Umeongea Kwa details na feelings, nimekuelewa...
Lakini bado umeweka wanaume kama wao ni malaika.
Mtaani wanawake wengi wanasema wanaume huwa Wana tabia ya kuomba "nizalie mtoto" .
Ili ku prove Kama wanapendwa...
So wanaume wa hivyo pia husababisha idadi ya single moms kuongezekaa.
Tusiwanyooshee Sana mikono....factors ni nyingii
Kwahiyo kwa binti au mwanamke timamu mwanaume akikwambia nizalie na wewe unazaa tu kwasababu hauna akili timamu, akikwambia tembea uchi barabarani utatembea?
 
H
Nakubaliana nawe kwa 100 kabisa. Hao wapo tena wengi tu. Ila nimekua nikisema kila siku hapa, wanaume wa aina hii ni wasen ge na wanastahiri kuchomwa tu.

Ila mapenzi bana, eti nizalie nikupende zaidi jamani😂 na kuna binti wa mtu anajaa.

Niongezee na kundi lingine la wanaume wenye kujisifu anamtoto ili hali dogo anakaa either kwa bibi au kwa dem aliezaa nae dem anataabika kuhudumia alafu kenge mmoja anajisifia tu ana mtoto mkubwa. Nyaambaf
Hao nao tuwafungulie Uzi...
Tuwasimange hahaha.
 
Kwahiyo kwa binti au mwanamke timamu mwanaume akikwambia nizalie na wewe unazaa tu kwasababu hauna akili timamu, akikwambia tembea uchi barabarani utatembea?
Siyo hivyo...
Mapenzi Yana nguvu Sana...na mostly wanawake tunapendwa kudanganywa...
Only if mngeelewa...mnge waonea huruma.
 
Chanzo hicho hapo soma hiyo post ambayo si ya kutengeneza na video ipo kabisa kama ushahidi. View attachment 2988829
Huyu mtu mmoja hawezi kujustify chanzo cha single mother wote,

Kumbuka pia hata wanaume hua wapo wanaotaka wanawake wakuzaa nao tu,hata hapa JF zipo thread za hivyo,

Kuna single mother wamekutana na moto kwenye ndoa zao mpaka wakasalimu amri,the same na kwa wanume pia.
 
Huyu wa kwangu ni debe tupu asee,mwanaume timamu hawezi ishi naye,alafu suala la kugawa uroda kwake sio tatizo anaweza kuwapa wote ni nyie tu
Na asilimia kubwa wapo hivyo anakuwa na wanaume ili hatibu personal needs mwingine kwaajili ya kumkaza vizuri, the rest ni kwaajili ya kupewa hela kutatua shida zake
 
Huwa nasema mara nyingi humu,wako kama wamevurugwa akili,huwa wanaingia kwenye ndoa sio kuwa wamependa ni kwakua wako desperate na wanataka kuwaonyesha baba watoto zao kuwa na wao wanapendwa,ila utashangaa jamaa akija kumuomba mapenzi ya wizi anakubali...
hii ndio shida yao kubwa hawana msimamo anaweza kukuelezea kuwa mzazi mwenzake amemtelekeza, mara anampiga mara mchekupakaji cha ajabu anaenda kumpelekea mzigo
 
Umeongea Kwa details na feelings, nimekuelewa...
Lakini bado umeweka wanaume kama wao ni malaika.
Mtaani wanawake wengi wanasema wanaume huwa Wana tabia ya kuomba "nizalie mtoto" .
Ili ku prove Kama wanapendwa...
So wanaume wa hivyo pia husababisha idadi ya single moms kuongezekaa.
Tusiwanyooshee Sana mikono....factors ni nyingii
Hakuna mwanaume ambaye anataka mtoto alafu baada yakuzaa na huyo mtu wake akamtelekeleza mtoto labda kutokee factors nyingine kama vile mwanamke kutakuwa mwaminifu
 
Sasa wakubwa mnanishauri nini mim nina demu mmoja hivi naye ni alikuwa single mother ila mtoto alivo kua kua alichukuliwa na baba yake, sasa kwa hizi story zilizo pigwa hapa zinanichanganya 😐 demu yuko vizuri ila romantic yake nahisi siyo ya dhati kabisa kama vile anafanya tu kutimiza wajibu,, nifanyaje wakuu
Naomba mnielewe sio mtaalamu sana kwenye uandishi
 
Sasa wakubwa mnanishauri nini mim nina demu mmoja hivi naye ni alikuwa single mother ila mtoto alivo kua kua alichukuliwa na baba yake, sasa kwa hizi story zilizo pigwa hapa zinanichanganya 😐 demu yuko vizuri ila romantic yake nahisi siyo ya dhati kabisa kama vile anafanya tu kutimiza wajibu,, nifanyaje wakuu
Naomba mnielewe sio mtaalamu sana kwenye uandishi
Kwanini unasema romantic yake sio ya dhati? Ili tujue tunakusaidiaje
 
Kwanini unasema romantic yake sio ya dhati? Ili tujue tunakusaidiaje

Hayuko serious kwenye mawasiliano nakuwa kama nalazimisha tu, yeye yuko chap tu kutoa ngada tu ila kuhusu mambo mengine ni kama nalazimisha very short answers kwa kila ninacho muongelesha
 
Hayuko serious kwenye mawasiliano nakuwa kama nalazimisha tu, yeye yuko chap tu kutoa ngada tu ila kuhusu mambo mengine ni kama nalazimisha very short answers kwa kila ninacho muongelesha
Basi huyo hakupendi achana nae Usije ukajuta huko baadae ukishaamua kumpiga chini mwanamke usimrudie tena hata akuombe msamaha kiasi gani huwa wanakuja kwa mission maalumu baada ya kufeli huko alipoona panafaa. Zingatia hiki nilichokwambia utanishukuru baadae
 
Basi huyo hakupendi achana nae Usije ukajuta huko baadae ukishaamua kumpiga chini mwanamke usimrudie tena hata akuombe msamaha kiasi gani huwa wanakuja kwa mission maalumu baada ya kufeli huko alipoona panafaa. Zingatia hiki nilichokwambia utanishukuru baadae

Nashukuru sana kwa ushauri
hapa inawezekana yupo tu kimkakati maana anasisitiza sana suala la kumuoa hana story nyingine zaidi ya hiyo
 
Back
Top Bottom