Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,728
- 14,053
Kwahiyo kwa binti au mwanamke timamu mwanaume akikwambia nizalie na wewe unazaa tu kwasababu hauna akili timamu, akikwambia tembea uchi barabarani utatembea?Umeongea Kwa details na feelings, nimekuelewa...
Lakini bado umeweka wanaume kama wao ni malaika.
Mtaani wanawake wengi wanasema wanaume huwa Wana tabia ya kuomba "nizalie mtoto" .
Ili ku prove Kama wanapendwa...
So wanaume wa hivyo pia husababisha idadi ya single moms kuongezekaa.
Tusiwanyooshee Sana mikono....factors ni nyingii