Habari wana JF,
Natafuta duka la dawa linalo uzwa
Ambalo lina kila kitu.
Location iwe center kidogo ambapo kuna mzunguko wa biashara.
Mkoa ni Mbeya pamoja na Songwe.
Mawasiliano;0757915171
Habari wakuu,
Matumaini yangu mko vizuri na wenye shida Mwenyezimungu awasaidie, Niende moja kwa moja kwenye maada.
Wakuu naomba kuuliza kuhusiana na duka la Dawa za asili au kama ilivyozoeleka Dawa za kisunna, utaratibu katika kufungua duka la namna hii,
Mtaji uanzie kiasi gani Kwa minimum...
Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka.
Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji...
Habari za muda huu wadau.
Anatafutwa mtu wa kuuza duka la dawa muhimu.
SIFA
Awe na ADO
Awe mwaminifu
Awe mwadilifu
Awe na ujuzi wa kutoa dawa kwa usahihi
Sehemu ya kazi ni Sikonge - Tabora
Siku za kazi ni Jumapili - Ijumaa
Mawasiliano
0620860602
0621601703
0744200166
0764601703
Na Bernard Ntiyakama, BScN, TMCEHP, RN.
Mafunzo yanayomwandaa mtu kuwa Muuguzi humpa maarifa anayo yahitaji kutekeleza wajibu mbalimbali za kitaalamu ikiwemo kutoa Dawa.
Jukumu hili lanabakia kuwa salama sana mikononi mwa Muuguzi kwa sababu nyingi ikiwemo zifuatazo.
1. Anaufahamu mwili na...
Mimi nikijana wa miaka 23 nimesoma community health pia nimesoma addo dispensing
Nina uzoefu wa kazi kwenye kuuza duka la dawa pia napiga kazi kweli
Kwa sasa naitaji kazi mazingira hayo hapo tajwa.
kama mtu ana connection ya kazi hayo maeneo naomba msaada tafazari ndugu zangu
Hawa jamaa ndio wanaosimamia maduka ya dawa maarufu kama Pharmacy.
Jana nimeona wameungana na wanaharakati akina shangazi, kupinga agizo la mheshimiwa waziri Ummy, la kuondoa maduka ya dawa yaliyo karibu na Hospitali za umma kama inavyosema sheria yao wenyewe.
Sheria au kanuni ziliweka umbali...
Hodi wakuu!
Kama kichwa Cha habari hapo juu kilivyosema nahitaji mtu anayetaka kuuza biashara yake ya duka la dawa yaani DLDM au maabara ya afya kwa mikoa ya kanda ya ziwa.
kwa yoyote anayeuza anicheki
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Duka liko Dar es salaam eneo la mbezi barabara ya goba. Ni ndani kidogo mtaani sio barabara ya lami. Kutoka lami ni mwendo wa km 1.
Masharti ya kazi.
1. Ataishi nyumbani kwa boss wake kwa urahisi wa kufika eneo la kazi au dukani.
2. Awe na utaalamu wa dawa.
3. Mshahara sh 100,000 chakula na...
Naombeni ushauri mzuri Gharama nyepesi za kurekebisha Chumba cha kawaida cha futi 10 kwa 10 yn furniture pamoja na kabati za kuwekea madawa.
Pia Meza kubwa ya kioo milango ya kioo na Gharama zingine ndogo ndogo za kufanya duka liwe na mvuto inacost kiasi Gn?
Budget yangu ni 2.5 matengezo cha...
Eneo la Kazi ni Kibiti Pwani, awe msichana anayeweza kufanya kazi kt mazingira ya kijijini kidogo. Biashara ni ndogo na inaanza ila kwa eneo lilivyo baada ya muda mfupi nategemea matokeo makubwa. Akiwa mkristo ni lazima ahudhurie kanisani, na akiwa muislamu hali kadhalika.
Mshahara kwa kuanza...
Habarini wana JF,
Naomba kujua kama ni lazima mtu awe amesoma pharmacy ili aruhusiwe kufanya biashara ya duka la dawa muhimu za binadamu au la.
Naomba msaada kwa hili tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.