Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Unatuma pesa kwenda mtandao mwingine au benki halafu muamala unafeli, pesa uliyokua unatuma inarudishwa kwako, lakini tozo na makato kutoka mtandao wa simu hazirudishwi!
Kwanini pesa ya makato ya mitandao ya simu pamoja na tozo hazirudishwi? Kwanini ukatwe tozo na makato kutoka mtandao wa simu kwa huduma ambayo imefeli? Huu siyo wizi kwa wananchi?
Kwanini pesa ya makato ya mitandao ya simu pamoja na tozo hazirudishwi? Kwanini ukatwe tozo na makato kutoka mtandao wa simu kwa huduma ambayo imefeli? Huu siyo wizi kwa wananchi?