airtel tanzania

  1. M

    KERO Huduma za Airtel Tanzania ni mbovu sana

    Habarin wadau, Naomba mwenye uelewa anijuze nawezaje kupata haki yangu, Tarehe 04 -03-2024 nilitumia Airtel Money kufanya muamala wa TZS 150,000 kwenda tigopesa hiyo pesa kwangu ilitoka lakin haikufika kwenda ilikotumwa. Nimejaribu kutafuta msaada mara kadhaa katika ofisi za Airtel bila...
  2. M

    Airtel Tanzania huduma zao ni mbovu sana

    Habarin wadau, Naomba mwenye uelewa anijuze nawezaje kupata haki yangu, Tarehe 04 -03-2024 nilitumia Airtel Money kufanya muamala wa TZS 150,000 kwenda tigopesa hiyo pesa kwangu ilitoka lakin haikufika kwenda ilikotumwa. Nimejaribu kutafuta msaada mara kadhaa katika ofisi za Airtel bila...
  3. R

    Kwanini mtu alipie makato ya kuhamisha fedha wakati muamala umefeli?

    Unatuma pesa kwenda mtandao mwingine au benki halafu muamala unafeli, pesa uliyokua unatuma inarudishwa kwako, lakini tozo na makato kutoka mtandao wa simu hazirudishwi! Kwanini pesa ya makato ya mitandao ya simu pamoja na tozo hazirudishwi? Kwanini ukatwe tozo na makato kutoka mtandao wa simu...
  4. R

    Kampuni za simu na huduma stahiki kwa wananchi

    Kuna kitu inabidi tujiulize kuhusu makampuni ya simu na huduma tunazostahili kupata kutoka kwao, huduma ambazo ni haki yetu kupata na wala hatupewi msaada. Shida inatokea pale watanzania wapoona makampuni haya ya simu yanatuhurumia kutupatia huduma hizi na kwamba bila ya huruma yao basi huduma...
  5. Jamii Opportunities

    SMB Sales Executive -Highland Zone at Airtel Tanzania

    SMB Sales Executive -Highland Zone Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for a SMB Sales Executive -Highland Region. The role reports to the SMB Channel Manager in Enterprise Business Department. He/She will be responsible to Acquire quality business customers to contribute towards the...
  6. Jawai

    Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

    Kutokana na matumizi makubwa ya fedha kwenye manunuzi ya vifurushi vya Internet. Tarehe 01/08/2022, nilijiunga na kifurushi cha Tsh.1500 (Mb850) na niliamua kuanza kufuatilia na kujipimia matumizi ya vifushi vya Internet kwenye simu yangu kupitia Mobile data usage ambapo nilipata fursa ya kuweka...
  7. Jamii Opportunities

    Enterprise Operation Support Engineers-L1 (5 Positions) at Airtel Tanzania

    Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for Enterprise Operation Support Engineers-L1. The role reports to the NOC Assurance Manager. He/She will be responsible to ensure a 24/7 rota the highest achievable service availability through proactively performing correct network fault detection...
  8. Jamii Opportunities

    IT Business Manager – VAS & Products at Airtel Tanzania

    About us Airtel Tanzania PLC is one of the leading providers of telecommunications and mobile money services with operations across Tanzania. Headquartered in Dar es Salaam, Airtel Tanzania ranks amongst the top 3 mobile services providers in Tanzania in terms of subscribers. Airtel Tanzania...
  9. NnkoJR

    SoC01 Tozo mpya zinauma, lakini zinaweza kuwauma CCM,upinzani ukasongesha

    ALHAMISI ya Julai 15, 2021 inaweza kuwa moja ya siku yenye kumbukumbu ya kuchosha akili za mamilioni ya Watanzania, ambao simu imekuwa tegemeo lao la kufanya miamala ili kufanikisha shughuli mbalimbali za kibinafsi na hata maendeleo yao. Hii ni kutokana na kuanza kutekelezwa rasmi kwa tozo mpya...
  10. Farm boy

    Airtel Tanzania tatueni tatizo la Call Drops

    Habari Tanzania, Ninaandika kuwafikia Airtel Tanzania technical team. Kumekuwa na tatizo la kimtandao kwa muda sasa. Simu sikipigwa zinakatika tu, (calls drop). Tunaomba mtutatulie ttzo hilo ili tuendelee kufurahia huduma zenu. Ahsanteni
  11. Replica

    Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

    Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175. Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha...
  12. Wacha1

    Airtel Tanzania slashes data prices by 85%

    ''Airtel Tanzania has announced an 85 percent drop in its mobile data price from TZS 40 per megabyte. MD George Mathen, said customers' daily data patterns have increased recently and it is introducing the new data rate in response to this demand.'' ..... ..... .... ..... Mambo ya kulialia oh...
  13. Jamii Opportunities

    Territory Sales Manager at Airtel Tanzania Plc

    About us Bharti Airtel Limited is a leading global telecommunications company with operations in 20 countries across Asia and Africa. Headquartered in New Delhi, India, the company ranks amongst the top 3 mobile service providers globally in terms of subscribers. In India, the company's product...
  14. Jamii Opportunities

    Buyer at Airtel Tanzania PLC

    Airtel Tanzania PLC is looking for a suitable candidate for the Buyer Position .The incumbent will be responsible for executing procurement activities in the best practice and be a link between supplies and internal customers, while ensuring value for company money spend. Key deliverables...
  15. Jamii Opportunities

    IT Products and Promotions Engineer at Airtel Tanzania

    Airtel Tanzania PLC is looking for a suitable Tanzanian candidate for the IT Products & Promotions Engineer Position.The purpose of this position is to discuss with the commercial department to facilitate Commercial product development and campaigns. He/She will be responsible to ensure the...
  16. B

    Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  17. moto ya mbongo

    Vodacom Tanzania pays $2.3m settlement to free employees

    Vodacom's Tanzanian unit said it paid a settlement of 5.3 billion shillings ($2.3 million) for the release of five employees charged with depriving the government of revenue. The state said it didn’t receive more than 11 billion shillings from Vodacom Tanzania due to irregularities that the...
Back
Top Bottom