laana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Wanawake mna Mapepo Kama sio Laana

    Miaka miwili iliyopita nilikuwa penzini na bidada mmoja na ukweli n kwamba kipindi kile sikuwa vzr kiuchumi Sasa huyu bidada alinidharahu na kuniona kuwa Mimi sio type yake Aliwahi kunitamkia kuwa yupo na Mimi ila Kuna idadi kubwa ya wanaume wanamfuata kumtongoza , hii kauri ilinifanya...
  2. MKANGAFFU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jifunze kukataa hizi laana kwa nguvu zako zote.

    Kwa nini hatuanzi, na tukitaka kuanza tunaghairi? Moja ni ‘laana’ ya kuwa na uwezo. Unajua unaweza, ukitulia siku moja tu kazi ya mwezi mzima utaifanya ndani ya siku mbili na hakuna tatizo. Kwa nini uanze mapema kama unaweza kuanza siku moja kabla? Unaahirisha upumzike kwanza. Pili, imani kuwa...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Nilishirikishwa ufisadi na "mamlaka kuu" nikakataa, naogopa laana za Watanzania

    Amejitoa mhanga! Anytime soon atabambikiwa kesi ya Uhaini! Or any other life threatening attempts on him Huyu ni next to Lisu! Msikilize Note: mamlaka kuu ameitaja, sikutaka kuiweka kwenye heading
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Karatasi za kufuta laana

    Story ya kweii yenye mafumbo. Sehemu ya kwanza.... Dar es Salaam ina siri nzito. Unaweza kudhani unaijua kwa sababu unatembea mitaa ya Posta, Kariakoo, au Masaki mchana, lakini ukweli ni kwamba hujui kitu. Chini ya taa za jiji hili, kuna milango isiyoonekana na macho ya kawaida. Milango...
  5. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Kila mtu anajua nchi yetu imeingizwa kwenye laana ya damu Siku hizi mtu kutekwa na kuuawa imekuwa jambo la kawaida sio watu wa kawaida hata watu mashuhuri na wanasiasa. Viongozi wa dini wapo kimya ukiacha wakatoliki, wengi wanauunga mkono serikali iliyotufikisha hapa. Tukiacha hii laana...
  6. Pakome

    JamiiForums Tanzania Hakuna laana mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana

    Hakuna uamuzi mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana Njia ya haraka sana ya kulaaniwa ni kutesa watu na kuwanyanyasa Laana haiji kwa njia moja inakuja kwa namna tofauti sio lazima njia iliyomlaani fulani ndiyo itakayomlaani na yule...
  7. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Umoja wa waarabu wanawanyanyasa MaShia kwa kuwafunga, kuwafukuza na kufunga misikiti yao. Hili halitavumilika. Laana za Allah ziwe juu yao

    MAADUI WA WAFUASI WA AHLUL BAIYT WANAZIDI KUJIDHIHIRISHA KWA KUKAA UCHI. Umoja wa kiarabu washenzi wa kiwahabi Saudia, Qatar, Bahrain, UAE na Kuwait wenye asili ya Kiyahudi wameanza kuwafukuza Mashia kwenye nchi zao, kutaifisha mali zao na hata kufunga misikiti yao. Ukweli ni kuwa wanarudisha...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kumbe ni kweli ulimi wako unaweza kuwa laana kwako ukiutumia vibaya

    Kumbe kinachosema watu kuwa ulimi wako unaweza kuwa laana kwako ni kweli. Kuna dada mmoja hapo nyuma aliachana na mume wake baada ya kufungua kibiashara chake ambacho kilikuwa kinamuingizia pesa. Dada uyo alimchafua mume wake kwa kumtukana mpaka kwenye mitandao ya kijamii TikTok uko akishauria...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina za laana

    Kuna aina mbalimbali za laana zinazoaminiwa kuathiri maisha na mwili wa binadamu, pamoja na mbinu tofauti za kujikinga kulingana na imani za kidini na kijadi. hizi laana zimegawanywa kulingana na chanzo chake ama asili yake... Hebu tuzipitie moja moja 1.Laana za Ukoo (Generational Curses)...
  10. Loading failed

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakristo tujengeni hoja hapa: Mchungaji akikutongoza ukamkataa ni laana? Alisikika mtu mmoja akisema

    Kuna mtu mmoja alisikika huko mitandaoni akisema kwenye video mjongeo maneno hayo aliyosasema kama inavyoonekana hapo chini... Mama kauliza hapo wakuu.. tusaidiane kupata majibu mpaka imfikie mama Cc. Mhe. Dkt Dorothy Gwajima . waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum...
  11. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Utajuaje kama una laana?

    Laana ni nini? Kwa mujibu wa Biblia laana ina maana kadhaa wa kadhaa ikiwa ni pamoja na; 1. Kuwa na maisha yasiyo zaa 2.Kutambaa (kuwa na hatua hafifu kwenye maisha) 3.Kufa, hapa namaanisha kifo cha mwili au kuishi maisha kama mfu. Au kuishi mahali ambapo kila kitu kimekufa. 4.Kuzaa watoto...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Niliiona hii laana ikiingia nchini

    Sasa hivi haya mambo yamekuwa ni ya Kawaida kiasi kwamba watu wakiyasikia hawastuki sana Haya mambo yalianza miaka ya 90.. Uumbaji ulipoanza kunajisiwa kwa kasi ya aina yake Wababa kutembea na mabinti zao mpaka wengine kuwapa ujauzito na kuzaa nao ama kufanya abortion Wamama kuingia kwenye...
  13. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Wanaume tutafute hela, ni aibu kwa mwanaume kuishi kwa kuombaomba kwa watu ili uhudumie familia Yako ujue unatengeza kizazi cha laana

    Mwanaume popote ulipo ujue kuwa unatakiwa u - hustle kutafuta hela bila kuchagua Kazi ya kufanya as long as itakuingizia kipato. Acheni ubishoo! Hela za kuomba omba kwa watu hazijawahi kuwa na baraka, ujue hiyo laana inahamia kwenye ukoo wako na vizazi vyako vyote wataishi maisha ya kutembeza...
  14. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Habari za muda huu wana-JF, Nimekuwa nikifanya tafakari ya kina juu ya hali ya Ziwa Victoria tangu miaka ya 1980 hadi sasa. Wote tunajua kuwa katika miaka ya 1950, uamuzi ulifanywa wa kumwingiza Sangara (Nile Perch) ndani ya Ziwa Victoria akitokea Ziwa Albert na Mto Nile nchini Uganda. Lengo...
  15. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mercedes Benz ya kuondoa laana za ukoo iko sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 65M Call📞+255 747 999 927 MERCEDES BENZ E CLASS Upgrade: 2017-2021 Engine Capacity,: 1,990Cc Low Mileage Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨Back Camera ✨Parking Sensors ✨Aftermarket Rims ✅100% Duty Paid ✅Free Registration ✅Swap Deals Allowed
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Stendi kuu ya Magufuli sio rafiki, ni laana kwa wasafiri na wasafirishaji jijini

    Inaonekena kuwa ujenzi wa stendi ya mabasi ya magufuli jijini Dar ilijengwa bila kuwashirikisha wadau. Haizingatii desturi, mazoea, utamaduni, uchumi na utaratibu wa wadau. Ninapotaka kusafiri kwenda au kutoka mikoani hofu yangu kuu ni nitafikaje au nitatokaje stendi ya Magufuli, maana hakuna...
  17. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiroho; Simba na Yanga haziwezi tena kufanya vizuri kwa jina la Tanzania, nchi ina laana

    Tangu tarehe 29.10.2025 ,Tanzania ilipata doa ,nchi ilichafuka ,Taifa limelaaniwa. Hatuwezi kupata chochote kama Taifa tuka toboa .Iwe mpira, muziki ,biashara na uwekezaji . Tunahitaji toba ya kweli kutoka hapa. Simba na YANGA mwambieni Rais wenu aombe toba Kwa Mungu
  18. Twilumba

    JamiiForums Tanzania Silaha inayonyanyuliwa dhidi ya raia asiye na hatia huanzisha laana ya kizazi-Simulizi kuhusu Kijana George Chipeta

    Siku ya 29 Oktoba 2025 ilianza kama siku nyingine ya kawaida kwa George Chipeta, fundi wa umeme wa magari anayejitafutia riziki kwa jasho la mikono yake. Asubuhi hiyo alichukua pikipiki yake mwenyewe, akaondoka Vingunguti, akavuka daraja kuelekea Tabata kufuata spare ya mteja. Aliipata spare...
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Laana ya Ushoshalisti, Ukomunisti na Ujamaa

    Kama nchi ikiongozwa kwa falsafa za Kishoshalisti, kikomunist na kijamaa laana zifuatazo huwa ni sehemu ya maisha ya jamii husika. Viongozi hulazimisha kuabudiwa. Vyombo vya dola hugeuka kuwa kandamizi Kwa wananchi. Viongozi hugeuza mfumo kuwa wa kifalme. Wananchi wa kawaida hufukarishwa...
  20. I

    JamiiForums Tanzania Cap: Ni kama kimekuwa vazi la laana hapa Tanzania

    Cap. Kapero. Ni moja ya mavazi yanayopendwa sana ulimwenguni tena na watu wema. Lakini kwa nchi yetu, vazi hili binafsi nimekuwa nikilinasabisha na uhalifu. Mara kwa mara matukio haramu ya utekaji ukitizama wale watekaji pale inapotokea wamerekodiwa hakosekani mmoja (au wawili au zaidi)...
Back
Top Bottom