Habarin wadau,
Naomba mwenye uelewa anijuze nawezaje kupata haki yangu, Tarehe 04 -03-2024 nilitumia Airtel Money kufanya muamala wa TZS 150,000 kwenda tigopesa hiyo pesa kwangu ilitoka lakin haikufika kwenda ilikotumwa.
Nimejaribu kutafuta msaada mara kadhaa katika ofisi za Airtel bila mafanikio yan kinachoonekana ni kama hawawez kutatua changamoto za wateja wao kwa wakati kila ukiwasiliana nao jibu lao wanakuambia subir ndan ya saa 24 pesa yako itarudishwa kwenye simu.
Tangu nianzie kupewa hayo majibu zimeshapita siku zaid ya 8, naomben mwenye uelewa anijuze nifanyaje kupata pesa yangu au mpaka niende kulalamika TCRA.
Naomba mwenye uelewa anijuze nawezaje kupata haki yangu, Tarehe 04 -03-2024 nilitumia Airtel Money kufanya muamala wa TZS 150,000 kwenda tigopesa hiyo pesa kwangu ilitoka lakin haikufika kwenda ilikotumwa.
Nimejaribu kutafuta msaada mara kadhaa katika ofisi za Airtel bila mafanikio yan kinachoonekana ni kama hawawez kutatua changamoto za wateja wao kwa wakati kila ukiwasiliana nao jibu lao wanakuambia subir ndan ya saa 24 pesa yako itarudishwa kwenye simu.
Tangu nianzie kupewa hayo majibu zimeshapita siku zaid ya 8, naomben mwenye uelewa anijuze nifanyaje kupata pesa yangu au mpaka niende kulalamika TCRA.