Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari Wakuu! Kwanza ijue nchi yako, waelewe Watu wako. Ifahamu jamii yako. Sisi ni jamii ambayo mtu ukifanikiwa utaitwa ni Freemasonry, Tupo kwenye jamii ambayo ukiwa na utajiri unaitwa Fisadi...
19 Reactions
123 Replies
7K Views
Hili ni darasa limejengwa mwaka Jana na mabilioni ya Rais Samia, halijamaliza hata mwaka! Mkandarasi amepewa cheti Cha ubora na uaminifu! Leo hali yake ipo hivi mwaka haujaisha. Kweli tuseme tuna...
0 Reactions
3 Replies
321 Views
Ni awamu na awamu zimepita sasa na wabunge kadhaa kwa awamu tofauti ili wameshidwa kutegua kkitendawili cha g28. Hapa karibuni kulikuwa na uchaguzi mdogo wa ubunge na tayari amepatikana ,Ahadi...
0 Reactions
2 Replies
890 Views
Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyarara amesema zaidi ya Dola za Marekani milioni 27 zimetengwa kuondoa foleni katika mpaka wa Tunduma mkoani Songwe. Aidha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu amesema Tanzania itapokea Mkopo kutoka Spain kwa ajili ya uendelezaji Ujenzi wa SGR Source: East Africa TV Nawatakia Sabato njema 😀
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Waziri Mkuu ukiwa mkoani Kigoma Leo umefoka tu huku ukikiri mbele ya vyombo vya habari katika kikao cha majumuishi kuwa serikali yako ya Rais Samia Saluhu kuwa mlipeleka kiasi cha shilling...
0 Reactions
6 Replies
802 Views
Hakika inashangaza na kusikitisha sana kuona fedha za umma ambazo ni kodi na tozo wanazolipa masikini watanzania na pia mikopo kutoka nje zinapigwa na watendaji wa serikali kama fedha zao bila...
0 Reactions
4 Replies
940 Views
Rais kwanza nikupe pole na heshima yako na nikupongeze sana Mama kwa uwajibikaji wako katika kulisaidia Taifa hili kwa kuliponya kutoka katika mazingira magumu miaka 8 iliyopita. Hakika tunaweza...
5 Reactions
55 Replies
5K Views
Zamani ukisikia kamati kuu ya Chadema inakutana vyombo vyote vya habari vilitua kule na wananchi maskio juu sasa hivi hamna kitu Hata hata wakisema sijui watakutana media nyingi hazina mpango nao...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo; 1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha. 2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa...
10 Reactions
112 Replies
23K Views
https://www.youtube.com/watch?v=gU1TYtFaOXM Japo amesifiwa sana kuwa msikivu, sijui kama ni kweli. Amesifiwa ana kifua, kweli anacho kifua kama cha wengine lakini si kifua cha chuma kama chawa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Alianza Waziri wa Tamisemi Mchengerwa kudai kwamba awe anapelekewa taarifa ya Kila mwezi ya RC,DC na Viongozi wengine ikionesha walienda Vijiji vipi na walitatua kero zao kwamba hata yeye hatokaa...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh God bless Lema anesema kupitia ukurasa wake wa X kuwa Mbeya itakuwa Msaada mkubwa sana kwa Mabadiliko na Uamsho wa Nchi Mlale Unono 😃😃
11 Reactions
50 Replies
3K Views
Kama tulivyosema hapo awali, kishindo cha Kamati kuu ya CHADEMA, afadhali hata ukutane na tetemeko la ardhi. Japo ukimya umetanda lakini cheche zake zimeanza kubabua baadhi ya watu. Usithubutu...
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Huo ndo mtazamo wangu toka enzi za mwalimu kanda ya ziwa imeshikiria uhai wa CCM.. Kanda ya ziwa ni kuanzia Tabora. Mara, Kagera. Mwanza. Geita, Simiyu. Shinyanga na sasa Mpanda... Sababu. 1...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka...
-2 Reactions
102 Replies
6K Views
Mhe. Doto Biteko , Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tangazo la serikali kuhusu mgao wa umeme unaoendelea limekuja wakati ambapo kuna maswali mengi juu ya "upungufu wa umeme" pamoja na...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Mara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa . Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom