Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 7,184
- 26,848
Dogo hamchoki haya ma uzi asee. Kwa siku unaanzisha uzi ngapi za hivi asee. Kwani umelazimishwa kuoa wa hivyo. Si uchague mabikira unaowataka uachane na ma singo mama. We hujaambiwa uwaoe lakini unavyotoka povu
Usipangie watu maisha. Hebu achana na maisha ya watu dogo.
Tafuta hela ujiepushe na masumu mwilini
Usipangie watu maisha. Hebu achana na maisha ya watu dogo.
Tafuta hela ujiepushe na masumu mwilini