I'm not a single mom..
Ila mnawaonea jamani khaaa!!!
Yaan mmekuwa ving'anga'aaa!
Dada hawaonewi, ndivyo ilivyo. Robo tatu ya single mama wapo kimkakati tu. Wanatafuta mwanaume wa kuwa daraja amkuzie watoto baasiii. Inatuuma kuona wanaume wanatapeliwa kizembe kwa kuendekesa mbususu. Ndio maana tunawaamsha.

Kuna wana wengi sana humu huleta nyuzi za kuwatetea single mama, na wengine wameoa single moms na wanadai wanaishi poa kabisa. Wasichojua single mum anaweza kukupeti peti hata kwa miaka 10 akisuka mchongo wake ukituck ndio utamjua sasa. Na mchongo wao mkubwa ni kumlele watoto wake tu ili wafanikiwe kisha afaidi peke take. So sad sister
 
I'm not a single mom..
Ila mnawaonea jamani khaaa!!!
Yaan mmekuwa ving'anga'aaa!
Dada hawaonewi, ndivyo ilivyo. Robo tatu ya single mama wapo kimkakati tu. Wanatafuta mwanaume wa kuwa daraja amkuzie watoto baasiii. Inatuuma kuona wanaume wanatapeliwa kizembe kwa kuendekesa mbususu. Ndio maana tunawaamsha.

Kuna wana wengi sana humu huleta nyuzi za kuwatetea single mama, na wengine wameoa single moms na wanadai wanaishi poa kabisa. Wasichojua single mum anaweza kukupeti peti hata kwa miaka 10 akisuka mchongo wake ukituck ndio utamjua sasa. Na mchongo wao mkubwa ni kumlele watoto wake tu ili wafanikiwe kisha afaidi peke take. So sad sister
 
I'm not a single mom..
Ila mnawaonea jamani khaaa!!!
Yaan mmekuwa ving'anga'aaa!
Dada hawaonewi, ndivyo ilivyo. Robo tatu ya single mama wapo kimkakati tu. Wanatafuta mwanaume wa kuwa daraja amkuzie watoto baasiii. Inatuuma kuona wanaume wanatapeliwa kizembe kwa kuendekesa mbususu. Ndio maana tunawaamsha.

Kuna wana wengi sana humu huleta nyuzi za kuwatetea single mama, na wengine wameoa single moms na wanadai wanaishi poa kabisa. Wasichojua single mum anaweza kukupeti peti hata kwa miaka 10 akisuka mchongo wake ukituck ndio utamjua sasa. Na mchongo wao mkubwa ni kumlele watoto wake tu ili wafanikiwe kisha afaidi peke yake. So sad sister
 
Dada hawaonewi, ndivyo ilivyo. Robo tatu ya single mama wapo kimkakati tu. Wanatafuta mwanaume wa kuwa daraja amkuzie watoto baasiii. Inatuuma kuona wanaume wanatapeliwa kizembe kwa kuendekesa mbususu. Ndio maana tunawaamsha.

Kuna wana wengi sana humu huleta nyuzi za kuwatetea single mama, na wengine wameoa single moms na wanadai wanaishi poa kabisa. Wasichojua single mum anaweza kukupeti peti hata kwa miaka 10 akisuka mchongo wake ukituck ndio utamjua sasa. Na mchongo wao mkubwa ni kumlele watoto wake tu ili wafanikiwe kisha afaidi peke take. So sad sister
Aisee...
Sasa nini chanzo cha single mothers??
Je nyie wanaume hamhusiki katika kutengeneza single moms?
Wanazaa na Nani?
 
I'm not a single mom..
Ila mnawaonea jamani khaaa!!!
Yaan mmekuwa ving'anga'aaa!
Dada hawaonewi, ndivyo ilivyo. Robo tatu ya single mama wapo kimkakati tu. Wanatafuta mwanaume wa kuwa daraja amkuzie watoto baasiii. Inatuuma kuona wanaume wanatapeliwa kizembe kwa kuendekesa mbususu. Ndio maana tunawaamsha.

Kuna wana wengi sana humu huleta nyuzi za kuwatetea single mama, na wengine wameoa single moms na wanadai wanaishi poa kabisa. Wasichojua single mum anaweza kukupeti peti hata kwa miaka 10 akisuka mchongo wake ukituck ndio utamjua sasa. Na mchongo wao mkubwa ni kumlele watoto wake tu ili wafanikiwe kisha afaidi peke yake. So sad sister
 
Unaweza kusema single mother wanaonewa but asilimia kubwa waliooa single mother wanakutana na changamoto kubwa mno hii ndio inapelekea wanasemwa sana na mara nyingi case zao zinajirudia kama vile wameambizana mfano wengi wao wanagawa mzigo kwa mzazi mwenza,uingia kwenye ndoa kwa lengo la kusaidiwa kulea watoto badala ya upendo, huwezi kuthaminiwa kama watoto wake mfano mzuri halisia ni mjomba wangu yeye alioa single mother mwenye watoto 3 ukazaa nae watoto wengine 3 kuna kipindi aliumwa sana kwa kuji nyima mno ili familia iwe kwenye hali nzuri kuumwa kwake huyo single mother hakujali mpaka akaja kusaidiwa na ndugu zake but walichelewa mpaka ikapelekea umahuti wake.
red apple
Xi Jinping
tajiri
Mzee wa kupambania
Shimba ya Buyenze
 
Hivi single mother hutengenezwa na nani? I meant chimbuko la single mother nini chanzo chake?

Je wakulaumiwa ni single mother au root cause inayowatengeneza hao single mother?

Nimeandika comment yangu kwa njia ya maswali ili iwe rahisi kuelewa nikijibiwa
 
Back
Top Bottom