Story ya kweii yenye mafumbo.
Sehemu ya kwanza....
Dar es Salaam ina siri nzito. Unaweza kudhani unaijua kwa sababu unatembea mitaa ya Posta, Kariakoo, au Masaki mchana, lakini ukweli ni kwamba hujui kitu. Chini ya taa za jiji hili, kuna milango isiyoonekana na macho ya kawaida. Milango...