Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wale waliofuatilia pale JK alipoongea na wahariri wakuu na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mtakubaliana na mimi kuwa JK hajawa serious katika kushughulikia kero...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mwalimu mkuu atimuliwa kazi kwa kusaini mkataba feki 2008-01-05 10:15:24 Na Francisca Jeremiah Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Abasi Kandoro, amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
No reprieve on new tariffs - TANESCO -Says hiked rates in force from January 1 -Zanzibar only given option to appeal THISDAY REPORTER Dar es Salaam THE Tanzania Electric Supply...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dar decries monopoly of petroleum storage facilities By JOSEPH MWAMUNYANGE Special Correspondent THE EAST AFRICAN An inquiry conducted by the Energy and Water Utilities Authority...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni ujumbe toka kwa rais mstaafu Daniel arap Moi. Nani anabisha?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa bado hatujaingia easter KIKWETE ANAPONZWA NA WASAIDIZI WAKE Na Happiness Katabazi MWANASESERE ni sanamu inayotumiwa na watoto kwa kuchezea. Kwa mtoto mwanasesere anawakilisha kitu halisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge azomewa mbele ya Kamati ya Madini na Stella Ibengwe Tanzania Daima WACHIMBAJI wadogo wa almasi wa Kijiji cha Maganzo, wilayani Kishapu, Shinyanga, wamemzomea mbunge wa jimbo hilo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
New salaries: Defiant employers breaking the law By Rose Athumani THE CITIZEN The government has declared that defiant employees going against the government's directive on the new salary...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karume ateua Tume ya Uchaguzi Zanzibar *Ni ya wajumbe mchanganyiko wa itikadi Na Ali Suleiman, Zanzibar RAIS Amani Abeid Karume, ametangaza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) mpya na...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mheshimiwa Zitto Kabwe........ kwanaza nakupa kheri ya mwaka mpya 2008 wewe na wana-CHADEMA wote. kwa vile hapa JF we Dare to Talk Openly........... kwa heshima na taadhima tunakuomba...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Sijui kama mmeshaiona hii barua ya Issa Shivji kuhusu yaliyotokea na yanayoendelea kutokea Kenya. Soma jinsi huyu Profesa mahiri na mzalendo alivyomkoma nyani gladi. Hamumunyi maneno, anaweka vitu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
'Desperate' Musharraf declares martial law · Pakistan's president acts against rivals · Britain expresses 'grave concern' Declan Walsh in Islamabad Sunday November 4, 2007 The...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Website ya WIZARA YA MAMBO YA NJE haina travel advice Rais yuko Ngorongoro anatazama wanyama Waziri mkuu yuko bize ana entertain wageni weekend kwake Waziri Membe hajulikani aliko Media...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimesoma habari toka kwenye gazeti la Tanzania Daima kuwa Tume ya uchaguzi Kenya yakiri kuwa ililazimishwa kutangaza ushindi kwa Mh. SANA na ni kweli alifanya hivyo kama habari inavyosema hapo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Power tariffs hike saga: Now Karume enters the fray in Zanzibar -Seeks more info on possible repercussions THISDAY REPORTER Dar es Salaam ZANZIBAR President Amani Abeid Karume has...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huko Uingereza naona wanazidi kununuliwa tu; ...Can't they manage their once reputable industries anymore?! What has become of the motor industry, or may be, 'the what goes up must come down'...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana, Hii sio mada ya siasa lakini naomba ikae hapa kwa muda labda nitapata mtu wa kunisaidia. Nina biashara yangu ambayo inahitaji umeme mwingi (three phase) lakini wakati tuananza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakati tukiwa tuna angalia nini kitafanyika mwaka 2008 JK ameanza mwaka kwa kuingia Ulaya tena . Sijajua atakuwa Ulaya kwa muda gani lakini tarehe 14 Feb anaomba kukutana na wadanganyika wa kule ...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hatimaye Kibaki ametangazwa mshindi huku vyombo vya habari vya kujitegemea vikifukuzwa toka ukumbini . Nyeti ndiyo hizo mchezo sijui umeisha ama ndiyo umeanza sijui nawe sema lako .
0 Reactions
151 Replies
19K Views
Mwaka ndio huo umeanza kuyoyoma na kufungwa katika vitabu vya historia. Je ni nani walikuwa washindi na kina nani waliokuwa wameshinda katika maeneo mbalimbali. Siasa za Tanzania: Winners...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom