Acha kudanganya vijana wadogo kuwa wasioe wanawake ambao hawana bikra. Wewe umewatoa bikra wangap na bado umewaoa wote?

Unaweza oa mwanamke bikra lakini asikupende vile vile. Akitokea kidume na akamsugua sawa saws ndo basi waachwa.

Ukisema tuoe bikra hao wengine unataka waolewe na kina nani? Wengine walibakwa, wengine wali rubuniwa na wengine walitaka wenyewe.

Omba Mungu akujalie upate mwanamke mwenye hofu ya Mungu. Katika vigezo vya kuoa mke bora ambavyo ni 4. Kuna dini, nasabu yake(familia yao), mali yake na uzuri wake. Sijaona sehemu ilipo andikwa uwoe mwanamke bikra ndio maana kuna kuachika na kuna talaka vilevile.

Unaweza oa bikra na akawa malaya wa kutupa. Unaweza oa mwanamke asiye na bikra na akawa mke bora kwako.

Kitu cha kuzingatia hapo ni mwanamke mwenye mtoto, bond yao ni ya kipekee na mwanaume aliye mzalisha. Haijalishi wawe wamegombana au la. Labda iwe mmoja wa mzazi wa huyo mtoto amefariki au hayupo mahala hapo ndio uta kuwa na amani.

BIKRA SIO KIGEZO CHA MKE BORA
 
Shida yao kubwa huwa ni ya kisaikolojia zaidi,otherwise ni wanawake kama wengine.Wanakuwa na maumivu/majeraha ya kutendwa,lakini bado wanahitaji wanaume wa kuwaoa,unaweza usilione hili mwanzoni ila ukiendelea kuishi naye utagundua,mara nyingi yuko very defensive akijihami yeye na mwanae/wanae,huwa hawaamini kwamba utampenda kwa dhati kwani ana kule kuamini kuwa wanaume wote ndio wale wale,hili hasa linawapata wale waliotoswa muda mrefu.Maisha yao ni usiri wa kufichaficha mambo sana akihangaika kumfanyia mtoto vitu vyake tofauti na unavyofanya wewe,kuna kasoro ndogo ndogo nyingi ambazo ukifanikiwa kuzirekebisha mwanzoni hazitakuletea shida baadaye...
 
You are talking about widows (wajane). Big difference.

On marrying a single mother, the disadvantages outweigh the advantages. It is as simple and straightforward as that.

The fact is, women don't bring anything to the table like they used to in the past. In the 70s to 90s, it still made sense to marry a single mother for the simple reason that they brought ALOT to the table. It was cheap to raise kids, women treated husbands like kings, and everyone was happy with their gender roles. So, at that time, a woman with maybe one kid was still acceptable when it's all said and done. Nowadays, life is different and things have changed. This has forced men to become smarter with their resources.

Today, women can't cook, can't clean, sex is cheap and can be outsourced, there are undefined gender roles etc. So, the modern woman doesn't really add any value to a man's life except companionship and children. When she comes with baggage (mtoto wake), the deal becomes unacceptable. The only woman with any value left is a childless and young woman in her prime (below 25 years). The rest don't offer any value proposition to a man for a long-term relationship.
Maaan..this is deep
And sad truth.
 
Wakuu habari zenu.

Mimi ni mfuasi wa wanawake walioolewa bikra, na wanawake wenye bikra mpaka hivi leo. Nina sababu zangu nyeti za kuwapenda na kuwapigia chapuo wanawake hao, pia nawashauri vijana waodgo na wakubwa ambao mpaka sasa hamjaoa, Basi oeni wanawake wenye bikra. Usije ukajichanganya wala ukalaghaiwa na maneno ya wanawake malaya. Biblia inasema; Mwanamke malaya midomo yake yadondoza asali. Yaani wana maneno matatu ya kukurubuni, nawe kwa ujinga na ushamba unaingia mkenge. Usikubali.

Sasa nije kwenye mada yetu ya Single mothers ni sikio la kufa.

Kwanza nianze kwa kusema 95% ya single Mother ni sikio la kufa, vichomi, viungulizi, na wauaji. 5% Wapo vizuri, tena kwenye hiyo 5% 3% ni wale waliofiwa na waume zao au waliowazalisha. 2% ndio ambao ni singele mother waliotalakiana na waume zao au waliowazalisha na wakawa na tabia njema. Kwa waliosoma Hesabu za probability mtaungana na mimi kuwa hakuna uwezekano wa kumuoa single mother mzuri na kama uwezekano upo basi ni mdogo.

Usumbufu wa Single mother unaanzia hapa

1. Mtoto wake ndio kipaombele.
Single mother wote duniani 95% watoto wao waliokuletea ndio kipaombele namba moja, yeye namba mbili, wazazi wake namba tatu, kisha wewe ndio unashika namba nne. Single mother wengi 95% wanataka wewe usiye baba wa mtoto ubebe jukumu lisilokuhusu, Yaani umlee mtoto wa mwanaume mwingine, na usipofanya hivyo utaingia kwenye uhasama, migogoro, vita, na ikiwezekana kukudhuru kisaikolojia. Wao humtumia mtoto kama kinga na uthibitisho wa mapenzi yako kwao. Jambo ambalo wanaume wengi 90% hatuwezi.

Kumbuka mtoto huyu huyu baadaye anaweza kuwa kitanzi kwako.

2. MAHUSIANO NA MZAZI MWENZAKE
Kisheria na kimila huwezi vunja mahusiano ya Mke wako aliye-single mother na mzazi mwenzake, hiyo haiwezekani. Itawezekana tuu endapo Mwanaume(?huyo mzazi mwenza) hatakuwa na habari naye. Yaani kaamua kumtelekeza. Itawezakana kama mzazi mwenzake amekufa, Pia, itawezekana endapo uchumi wako ni mkubwa mara mia moja ya mzazi aliyemzalisha. Vinginevyo utaambulia maumivu. Mwanzoni ataonyesha kujificha lakini kadiri siku zinavyoenda ataanza kukujibu kuwa huyo ni mzazi mwenzake hawajadili mapenzi bali wanajadili masuala ya mtoto.

Wanaumr erngi 90% hatupo tayari kuona majadiliano yoyote yale, yawe ya mtoto, sijui ya nini baina ya wake tuliowaoa na wanaume wengine hasa waliowahi kuwa kimapenzi na wake zetu.

3. KUTIMIZA RATIBA
Single mother wengi huolewa ili kutimiza ratiba na sio mapenzi ya kweli. Wengi ni vichomi, vigagula, tena upate wale wenye umri kuanzia miaka 30 wengi 90% washanusa kwenye milango ya waganga wa kienyeji kama sio kununua uchawi kabisa, Wengi wana chale miilini mwao. Usishangae kukuta chale kwenye makalio, katikati ya maziwa, juu ya kiuno n.k.

Hawana Munkari wa ndoa, ukifika nyumbani wanakereka, wao hupenda kuishi wenyewe na watoto wao.

4. WENGI HUSUBIRI WATOTO WAKUE
Single mother wengi hujifanya wavumilivu, huvumilia uwepo wa waume zao ndani ya nyumba japo hawapendi ukiwepo nyumbani. Hufanya hivi wakisubiria watoto wakue kue mpaka miaka 20 walau, tena husubiri mtoto akimaliza chuo na kupata kazi na hapo ndipo utaonja joto ya jiwe. Ujeuri unaanza, kiburi, dharau, na umalaya unapamba moto, wanajua huwezi kuwafanya chochote, ukiwazingua wanakimbia kwa watoto wao maana tayari wanakazi, tena usiombe mtoto wa nje ndio akawa na mafanikio mbona utaisoma namba.

Wengi wakifika muda huu hudai talaka kivyovyote. Huwababaishi.

90% ya single mother wapo kimaslahi, hawana mapenzi ya kweli kwa waume zao. Wanachokifanya ni kuwarubuni ili wapate pakuishi na kusubiri mtoto wake wa nje akue. Akishakua hana wasiwasi watoto wako anajua anauwezo wa kukuachia hapo akaondoka kwani hutaweza kuwafukuza.

Unapooa single mother usifikirie tuu habari ya mzazi mwenzake bali fikiria hata kipindi cha uzee wako. Single mother wengi 90% husumbua uzeeni hasa watoto wakishakuwa na maisha fulani ya kujitegemea.

Nimalize kwa kushauri;

Usioe mwanamke asiye na bikra. Usioe mwanamke ambaye ni masikini. Hutaki acha hakuna anayekulazimisha. Single mother 95% ni sumu. na sumu haionjwi

Nawasilisha
Mkuu naunga mkono 107% ila ili la Bikra mtihani kidogo dunia yasasa kwawapata Hawa mabikra sidhani Kama nilahisi labda Kama unatafuta ugomvi nawana harakati kwavitoto vyamiaka14 uko mashuleni,maana mwsho utaishia jela.Ili wimbi la single mother linazd kuwa kubwa Sana nawengi niwale ambao uzur wao waliupa nafasi yakusumbua waowaji nakuwapelekea Six-pack,Sharobaro,wazee wavijisenti,MaHb,watu maalufu maeneo yao nk.Me mwenyewe nakampeni yakuwaongezea hao Single mother idadi yawototo wao.maana nishaumizwa kabla inabdi namm ntafute wanyonge wangu ninyonge.
 
Kutafuta bikra sahizi ni kubaka watoto wa watu, huwezi kupata demu bikra aliyemaliza kidato cha 4 kupanda juu katika hali ya kawaida, ni chini ya 5% ya wasichana ambao ni bikra. Mi nilikuwa na dhana kama yakwako ila nikaamua kubadilisha nikaoa aliyetolewa tayari bikra. Bora uhai!
Huyu jamaa hata mm namshangaa, labda akitaka bikra aende umasaini ambako wanachumbia kichanga na akifika miaka mitano unamhamishia kwa wazazi Wa mwanaume. Huko ndio anaweza kupata bikra
 
Daaaah. Aisee nineoa single mother. Sasa uzi kama huu unakuwa kama unanihukunu huvi kweli mwanae ndio kipaumbele chake. Eeeeh Mungu niongize katika njia salama ,
Ameen.
Mkuu hamna kitu kama hicho asikutie wasiwasi ndg yangu..

Mpende mkeo ishi naye kwa amani, sio kila single mama walizaa kwakuwa ni Malaya hapana. Hata hao anaowasema bikra ni tatzo tena tatzo kubwa sana maana wameyajulia mapenzi ukubwani na akionja nje hashikiki.
 
You are talking about widows (wajane). Big difference.

On marrying a single mother, the disadvantages outweigh the advantages. It is as simple and straightforward as that.

The fact is, women don't bring anything to the table like they used to in the past. In the 70s to 90s, it still made sense to marry a single mother for the simple reason that they brought ALOT to the table. It was cheap to raise kids, women treated husbands like kings, and everyone was happy with their gender roles. So, at that time, a woman with maybe one kid was still acceptable when it's all said and done. Nowadays, life is different and things have changed. This has forced men to become smarter with their resources.

Today, women can't cook, can't clean, sex is cheap and can be outsourced, there are undefined gender roles etc. So, the modern woman doesn't really add any value to a man's life except companionship and children. When she comes with baggage (mtoto wake), the deal becomes unacceptable. The only woman with any value left is a childless and young woman in her prime (below 25 years). The rest don't offer any value proposition to a man for a long-term relationship.
Huku sasa ni kunyanyasana aisee
 
Mkuu hamna kitu kama hicho asikutie wasiwasi ndg yangu..

Mpende mkeo ishi naye kwa amani, sio kila single mama walizaa kwakuwa ni Malaya hapana. Hata hao anaowasema bikra ni tatzo tena tatzo kubwa sana maana wameyajulia mapenzi ukubwani na akionja nje hashikiki.
Unaharibu sasa, hakuna mtu ambaye anakuwa tatizo kwa sababu tu ni single mother au bikra...kama mtu anaweza kuwa tatizo basi ni yeye binafsi tu na mashetani yake
 
wanaume wa miaka hii ndio wanashida, ila kama utakuwa mwanaume dizaini ya magufuri hata hawatakupa shida hao viumbe.....msaidizi wako hawezi shindana na wewe..tuliza kichwa KIPIGO KIPO JUU YA MPUMBAVU..USIKUBALI UCHEZEWE UKIWA BADO KIJANA NGUVU ZIPO, PIA USIJE UKAAMINI KUNA HAKI SAWA HAPA DUNIANI KATI YA ME & KE

Mwanaume jitambue acha uoga...simama kwa zamu yako
 
Unaharibu sasa, hakuna mtu ambaye anakuwa tatizo kwa sababu tu ni single mother au bikra...kama mtu anaweza kuwa tatizo basi ni yeye binafsi tu na mashetani yake
Aaah! Kumbe naharibu, nilikuwa najaribu kumuelewesha jamaa maana kuna sehemu anajenga sana Imani akijua kuko salama lakn kumbe si salama.
 
Mkuu hamna kitu kama hicho asikutie wasiwasi ndg yangu..

Mpende mkeo ishi naye kwa amani, sio kila single mama walizaa kwakuwa ni Malaya hapana. Hata hao anaowasema bikra ni tatzo tena tatzo kubwa sana maana wameyajulia mapenzi ukubwani na akionja nje hashikiki.
Thanks for your advice. 🙏🙏🙏
 
John Doe, my mind put windows to the group of single mothers, let us assume they are single, then marry them
 
Ninakubaliana na uzi wako lakini sidhani kwamba wote waliowachukua wanawake ambao siyo bikira wanasumbua. Waliopata wanawake bikira watuletee marejesho yao kama kweli ndoa zao zipo vizuri. Ninachojua kwa wakati huu kupata mwanamke mwema ni bahati tu maana ninaona ndoa nyingi zinavyosumbua.
 
Hakuna mwanaume asiependa kupata hiyo bahati,tutakesha hapa kubisha ilimradi kujifariji kwakua tumekosa wanawake wa hivyo,lakini kubahatika kupata mtu ambae hajaguswa ni heshima kubwa sana.

Ndomana zamani hata wafalme walikua wanaletewa mtu ambae hajachakachuliwa ,machifu wa zamani vivyo hivyo,ndomana wanaume wengi hata kama aliwahi mtoa bikra mwanamke wakiwa wadogo atajiona yeye ndo kidume.

Narudia HAKUNA ASIEPENDA BIKRA na kwa tuliokosa tusijihisi vibaya ndo ishatokea na wale ambao bado hatujaoa tunanafasi ya kuchagua kwa makini,but the choice is yours.

Anko jay
good point. mjadala closed
 
Ninakubaliana na uzi wako lakini sidhani kwamba wote waliowachukua wanawake ambao siyo bikira wanasumbua. Waliopata wanawake bikira watuletee marejesho yao kama kweli ndoa zao zipo vizuri. Ninachojua kwa wakati huu kupata mwanamke mwema ni bahati tu maana ninaona ndoa nyingi zinavyosumbua.
Mke wangu nilimuoa kutoka kwa mwanaume mwingine ambaye waliachana baada ya tafrani kadhaa.

Tuna mwaka wa 12 sasa kwenye ndoa hatujawahi peleka kesi kwa wazee wala kumkuta na shida yeyote.

Bikra sio kigezo ni personality ya mtu tuu.
 
Habari Wakuu!

Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.

Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.

Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.

Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.

Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.

Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra

1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.

4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.

5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.

6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.

Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.

Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?

Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.

Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.

Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.

Bikra matters!

Povu Ruksaa
N kwl kaka
 
Habari Wakuu!

Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.

Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.

Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.

Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.

Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.

Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra

1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.

4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.

5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.

6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.

Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.

Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?

Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.

Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.

Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.

Bikra matters!

Povu Ruksaa
Kama na wewe ulikuwa bikra kipindi mnaoana na mkeo, basi hongera maana ndoa yenu itanyooka sana isiyo na mikosi (kwa wenye imani ya dini lakini).
Lakini kama wewe haukuwa bikra (yaani tiari ulishatembea na wanawake wengine) basi hapo hakuna ulicho save maana kama ni damu ya zinaa tiari unayo na umeiambukiza kwa mkeo kwa hiyo spiritually nothing you saved.
 
Back
Top Bottom