maambukizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    #COVID19 Serikali yatoa angalizo maambukizi mapya ya Corona

    Serikali ya Tanzania imesema kuna viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona kuingia nchini kutokana na nchi jirani wananchi wake kuzidi kupata maambukizi ya ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Juni 19, 2021 katika Uwanja wa...
  2. beth

    WHO: Afrika inakabiliwa na ongezeko la maambukizi ya Corona

    Mkurugenzi wa Shirika la Afya (WHO) Afrika, Matshidiso Moeti amesema Afrika inakabiliwa na wimbi la tatu la mlipuko wa COVID-19 ambapo maambukizi mapya yameongezeka kwa 30% wiki iliyoisha na vifo kwa 15%. Asilimia 76 ya maambukizi mapya yametajwa kutokea katika Nchi tano za Afrika Kusini...
  3. beth

    #COVID19 India: Maambukizi ya COVID-19 yaendelea kupungua

    Mwenendo wa mlipuko wa COVID19 Nchini humo unaendelea kubadilika na sasa India imerekodi maambukizi mapya 70,421 ndani ya saa 24 zilizopita, ikiwa ni idadi ndogo zaidi kuripotiwa tangu Machi 31. Taifa hilo limerekodi jumla ya visa Milioni 29.51 na vifo vimefikia 374,305 baada ya vingine 3,921...
  4. Analogia Malenga

    DRC yakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizi ya Virusi vya Corona

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizo ya corona, na huku kitovu kikiwa katika mji mkuu, Kinshasa, ikiwa ni moja ya miji yenye idadi kubwa ya watu barani Afrika, Waziri wa Afya Jean-Jacques Mbungani alisema Alhamisi. Kwa mujibu wa shirika la habari la...
  5. Chris wood

    Hakuna kitu kibaya kama kujihisi umeathirika HIV

    Najua sii mimi pekee ambaye nimeshakutana na hii hali ni wengi imewakuta sema tu unakuta tunaugulia kimya kimya. Mwaka wa tatu huu nimekuwa nikiishi kama digidigi yaani hata nikipata malaria kidogo naanza kufikiria michezo michafu niliokuwa naicheza huko nyuma, nasema au ndio dalili za HIV...
  6. beth

    India: Maambukizi ya Corona yafikia Milioni 25

    Maambukizi Nchini India yamefikia Milioni 25, ikiwa ni Taifa la pili ulimwenguni kufikia idadi hiyo baada ya Marekani. Visa vipya 263,533 vimerekodiwa katika saa 24 zilizopita na kupelekea jumla ya maambukizi kuwa Milioni 25.23. Idadi ya maambukizi mapya imekuwa ikipungua katika Taifa hilo...
  7. Sam Gidori

    #COVID19 India: Maambukizi ya Corona yapungua

    India imeripoti kushuka kwa maambukizi ya virusi vya corona katika miji yake mikubwa miwili ya Delhi na Mumbai, inayokaliwa na zaidi ya theluthi mbili ya wakazi bilioni 1.4 wa taifa hilo. Maambukizi mapya 326,098 yameripotiwa ndani ya saa 24 zilizopita, pamoja na vifo 3,890, ingawa wataalamu wa...
  8. Chaliifrancisco

    Urembo wangu Unawafanya watu Kutoamini Kwamba nina Virusi vya HIV

    Susan Metta ni mwanamke wa miaka 40 kutoka nchini Kenya. Miaka miwili iliyopita alipopashwa habari za kuwa alikuwa na virusi vinavyosababisha ugonjwa wa ukimwi,badala ya kukumbwa na simanzi huzuni na machungu, mwanadada huyu anasema kuwa alitabasamu tu na kumueleza muhudumu wa afya aliyekuwa...
  9. beth

    WHO: 46% ya maambukizi ya Corona wiki iliyopita yametoka India

    Shirika la Afya (WHO) limesema takriban nusu ya maambukizi ya Virusi vya Corona yaliyorekodiwa duniani wiki iliyopita ni kutokea Nchini India WHO imesema India imerekodi 46% ya maambukizi ulimwenguni pamoja na 25% ya vifo vyote vilivyoripotiwa wiki iliyoisha. Katika saa 24 zilizopita, watu...
  10. beth

    India: Maambukizi ya Corona yafikia Milioni 20

    Hospitali zinaendelea kuomba misaada ya dharura ya Oxygen huku Mamlaka za Mji Mkuu wa Delhi zikitoa rai kwa Jeshi kuwasaidia kukabiliana na mlipuko. Taifa hilo lina maambukizi zaidi ya Milioni 20. India ambayo inashambuliwa vikali na wimbi la pili la maambukizi ya Virusi vya Corona imerekodi...
  11. Shadow7

    Kenya yaondoa marufuku ya watu kutoka nje ‘Lockdown’

    Katika kusheherekea siku ya wafanyakazi duniani, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza kuondoa zuio la watu kutotoka nje katika kaunti tano nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona. Katika taarifa yake rais Kenyatta amesema wakati alipotoa agizo la pili kwa umma mnamo Machi...
  12. Z

    Kuna maambukizi makubwa ya covid 19 huko India,tuchukue tahadhali sana

    Kule India Visa vya Covid 19 vimepamba moto zaidi ya laki 2 kila siku wanaambukiza na 1% wanakufa. kuna wafanyabiashara wanaenda au wanatoka huko. Tunaitaji kuwa na mikakati ya kujikinga na janga hili. Cha kufanya pale airport tuwe makini .Mgeni awe wa nje au wandani anapongia aonyeshe...
  13. beth

    #COVID19 CoronaVirus: India yarekodi maambukizi mapya zaidi ya 300,000 kwa siku ya sita

    Ndani ya saa 24 zilizopita, India imerekodi visa vipya 323,144. Ni siku ya sita kwa Taifa hilo kuripoti maambukizi mapya zaidi ya 300,000 na visa vimefikia Milioni 17.64 Hospitali zimekuwa hazipokei Wagonjwa kutokana na uhaba wa vitanda na Oxygen. Vifo 2,771 vimerekodiwa katika siku moja lakini...
  14. Kuchasoni Kuchawangu

    #COVID19 Baada ya kumaliza Maombolezo ya kumuaga mpendwa wetu Magufuli, tujiandae na maambukizi mapya ya COVID-19

    Kwa kile nilichokishuhudia uwanja wa uhuru jana na leo, na kile kinachokwenda kufanyika Dodoma, Zanzibar, Mwanza na Chato cha watu kutokuchukua tahadhali ya ugonjwa wa Corona. Tutarajie nchi yetu kukumbwa na maambukizi mapya ya COVID-19. Ninasihi sana viongozi wetu tuchukue tahadhali kabla...
  15. Chato tena

    Covid 19: Rais Kenyatta apiga marufuku mikusanyiko ya kisiasa kwa siku 30. Curfew yaongezwa kwa siku 60

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza taratibu mpya za kudhibiti janga la COVID-19 nchini humo ikiwa ni pamoja na: Mikusanyiko ya kisiasa imepigwa marufuku kwa siku 30. Marufuku ya kuwa nje usiku imerefushwa kwa siku 60 zaidi Mabaa na kumbi za burudani kufungwa kuanzia saa tatu usiku. Mazishi...
  16. J

    #COVID19 Hatua za kuchukua unapojitenga na maambukizi ya COVID-19

    Kujitenga ni kwa ajili ya watu wenye dalili za Korona pamoja na ambao hawana dalili lakini wamepima na kuthibitika kuwa wana virusi vya Korona Hatua za kuchukua ni kama zifuatazo:- Kaa nyumbani isipokuwa kama utahitaji kupata huduma ya matibabu Kaa katika chumba tofauti na wanafamilia...
  17. J

    Nawa mikono na hakikisha haujigusi sehemu za uso ili kuzuia maambukizi

    Wataalam wa Afya wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kunawa mikono kama njia kuu ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine Tunaponawa mikono tunaondoa vijidudu kwenye mikono yetu kutoka kwenye sehemu mbalimbali tulizogusa Mkono ambao huutumia kugusa usoni mara...
  18. CUF Habari

    #COVID19 CUF: Hali ya maambukizi ya Covid-19 nchini Tanzania na hatua za kuchukua

    TAARIFA KWA UMMA HALI YA MAAMBUKIZI YA COVID- 19 NCHINI TANZANIA NA HATUA ZA KUCHUKUA Ndugu wanahabari! Karibuni tena kwenye Ukumbi huu wa Shaaban Khamis Mloo ambapo CUF- Chama Cha Wananchi kinaongea na Umma wa Watanzania kwa mara nyingine kupitia kwenu. Awali ya yote ningependa kumshukuru...
  19. Elisha Sarikiel

    Askofu Dkt. Mtokambali: " Wito wa maombi maalum ya kitaifa ya siku 21 dhidi ya wimbi la pili la maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19)”.

    Wana jamvi amani kwenu ! Leo nachukua nafasi hii kumpongeza askofu mkuu Dkt. Barnabas W. Mtokamhali wa kanisa la TAG; kwa barua ya kumbukumbu TAG/MNM/GEN/45 ya tarehe 05 Machi 2021; kwenda Maaskofu wote wa Majimbo,Wakurugenzi wote wa Idara na Vitengo, Waangalizi wote wa Sehemu, Wachungaji wote...
  20. J

    Mama mwenye maambukizi ya Korona hawezi kumuambukiza Mtoto kwa kumnyonyesha

    Tafiti zinaonesha kuwa virusi vya Korona haviambukizwi kupitia njia ya kunyonyesha Hivyo mama aliyethibitika au kuhisiwa kuwa na Virusi vya Korona anaweza kuendelea kunyonyesha mtoto wake isipokuwa atazingatia yafuatayo:- Kuosha mikono mara kwa mara na sabuni na maji tiririka au kwa kutumia...
Back
Top Bottom