Rangelo Maria Janga (born 16 April 1992) is a Curaçaoan professional footballer, who plays for NEC Nijmegen, on loan from Astana, and the Curaçao national team.
Asalam aleiko
Moja kwa moja kwenye Mada
Siku za hivi karibuni nimeanzisha harakati za kuzitandika mbususu ipasavyo na tena bila huruma.
Sasa cha ajabu kati ya mbususu 10 ninazokutana nazo basi 8 lazima ziwe kavu.
Soo nauliza ni mimi ndio nina bahati mbaya au k kavu ishakua janga la taifa?
Wanajamvi
Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini
Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa ukaribu ili kupunguza madhara ya kiafya yanayoweza kujitokeza baadaya kwa walaji
Imekuwa ni jambo la...
Wanahisi wamekuwa neglected katika jamii inayowazunguka ambayo imekataa ku-prioritize afya ya akili.
Sasa ndani ya JF with hidden identity anaona ndio pahala sahihi pa ku-shout out🗣🗣makunyazi yake, sio kwamba apunguze stress ila bila kujua ana jihukumu kwa namna alivyo kwa kuyasema mambo mazito...
Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni hatua muhimu sana kwa ustawi wa binadamu na ni njia rahisi ya kufikia malengo endelevu ya kidunia "'sustainable development goals" lakini lipo swali la kujiuliza nyuma ya yote hayo.
Sayansi na teknolojia imechangia urahisishaji wa maisha ya binadamu kuliko...
Makanisa yanayohimiza elimu, maadili na maendeleo yamekuwa nguzo muhimu kwa jamii nyingi.
hapa kwetu ukifuatilia jamii zilizoendelea, basi nyuma yake kuna Roman Catholic, Lutheran, Moravian, n.k.
Lakini pale dini inapogeuzwa sehemu ya kulinda matapeli, kuhubiri ujinga au kuwanyonya wananchi...
cancer
elimu
gongo
hata
hatuna
haya
jamii
janga
kagame
kanisa
kipaumbele
kuanzisha
kubwa
kupitia
kuweka
maendeleo
makanisa
matapeli
mbele
mchungaji
nyingi
taifa
Sote ni mashuhuda kwamba,
katika majukwaa mbalimbali humu JF, kumezuka na kuibuka wimbi kubwa sana la baadhi ya wadau wa JF kujidhirisha pasina shaka yoyote kwamba wao ni kundi la mamluki wa vibaraka fulani wa mabwenyenye ya magharibi,yaliyokita kambi humu nchini, lakini pia ni wazi kwamba wao...
Hali ya barabara katika mitaa yetu ya TABATA (NSSF) sasa imefika hatua ambayo si kero tena, bali ni janga la miundombinu linalohatarisha usalama, afya, na uchumi wa kila mkazi. Kama picha zinavyoonyesha, barabara ambazo ilipaswa kuwa kiunganishi cha familia zetu zimegeuka kuwa mashimo ya maji...
1/ Kutoka Uyole hadi Mbalizi, wananchi wanakumbana na vumbi lisilomithirika kila siku. Hali hii si tu kero, bali ni tishio kubwa kwa afya za wakazi wa jiji la Mbeya hasa wafanyabiashara. Magari yanatimua vumbi zito sana pale katikakati ya jiji kwa sasa.
2/ Vumbi hili linaongeza hatari ya...
Heri ya Mei Mosi wakuu!
Fikiria hili: Ni wikiendi, upo kijiweni au kwenye banda la kuonesha mpira. Yanga inacheza na Simba, au labda Arsenal ipo uwanjani dhidi ya Man City. Lakini badala ya macho yote kuwa kwenye soka pekee, asilimia kubwa ya vijana wameshikilia simu zao wakichanja 'mikeka' au...
Bei ya mafuta inaogofya. Imepanda kwa kasi sana.
Unalala lita moja 2,800 Tsh unaamka 3,800 Tsh. Hatari.
June 2020 Covid ipo on fire ilikua unanunua chips kavu au unanunua mafuta lita moja, muamuzi ni wewe.
https://www.youtube.com/watch?v=tx3B0RfO9-U
wenzetu
https://youtu.be/8p9riRjgazo?si=8faEViuKjxL8ndY2
Kenya wamepata $1.6B kwenye mkutano mmoja wakati biashara ya Tanzania na Urusi ni $400M tu kwa mwaka. Akili za wajinga wajinga ndiyo wanatuongoza
Kumekuwa na janga kubwa ambalo linahitaji uwajibikaji wa wanaume kuwashughulikia akina mama na akina dada ambao 100% wote wanasumbuliwa na Upwiru...
Mfano mdogo, angalia jinsi wanawake walivyo wepesi kufanya mapenzi na wanakung'ang'ania hata kama hauna pesa ya kumpa. Angalia jinsi wanaume...
Haimaanishi ilikuwa ni lazima kijana ufanye punyeto katika processs ya ukuaji wako lakini pia haimanishi ilikuwa sio jambo la kawaida kufanya punyeto, ni kitu cha enzi na enzi,
Lakini kwa sasa punyeto haisomeki kama step ya maisha ila inasomeka kama sehemu ya maisha, maana katika wingi mkubwa...
Kwa sasa, betting ni janga kwa waafrika na neema kwa matapeli na watawala mafisadi.
Je, chanzo zaidi ya ujinga na uvivu wa kutafuta ni nini?
Alaumiwe nani lati wanaobet, wanaoendesha betting, na watawala wanaoridhia jinai hii?
Nini kifanyike?
Kama watu na taifa tunafaidika au kuathirika vipi?
Tanzania ilipitia kipindi ambapo internet haikuweza kufunguka vizuri, jambo lililochangia kuchanganyikiwa kwa watumiaji wengi.
Utafiti na uchambuzi wangu wa kitaalamu kabla na baada ya kufungwa na kurudishwa kwa mtandao nimebaini kwamba tatizo halikuhusiana na kuzimwa kabisa kwa mtandao, bali...
Hata wahenga walisema mchuma janga hula na wakwao na sio mchuma Janga hupelekea wengine wakale...; Ni mengi yalikuwa yakitokea na tuliyaona tangia kitambo; Impunity, Ufisadi, Ufujaji na sio tu kutokujua kula na vipofu bali watu walikuwa mpaka wanawatemea mate let alone kutokuwashika mkono...
Za weekend
Sometimes u-single ni kitu kizuri, ila u single sugu ndo ninaouzungumzia hapa/au kwa namna ingine naweza iita (loneliness epidemic) among vijana wa kike na wa kiume ni kubwa, vijana wengi wakiwa kwenye umri wa kuoa au kuolewa..hawana kabisa watu wa kufunga nao pingu za maisha, saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.