Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari wana JF, Kwa wale wazee wenzangu, watakubaliana na mimi kwamba wanachuo wa siku hizi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wamepoa sana na wengi wao hawajiamini kulinganisha na wale wa miaka ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
January Makamba ameishi maisha mazuri toka utotoni si kwa sababu alikuwa bora kuliko wengine bali baba yake alitumia madaraka yake kumfanya aishi kwa rasilimali za nchi. Tukumbuke familia hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nafasi ya Naibu waziri Mkuu imewekwa kumsaidia Waziri Mkuu kiwa na nguvu Zanzibar tofauti na sasa ambapo majukumu yake yanakwama kuvuka maji Ameteuliwa Biteko kama chokoza ujuvi kupisha kuteuliwa...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Leo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati bwana Biteko atakutana na kuzungumza na wafanyakazi wa TANESCO makao makuu Ubungo. Jamaa zangu ambao ni wafanyakazi hapo wanasema Makamba amekua waziri...
14 Reactions
52 Replies
6K Views
Umuofia kwenu....! Kati ya mwaka 2018 na 2020 Tanzania ilipitia changamoto za uhaba mkubwa wa Cement na bei kuanza kupanda kiholela. Lakini baada ya kulifuatilia suala lile, nikaja kugundua...
16 Reactions
75 Replies
5K Views
Wakili Boniface Mwabukusi yuko Mahabusu kwa siku kadhaa sasa kwa kosa la kupigania haki za Watanganyika kuzuia Bandari zake kuuzwa kwa Mwarabu. Mwabukusi anakuwa Mtanzania wa kwanza wa kizazi cha...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Haya huo ndio Ushauri wa mh.Diwani,mjumbe hauwawi. https://www.instagram.com/reel/CxhqT0JqnYw/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
0 Reactions
13 Replies
821 Views
Kuna Mazingaombwe yametokea, kuna upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao imetolewa na tayari watu wamezoea kushinda bila Umeme,nimeulizia jenerator la lita 3 ilimradi niweze kupiga hata photocopy...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Tuesday, September 19, 2023 Utafiti wa Mradi wa EFLOWS waonesha maji yanapungua kwenye mito https://m.youtube.com/watch?v=BLG0zKicKV0&pp=ygUORUZMT1dTICBNYmV5YSA%3D Wadau wa maji wa mto Mbarali...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Nakushauri iyo wizara ukiendeleza uliyoyakuta mwaka hautaisha utatolewa. Ili kurudisha ufanisi kwenye hii wizara yenye kashifa ya ufisadi Nakuomba Timua MD wa Tanesco Timua Manejement yote...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Ameharibu kabisa mfumo wetu wa kujipatia huduma za umeme na ule wa mafuta. Mkurugenzi na waziri hawakutakiwa kupatiwa tena nafasi maana wameharibu hata kile walichokikuta. Mtu akiharibu fukuza...
2 Reactions
13 Replies
920 Views
Katika eneo ambalo CCM na serikali yake ina upiga mwingi kwa msemo wa machawa na wafuasi wake ni kwenye uteuzi na utenguzi. Hii ni moja ya sera yao ambayo hakunadiwa katika ilani yao lakini...
1 Reactions
3 Replies
543 Views
Ni kama kuna Kazi fulani inafanyika chini kwa chini ila kwa umakini mkubwa sana Endeleeni kunywa mtori Nyama mtazikuta chini Nawatakia Sabato njema 😀
2 Reactions
13 Replies
818 Views
Ningependa ufahamu magumu wanayopitia watumishi walioko chini ya OR-Tamisemi hususani kada za 1. Elimu 2. Afya 3. Watendaji wa Serikali za mitaa Hawa wanapitia mateso makubwa hususani wale wa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Halmashauri zinaishi kama Idara na Wizara zinavyoishi. Nimeona mawazo na mtizamo wa Mhe. Waziri Mkuu kuhusu udhibiti wa fedha za umma. Namwomba atoe maelekezo kwa wizara na Idara ziwasilishe kwake...
3 Reactions
9 Replies
649 Views
Akiwasilisha taarifa ya serikali naibu waziri wizara ya fedha Mwigulu Nchemba jumapili mbele ya kamati ya bajeti, alisema uhakiki wa takwimu hizo umebaini kuwa hesabu zote ni sahihi, na kwamba...
0 Reactions
80 Replies
10K Views
Haiwezekani Kwa miaka 2.5 ya Rais Samia aliyowapa dhamana ya Nishati na kuwawesesha ila Wamefanikiwa kuongeza megawatts ambazo ni pungufu ya 300 kwenye grid ya Taifa. Mojawapo ya shida kubwa...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Katika hali ya kustaajabisha, maafisa na wafanyakazi wa kawaida wa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO) walirukaruka kwa furaha baada ya kusikia na kujua uhamisho wa aliyekuwa Waziri wa Nishati...
31 Reactions
106 Replies
12K Views
Nchi ina wizara na idara nyingi sana.Pamoja na umuhimu wa kila moja lakini kuna idara tatu ni muhimu zaidi katika kuitawala nchi.Hizo hizo ndizo zinazotumiwa na wapinzania wanapotaka kumletea...
1 Reactions
6 Replies
661 Views
Aisee hivi ni kweli tanzania wasomi na watu wenye akili zao wameisha mpaka kila siku hizi teuzi za mchongo za raisi ni za watu wale wale wa kuhamishwa sehemu za kuramba asali.Mtu anaharibu huku...
2 Reactions
9 Replies
578 Views
Back
Top Bottom