Habari Wakuu!
Kwanza ijue nchi yako, waelewe Watu wako. Ifahamu jamii yako.
Sisi ni jamii ambayo mtu ukifanikiwa utaitwa ni Freemasonry,
Tupo kwenye jamii ambayo ukiwa na utajiri unaitwa Fisadi...
Hili ni darasa limejengwa mwaka Jana na mabilioni ya Rais Samia, halijamaliza hata mwaka!
Mkandarasi amepewa cheti Cha ubora na uaminifu! Leo hali yake ipo hivi mwaka haujaisha. Kweli tuseme tuna...
Ni awamu na awamu zimepita sasa na wabunge kadhaa kwa awamu tofauti ili wameshidwa kutegua kkitendawili cha g28.
Hapa karibuni kulikuwa na uchaguzi mdogo wa ubunge na tayari amepatikana ,Ahadi...
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyarara amesema zaidi ya Dola za Marekani milioni 27 zimetengwa kuondoa foleni katika mpaka wa Tunduma mkoani Songwe.
Aidha...
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu amesema Tanzania itapokea Mkopo kutoka Spain kwa ajili ya uendelezaji Ujenzi wa SGR
Source: East Africa TV
Nawatakia Sabato njema 😀
Waziri Mkuu ukiwa mkoani Kigoma Leo umefoka tu huku ukikiri mbele ya vyombo vya habari katika kikao cha majumuishi kuwa serikali yako ya Rais Samia Saluhu kuwa mlipeleka kiasi cha shilling...
Hakika inashangaza na kusikitisha sana kuona fedha za umma ambazo ni kodi na tozo wanazolipa masikini watanzania na pia mikopo kutoka nje zinapigwa na watendaji wa serikali kama fedha zao bila...
Rais kwanza nikupe pole na heshima yako na nikupongeze sana Mama kwa uwajibikaji wako katika kulisaidia Taifa hili kwa kuliponya kutoka katika mazingira magumu miaka 8 iliyopita. Hakika tunaweza...
Zamani ukisikia kamati kuu ya Chadema inakutana vyombo vyote vya habari vilitua kule na wananchi maskio juu sasa hivi hamna kitu
Hata hata wakisema sijui watakutana media nyingi hazina mpango nao...
Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo;
1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha.
2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha...
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa...
https://www.youtube.com/watch?v=gU1TYtFaOXM
Japo amesifiwa sana kuwa msikivu, sijui kama ni kweli. Amesifiwa ana kifua, kweli anacho kifua kama cha wengine lakini si kifua cha chuma kama chawa na...
Alianza Waziri wa Tamisemi Mchengerwa kudai kwamba awe anapelekewa taarifa ya Kila mwezi ya RC,DC na Viongozi wengine ikionesha walienda Vijiji vipi na walitatua kero zao kwamba hata yeye hatokaa...
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh God bless Lema anesema kupitia ukurasa wake wa X kuwa Mbeya itakuwa Msaada mkubwa sana kwa Mabadiliko na Uamsho wa Nchi
Mlale Unono 😃😃
Kama tulivyosema hapo awali, kishindo cha Kamati kuu ya CHADEMA, afadhali hata ukutane na tetemeko la ardhi.
Japo ukimya umetanda lakini cheche zake zimeanza kubabua baadhi ya watu.
Usithubutu...
Huo ndo mtazamo wangu toka enzi za mwalimu kanda ya ziwa imeshikiria uhai wa CCM..
Kanda ya ziwa ni kuanzia Tabora. Mara, Kagera. Mwanza. Geita, Simiyu. Shinyanga na sasa Mpanda...
Sababu.
1...
Ndugu zangu Watanzania,
Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka...
Mhe. Doto Biteko , Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Tangazo la serikali kuhusu mgao wa umeme unaoendelea limekuja wakati ambapo kuna maswali mengi juu ya "upungufu wa umeme" pamoja na...
Mara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa .
Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.