ni ngumu kuwafanya binadamu wote wawe na mtizamo mmoja juu ya jambo lolote lile, kuna watu wanaamini katika single maza huwaambii kitu pia kuna watu wanaamini katika bikra kama mleta mada, hivo tujitahidi kuidhibiti mihemko yetu dhidi ya watu wengine maana haipendezi kuwakosea adabu coz tunamitizamo tofauti juu yao