamke asiye na bikra kwa sababu kila mwanamke alizaliwa nayo.

Bikra ni kufuli ya Papuchi, funguo yake ni Ubooo wa mume atakayemuoa, sasa muulize unayemuoa mbona mlango wako hauna kufuli wakati mwenye funguo sijafungua?
Ahahahaha ... Somo linawaingia adse
 
Back
Top Bottom