urembo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilifanya uache kuhangaika na urembo na vipodozi?

    Zamani nilikua nahangaika sana na vipodozi, mie kutwa napambana na urembo yaani nikisikia hiki ninacho kile natafuta ili tu nisipitwe na fasheni ya urembo mjini. Siku moja nikaambiwa mafuta fulani yanafanya ngozi iwe na mnga'ao wa kuvutia sana nikayatafuta nikayatumia kilichonikuta yale mafuta...
  2. mkenya wa kova

    JamiiForums Tanzania Tunafanya urembo wa nyumba yako kwa gjarama nafuu sana.

    Tanafanya finishing za nyumba kwa gjarama nafuu sana , moulding decorations, ceiling disign na skimming .tupo dar es salaam na tunafika mikoani bila shida kabisa. 0765069058 WhatsApp.
  3. O

    JamiiForums Tanzania Weka list ya vipodozi, urembo, mapambo na vitu vyote vihusuvyo kujiremba kwa mwanamke hapa hasa vinavyouza zaidi Tanzania

    NAHITAJI Kwa ajili ya duka la vipodozi, mafuta losheni na nini na nini. Usipoint Kwa MTU au kwenda MOJA kwa moja Kwa supplier tuanzie hapa. Pasipoeleweka nitaenda ila itakuwa balaa NB sina experience YOYOTE nataka dogo flani asimamie Weka HATA pdf lako au excel.
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nasikia alitokea kupendezwa na urembo wa mkamwana wake aitwaye zainab na akamshawishi amtariki mwanae ili amuoe.

    hamis77 Castle_Lite tupeni mwanga zaidi
  5. haszu

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua saloon ya kiume kwa ajili ya usafi na urembo.

    Huduma kama 1. Kusafisha kucha Wanaume wengi wanajisahau sana suala la usafi wa kucha, unakuta kucha zimeweka weusi pembeni, nadhan pia ndio wanachangia kuongezeka kwa UTI na infection kwa wadada, kucha sharti ziwe safi. 2. Kupuliza perfume Wanaume wengi wanaharufu kali wengine asili wengine...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna urembo wa wanawake kujiumua lips!

    Huu urembo wa wanawake kujiumua lips ni kwa wazungu tu au Waafrika pia?
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa wachina wembamba wa mwanamke ndio urembo

    🇨🇳 Kwa Wachina, Urembo wa Mwanamke ni Wembamba Wake... Katika jamii ya Kichina, wembamba ni ishara ya uzuri wa mwanamke 👩‍🦰✨ Huyu hapa ni mmoja wa wanawake wanaochukuliwa kuwa mrembo zaidi nchini China — anasifika kwa sura yake ya kupendeza 💫 na umbo lake linaloendana na vigezo vya urembo wa...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu wa biashara ya kufungua collage ya urembo, mapambo na cherehani

    Najua humu kuna wengi wenye upeo zaidi ya wengine Kwa muda mrefu sana nimekuwa na hili wazo la kuanzisha ama Lengo ama ndoto Veta ndogo kwa ajili ya masuala ya urembo, Isusi na mapambo n.k Sasa huwa ninakosa pa kuanzia. Sijui. Cost yake yaani kiufupi sijui pa kuanzia Natamani kupata mtu wa...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Urembo wa madirisha kwa nje na kona za nyumba

    Naomba kushare, hivi urembo wa madirisha na kona vipo kwenye fashion au ni vimepitwa na wakati? Na kama vipo, vipi huko mbeleni? Binafsi navutiwa na huo urembo ila nakuwa nakuwa nasita kuweka!
  10. Chifu mkuu

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Kenya, huu ni urembo au ni Ushamba?!

    Mabasi ya Kenya yamenishinda. Nikisafiri na mabasi kama haya lazima usiku niote ndoto mbaya! Hiyo michoro na mapichapicha yamevuka mipaka ya mapambo.
  11. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Uraibu wa urembo bandia (artificial beauty) kwa mwanamke wa kiafrika ni ugonjwa kamili wa kiakili

    Kama ulikuwa hujui tu, uraibu wa urembo bandia kwa mwanamke wa kiafrika ni ugonjwa kamili wa kiakili kwa sasa. Hapa ninazungumzia ile hali ya kubadili rangi na unyororo wa ngozi (wanaita kuglow!), kupashika kucha bandia, nywele bandia (rasta, weaving nk), kope bandia, kupiga jeki matiti...
  12. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Labda muda mwingine ni sisi ndio tunadata na urembo wao kupelekea kuanza kuwatuza isivyo kawaida thus wao kuanza kuamini kumbe penzi lao ni la mauzo

    Je ni sisi wenyewe wanaume ndio tuliotengeneza aina ya mwanamke mpenda na mtanguliza pesa katika mapenzi? Au ni wadada wenyewe ndio wame-evolve kuwa money mongers katika mapenzi?
  13. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa milioni 10, biashara ipi inafaa kati ya urembo au pharmacy?

    Wakuu, Nina 10M. Natak nifanye biashara la duka la urembo (Perfumes, mafuta, Saa,cheni,wigi,sandals etc.) au nifungue mini pharmacy. Kwa Dar es salaam. Naombemi mchanganuo Biashara ipi Inalipa?
  14. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Waratibu wa Shindano la urembo la Miss Ivory Coast 2025 wapiga marufuku matumizi ya Wigi

    Waratibu wa Shindano la Urembo la Miss Ivory Coast Mwaka 2025 wamepiga marufuku matumizi ya washiriki kuvaa nywele bandia (Wigs) au kuongeza nywele bandia katika sehemu za nywele zao Mratibu wa Shindano hilo linaloanzia hatua ya awali katika Miji 13, Victor Yapobi amesema “Tunataka Washiriki...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo kwa kutumia vipande vya miti

  16. S U N N Y

    JamiiForums Tanzania Biashara ya vifaa vya pikipiki na na urembo wa Pikipiki 2025

    UZI MAALUM WA KUSHARE MAWAZO YA BIASHARA YA VIFAA VYA PIKIPIKI NA UREMBO. Nipo mbeya, nna myezi minne toka nianze biashara ya VIFAA VYA PIKIPIKI nimekutana na challenges nyingi kias kua nakaribia kukata tamaa Ila kabla sijakata tamaa nimeona nirukie biashara ya UREMBO wa PIKIPIKI. ntaendelea...
  17. Suip

    JamiiForums Tanzania Fundi wa urembo wa kona,madirisha na nguzo za nyumba

    Nahitaji kufahamu fundi wa kuremba nguzo, kona za nyumba na madirisha anayepatikana Arusha na bei ya kazi hiyo kwa kila dirisha,kona na nguzo,nina kazi.
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo wa sebuleni.. Tv show case za mbao

  19. Smart Eagles

    JamiiForums Tanzania Pendezesha kuta za nyumba/ofisi yako kwa taa hizi za urembo

    Bei ni 20,000/= kwa taa 1. Tunatuma nchi nzima. Utalipia baada ya kupokea mzigo. Karibuni. https://smarteaglescompany.blogspot.com/2025/01/hizi-ni-taa-za-kisasa-kwaajili-ya.html
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo wa kijani kutani

Back
Top Bottom