vodacom tanzania

  1. Suley2019

    Vodacom Tanzania yainunua kampuni ya Smile kwa Tsh. Bilioni 68.8 ili kuongeza usambazaji wa mtandao wa 4G na 5G

    Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC (VTPLC), imekamilisha ununuzi wa Smile Communication Tanzania Limited, kampuni ndogo ya simu inayoshindana, bila deni au fedha taslimu, kwa TZS 68.8 bilioni ($27.4 milioni), ili kusaidia mipango yake ya kuzindua huduma za mtandao wa 4G na 5G zinazoshindana...
  2. jonas amos

    VODACOM wamesema, dakika zilizobaki zinapaswa kutumika usiku kuanzia 5.59 mpaka 11.59 Alfajiri

    Habari, ya kutwa mwanzo wa juma kabisa siku ya hangover kazini za weekend nzima Mimi kwa majina ndo haya haya mnayoyaona Nimekutana na changamoto ya wizi wa dakika kutoka mtandao wa vodacom Nilijiunga kifurushi cha wiki cheka ya tsh 30,00 ambapo hupata dakika zenye nchanganuo wa matumiz...
  3. JITU BANDIA

    Hakuna namna naweza kuwashtaki Vodacom Tanzania kwa kuchelewesha muamala!?

    Wakuu, hivi kisheria hii imekaaje!? Kuna uwezekano wa kuwafungulia shauri mahakanani hawa watoa Huduma kama Vodacom Tanzania kwa tatizo la kuchelewesha muamala wangu wa MUHIMU!? Haya makampuni yamekuwa yakifanya kazi kwa mazoea sana... na kufanya wanachojisikia... Hivi hakuna sheria ya wajibu...
  4. myyola

    App ya Tigopesa ni best kuliko App zingine za mitandao ya simu

    Kwanini app ya tigopesa ni nzuri kwasababu ipo security pia ina uwezo kulunch bila Internet (km huna)tofauti na wengine mpaka uwe na bando. Pia unaweza set badala kufungulia password unatumia fingerprint au face id kutokana device yako. Nini maoni yako
  5. Trab na Trat

    Vodacom Tanzania ni kielelezo cha huduma mbovu za mawasiliano

    Hawa watu hawajali kabisa wateja wao hasa wanaoishi kwenye maeneo ya kipato cha chini. Kuanzia Jumamosi Jioni, huduma za internet zilishuka ghafla katika eneo la Chigongwe - Halmashauri ya Dodoma Jiji. Mpaka hivi leo huduma za internet zinasua sua na taarifa wanazo ila wameamua kupuuza...
  6. R

    Kwanini mtu alipie makato ya kuhamisha fedha wakati muamala umefeli?

    Unatuma pesa kwenda mtandao mwingine au benki halafu muamala unafeli, pesa uliyokua unatuma inarudishwa kwako, lakini tozo na makato kutoka mtandao wa simu hazirudishwi! Kwanini pesa ya makato ya mitandao ya simu pamoja na tozo hazirudishwi? Kwanini ukatwe tozo na makato kutoka mtandao wa simu...
  7. UNSPECIFIED

    Vodacom Tanzania mmeniharibia sana na M-Pesa yenu

    Tarehe 29/12/2022 saa tano usiku nilifanya muamala kutoka simu yangu kwenda akaunti ya benki NMB kiasi Cha 2.25m Cha kushangaza mpaka Leo hii 31/12/2022 saa saba usiku ikiwa takribani saa 27 toka nifanye muamala bado pesa haijafika NMB wala kwangu haijarudi kisingizio ni mtandao. Nimeumizwa...
  8. BARD AI

    Vodacom Tanzania kusambaza huduma ya M-PESA nchi za SADC

    Watumiaji walio na M-Pesa ya Vodacom sasa wataweza kutuma na kupokea pesa kwa urahisi kwa nchi nane mpya zilizo na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (Sadc), kutokana na upanuzi wa jalada la mfumo wa uhamishaji pesa wa kimataifa (IMT). Nchi mpya zitakazotumika katika upanuzi huo ni...
  9. R

    Kampuni za simu na huduma stahiki kwa wananchi

    Kuna kitu inabidi tujiulize kuhusu makampuni ya simu na huduma tunazostahili kupata kutoka kwao, huduma ambazo ni haki yetu kupata na wala hatupewi msaada. Shida inatokea pale watanzania wapoona makampuni haya ya simu yanatuhurumia kutupatia huduma hizi na kwamba bila ya huruma yao basi huduma...
  10. Jamii Opportunities

    Non Executive Director at VODACOM Tanzania Plc

    Non Executive Director for Vodacom Tanzania PLC Dar es Salaam, Dar es Salam, Tanzania, United Republic of Overview Description Sitholizwe Mdlalose appointed as a Non-Executive Director The Company announced on 10 May 2022 that Sitholizwe Mdlalose, the Company’s Managing Director will be...
  11. Myahudi Jr II

    Maombi Kwa Vodacom Tanzania PLC

    Habari za Usiku mabibi na Mabwana... Niende kwenye Hoja.. VODACOM mmetupatia huduma ya M pesa Visa card aisee mmeturahisishia Usumbufu wa Mabenki ya ndani haswa, ulikua ukienda pale CRDB haki ya mama ukitaka kujiunga Online Banking unatazamwa mara mbili mbili, anachukua card yako anakwambia...
  12. Jamii Opportunities

    Head of Tax at at VODACOM Tanzania Plc

    Head of Tax Dar Es Salaam, TZA Role Purpose and Key Accountabilities Role purpose: Head of Tax oversees an organization's tax policies and objectives. Monitors reporting and planning to ensure compliance with applicable Tax Laws. Additionally, Head of Tax ensures accuracy of tax returns and...
  13. SALADY

    Vodacom Tanzania

    Vodacom Tanzania hamna jinsi mnaweza kupunguza haya maneno mengi mkaweka hata VODA TZ AU VODACOM TZ. HILI JINA LENU REFU MPAKA MUONEKANO WA CM UNAKUWA BOARED. JARIBUNI KUWA KAMA MITANDAO MINGINE JINA FUPI TU. KAMA TIGO TZ, HALOTEL TZ AU AIRTEL TZ
  14. UMUGHAKA

    Vodacom Nitawashtaki

    Leo nimechafukwa kupita maelezo! Hivi nyie Vodacom Tanzania kwanini mnaniibia? Kwanini mnaniunga na huduma bila ridhaa yangu na kuanza kufyeka salio langu? Cha kusikitisha nilipowapigia watoa huduma wenu (customer care) wanasema eti nilijiunga na huduma inaitwa SOKA LETU, jamani Vodacom...
  15. tang'ana

    Vodacom Tanzania ordered to pay TRA Sh3 billion’

    Dar es Salaam. The Court of Appeal said Vodacom Tanzania must pay the Tanzania Revenue Authority (TRA) Sh3 billion withholding tax on purchase of a computer software from Siemens Telecommunications (Pty) Limited. The highest court in the land has upheld decisions of the Tax Revenue Appeals...
  16. M

    Tetesi: Vodacom Tanzania wasitisha utoaji wa Line mpya za Uwakala za M-Pesa

    Habari za muda huu wanaJF! Bila kupoteza muda kuna tetesi kuwa Vodacom hawasajili tena laini mpya za uwakala wa M-Pesa. Mwenye taarifa tafadhali atueleze nini kimetokea huko.
  17. Shujaa Mwendazake

    Bosi Vodacom Tanzania aachia ngazi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na Novemba Mosi, 2021 itakuwa siku yake ya mwisho baada ya kuitumikia kampuni hiyo yenye wateja katika maeneo mbalimbali nchini. Katika taarifa yake Vodacom imeeleza kuwa Bodi ya wakurugenzi iko katika...
  18. Informer

    Vodacom Tanzania MD, Hisham Hendi resigns

    August 4, 2021, Dar es Salaam: Vodacom Tanzania announced today that Managing Director (MD), Hisham Hendi, has resigned with effect from 1 November 2021 having spent five years with the company, including two and half years as MD. Mr. Hendi will remain within the Vodafone Group of companies...
  19. NnkoJR

    SoC01 Tozo mpya zinauma, lakini zinaweza kuwauma CCM,upinzani ukasongesha

    ALHAMISI ya Julai 15, 2021 inaweza kuwa moja ya siku yenye kumbukumbu ya kuchosha akili za mamilioni ya Watanzania, ambao simu imekuwa tegemeo lao la kufanya miamala ili kufanikisha shughuli mbalimbali za kibinafsi na hata maendeleo yao. Hii ni kutokana na kuanza kutekelezwa rasmi kwa tozo mpya...
  20. Kasomi

    Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

    Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini. Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji. Serikali lione hili. SAUTI YA WATANZANIA
Back
Top Bottom