vodacom

  1. E

    JamiiForums Tanzania Vodacom na ahadi ya kurejesha Tsh. 75

    Leo nimenunua kifurushi kwa kutumia M-pesa kupitia menu ya vodacom ambapo walieleza wazi kuwa mteja atarudishiwa sh 75 baada ya ununuzi.Nimefuata maelekezo yote na nimekamilisha muamala,lakini hadi sasa sija pokea marejesho hayo Naomba kujua kama kuna mda maalum wa kusubiri au kama hii ni...
  2. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Yazindua Maduka Jongefu Yaliyoboreshwa

    • Kupanua Upatikanaji wa Huduma za Kidijitali Nchini Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Philip Besiimire (kushoto) akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Maduka Jongefu mapya sita yaliyoboreshwa na hivyo kufikisha maduka jongefu 12 yatakayotumika kupeleka huduma za mawasiliano...
  3. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Nimeona hii niilete kwenu Kama unajijua wew ni mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama Mm Leo nimepata mteja kutoka Moshi kanipa oda kalipia 60000 nikamfungia mzigo kamtuma mtu kuja kuuchukua baada ya kuuchukua karidisha muamala Voda hawajanipa taarifa...
  4. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom M-Pesa na PayPal Washirikiana kurahisisha malipo ya Kimataifa kwa Watanzania

    Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Vodacom M-Pesa Tanzania imetangaza ushirikiano mpya na PayPal utakaowezesha wateja kufanya miamala kwa urahisi kati ya akaunti zao za PayPal na pochi za M-Pesa kupitia M-Pesa Super App, hatua inayolenga kupanua upatikanaji wa huduma za kifedha za kidijitali...
  5. D

    JamiiForums Tanzania VODACOM UNLIMITED BUNDLE

    Kwa ambae ana kifaa au router yake ya Vodacom au universal akaribie inbox WhatsApp nimuunge hizi package kwa uharaka sana
  6. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vodacom wanazingua sana

    Wakuu, Jana Vodacom system ili crash mida ya jioni. Kuna transaction nilifanya mida hio. Sasa nikasubiri labda meseji itarudi hakuna meseji iliyorudi mpaka leo muda huu hakuna meseji hakuna maelezo yoyote hakuna chochote nilichoambiwa km mteja kuanzia jana mida ya saa 11 jioni system ilifeli...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni za MM CONNECT na PENT OPTIMISM zenye ubia wa kuendesha Maduka ya Vodacom zinachkua Vyeti vya Kitaaluma vya Wafanyakazi wake na kukaa navyo

    Kampuni za MM CONNECT na PENT OPTIMISM ambazo zina ubia wa kuendesha maduka ya Vodacom zinachkua vyeti vya kitaaluma vya wafanyakazi wake na kukaa navyo kama udhamini kinyume na utaratibu na kumbana zaid mfanyakazi kuombea Kaz kwingine
  8. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom kufanya mabadiliko makubwa usiku wa leo, Aprili 1, 2026

    Ninawapongeza sana Vodacom Tanzania kwa hatua hii kubwa wanayokwenda kuboresha mfumo wao wa M-Pesa kwa kutumia teknolojia ya kisasa zaidi. Hii inaonesha dhamira yao ya dhati ya kuendelea kutoa huduma iliyo haraka, salama na bora zaidi kwa Watanzania. Ni wazi kabisa kuwa wanaendelea kuwekeza...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imekisahau Kijiji cha Olchoronyori - Wilaya Simanjiro, huku hakuna Vodacom, Yas wala Airtel

    Mimi ni mdau kutoka Kijiji cha Olchoronyori Wilaya Simanjiro, Serikali imepasahau tunaomba itembelee huku ione changamoto zilizopo. 1. Tunaomba kujengewa mnara wa Mtandao wa Vodacom, TIGO au Airtel maana huku tunatumia TTCL unaotegemea jua tu na kukatika mara kwa mara na kusababisha ukosefu wa...
  10. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Vodacom kuna tatizo gani?

    Wakuu kwa ambae kanunua umeme,luku jana na leo kwa kutumia voda simshauri kuna tatizo kubwa sana huko voda watu tulionunua umeme jana leo tunalia na kusaga meno pesa zetu hazijarudishwa kampuni ishaanza wizi hii
  11. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Foundation Yaandaa Kambi ya Matibabu Bure Morogoro

    Na Mwandishi Wetu Morogoro — Wakati magonjwa yasiyoambukiza yakizidi kuwa tishio kwa afya ya jamii nchini, Vodacom Tanzania Foundation imeanzisha kambi maalum ya matibabu bure kwa wakazi wa Morogoro ili kuongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi wa afya pamoja na elimu ya kujikinga na magonjwa...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vodacom Gets New Order Over Safaricom Dividends

    A fresh directive has been issued regarding dividends linked to Safaricom PLC following the controversial deal involving South Africa’s Vodacom Group and the Kenyan government. The development comes amid ongoing scrutiny of the multi-billion shilling transaction that will see Vodacom acquire an...
  13. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Foundation Yajenga Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Msingi Mkata Handeni

    Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kaskazini, Andrew Temu, akizungumza wakati wa makabidhiano ya matundu 10 ya vyoo vya kisasa vilivyojengwa na Vodacom Tanzania Foundation katika Shule ya Msingi Mkata iliyopo wilayani Handeni mkoani Tanga. Ujenzi wa vyoo hivyo unalenga kutimiza...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vodacom wananikata hela ya Uwakala, nikiuliza wanasema kuna miamala batili, lakini hawathibitishi kivipi!

    Vodacom wananikata hela ya Uwakala, nikiuliza wanasema kuna miamala batili, lakini hawathibitishi kivipi! Nimekuwa nikikatwa pesa katika kamisheni yangu ya miamala ya uwakala na M-Pesa nikifuatilia naambiwa kuwa nimefanya miamala batili bila maelezo zaidi Mimi ni wakala wa M-pesa, hivi...
  15. D

    JamiiForums Tanzania VODACOM UNLIMITED bando

    Sasa unaweza kupata Vodacom unlimited PREPAID au POSTPAID BANDO za kulipia kila mwezi. Kuungwa ni ndani ya muda mchache haifiki dakika 5. Kigezo ni uwe na kifaa chako na kama huna tunakuuzia kwa bei nafuu. Pia tunaunga vifurushi vya kawaida. Ukichagua kifurushi kimoja unapata na MENU YA...
  16. youngkato

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watumiaji wa Router za vodacom na tatizo la internet

    Nimekuwa nikikutana na changamoto ya kupata internet. Account iko paid, connection zote zipo sawa. Nikipiga simu naambiwa ni tatizo la kiufundi. Naomba kujua kama na nyie mnakutana na changamoto kama hii na jinsi ya kuiondoa
  17. astalavista

    JamiiForums Tanzania Niite nije nikufungie bure VODACOM FAIBA.

    Pata INTANETI yenye kasi nyumbani au ofisini kwako ukiwa na Vodacom Faiba inayotumia teknolojia. KWANINI FAIBA NI NZURI ZAIDI. . Faiba haina kikomo cha watu, idadi yoyote inaweza kujiunga na kufurahia intaneti. . Ni kuanzia elfu 60,000/= kama gharama ya kifurushi kwa mwezi unafungiwa kifaa cha...
  18. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Vodacom mnaanza kuchanganya biashara na siasa?

    Vodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR!
  19. The Independent

    JamiiForums Tanzania Je M-wekeza ya vodacom wanazingatia formula ya compound interest ya kwenye topic ya sequence and series?

    Heri ya mwaka mpya wanafamilia ya jamii forum. Kwa wenye uzoefu na m-wekeza ya voda, mfano ukiwekeza let say Tsh. 10,000,000/= kwa miaka 10 kwa riba ya 13% kwa mwaka, je baada ya miaka 10 utaweza kupata kias cha Tsh. 33,945,673.899? Kama formula ya compound interest ilivyo? Au wao voda...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi siku hizi Vodacom kwenye M-PESA inatuma matangazo ya michezo ya kubeti

    Kuna siku za nyuma niliona M-pesa ujumbe umetumwa ukisema cheza kile kindege Aviator link hii hapa. Siku nyengine natumia tena Sms sijui kuna michezo mipya. Mfumo jina M-PESA sms unawezekanaje uwe wa michezo wakati M-PESA sms ni kwa ajili ya jumbe za miamala.
Back
Top Bottom