Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wiki chache zilizopita tulishuhudia mjadala mkali kuhusu bandari, baadaye kukaibuka tetesi za rupia kupenyezwa kwa baadhi ya wakazi wa Ufipa ili wajiondoe katika mjadala huu. Dkt. Slaa, Dkt...
1 Reactions
5 Replies
715 Views
Mkuu wa wilaya ya Unguja Magharibi amewataka wananchi kupuuza uvumi kwamba kuna mtu asiye na kichwa ameonekana Unguja DC Hamida Khamis wa Magharibi Unguja amewatoa hofu wananchi kuhusiana na...
10 Reactions
43 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa upande wangu nimemsoma na kumuelewa vyema sana Mh Rais Samia juu ya Aina ya uongozi wake na aina ya watu na viongozi ambao angependa kufanya nao kazi Muda Wote. Rais...
3 Reactions
55 Replies
6K Views
Top 10' ya mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya umeme 2022: 1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH 2.Pwani-635.7GWH 3.Arusha-413.9 GWH 4.Shinyanga-411.2 GWH 5.Tanga-408.7 GWH 6. Mwanza-344.5 GWH 7...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe alisema CHADEMA haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwasababu Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa. Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Mbunge Neema Lugangira wa CCM kutoka mkoa wa Kagera amesafiri hadi Vatican Kupata Baraka za Baba Mtakatifu Papa Francisco mwenyewe Mh Neema amefanikiwa kufika nyumbani kwa Papa Francisco na...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha Mwalimu Maganga kukataliwa ombi lake. Wanadhani wao watakuwa salama? Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni wakati sahihi kwa viongozi wetu wa dini zote kukutana na kujadili juu ya kuitaka serikali isiwe mbabe kwenye suala zima la kutupatia wananchi katiba mpya. Inashangaza sana kuona serikali ya...
3 Reactions
9 Replies
826 Views
Akizungumza na wakazi wa baadhi ya vijiji mkoani Ruvuma, bi Jenista amesema mahindi Kwa sasa ni zao la biashara linalowapatia wananchi fedha nyingi. Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu? Na Biteko akija kujua dili za Luku atamla kichwa mazima. Kaambiwa nenda...
93 Reactions
264 Replies
27K Views
Mh Raisi mulika na maafisa balozi wamejisahau sana . hawa tunao ushahidi jinsi wanavyojibu watu, wenye kwenda kuomba msaada wa kihuduma kwenye ofisi za kibalozi huko nchi walizoko, nafikiri...
10 Reactions
60 Replies
5K Views
Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa...
2 Reactions
4 Replies
788 Views
Hakika inaogopesha na kusikitisha sana kuona jinsi fedha za umma ambazo ni kodi za masikini wananchi wanazolipa kwa kukamuliwa na fedha za mikopo tunazokopa toka nje zinavyoliwa na wajanja...
0 Reactions
6 Replies
658 Views
CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya. Huko Msomera, kule...
11 Reactions
33 Replies
3K Views
Misenyi: WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza watumishi sita wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi wafuatiliwe ili warejeshe fedha za umma na kisha wachukuliwe hatua za kinidhamu. “Uongozi wa Mkoa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam ni jadi yetu watanzania! Mada ni kuwa hata MTU ajitoe vipi ufahamu lkn kila unaposimama au kuangaza macho kazi ya Rais Samia Suluhu kupitia CCM inaonekana bayana. Iko hivi Miundombinu ya...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao; Cammilius Membe January Makamba Asha Rose Migiro Amina Salum Ali John Pombe Magufuri Ukiangalia kwa...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto...
95 Reactions
270 Replies
19K Views
Hawa jamaa sasa wamekomaa kisiasa. Maana juu ya sakata la Bandari na mkataba tata wamekomaa. Huko nyuma walitaka kuleta siasa za kisanii wakadhani hayati Magufuli anapenda janjajanja. Alipowatosa...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom