Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mimi sio Malaya hata akiniita a billion times I know myself kwa kweli sio Malaya so haibadilishi lolote na maana hayo maneno hata kwenye khanga yapo, coz I'm not a prostitute so I got chill my a.. down.ni kweli papuchi lazima itumike ndio lengo lake la kuumbwa hizo nyingine mbwembwe tu za waja walioshindwa majukumu ya kuishughulikia effectively.
Mimi hata awe Nani ruksa kufanya analojiskia moyoni kwake kuwa Lina mpa furaha Mimi ni Nani nipangie wengine jinsi ya kuishi badala ya kufanya yangu.
Hahaha nimeipenda hiyo, maisha yenyewe mafupi watu wanapoteza muda mwiiingi kujadili papuchi ambayo ni mali ya Mwanamke na ana uhuru nayo, ...