Duh ...........🙆Dawa zote muhimu kwa wananchi wa mijini na vijijini hazimo kwenye orodha ! Hata bomba za sindano na plasta na antibiotic karibia zote hazipo kwenye kitita sasa mnamalengo gani? Oneni wenyewe picha hiziView attachment 2935632View attachment 2935633View attachment 2935634kkwView attachment 2935635
Niweke wazi nimekua kwenye gemu (industry) muda Sasa....Dawa zote muhimu kwa wananchi wa mijini na vijijini hazimo kwenye orodha ! Hata bomba za sindano na plasta na antibiotic karibia zote hazipo kwenye kitita sasa mnamalengo gani? Oneni wenyewe picha hiziView attachment 2935632View attachment 2935633View attachment 2935634kkwView attachment 2935635
Bima ya afya haitakiwi kuwa kikoba ni basi tuu hii nchi ina umavi mavi mwingi bima ya afya inakuwaje kikoba cha kukopeshana tena hadi wanaondoa lengo la msingi la kupunguza gharama za matibabu kwa watu wanao changia ,NHIF walishajibu hilo.
Dawa mbadala za bei nafuu zimereplace hizo dawa ghali ili kusaidia mfuko kuwa na hela nyingi za kuwakopesha watumishi wake bila riba .
Hili jibu ni murua sana. Naomba ujumbe huu anakilishwe waziri mwenye dhamana. Kwamba dawa za bei nafuu ni mnadala ili watumishi wa nhif waweze kujenga magorofa na kununua mavieite.NHIF walishajibu hilo.
Dawa mbadala za bei nafuu zimereplace hizo dawa ghali ili kusaidia mfuko kuwa na hela nyingi za kuwakopesha watumishi wake bila riba .
Sema wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi. Nimeshangaa nilipokuta eti kukiopesha bila riba. Utakopeshaje bila ribi wakati sh inaanguka kila siku?Bima ya afya haitakiwi kuwa kikoba ni basi tuu hii nchi ina umavi mavi mwingi bima ya afya inakuwaje kikoba cha kukopeshana tena hadi wanaondoa lengo la msingi la kupunguza gharama za matibabu kwa watu wanao changia ,
Paracetamol ya keko vs paracetamol za IndiaHili jibu ni murua sana. Naomba ujumbe huu anakilishwe waziri mwenye dhamana. Kwamba dawa za bei nafuu ni mnadala ili watumishi wa nhif waweze kujenga magorofa na kununua mavieite.
Wanajadili Magofofa ya Boniyai na Mwijaku 🐼Tunaendelea kusogoa habari za Simba n Yanga plus uchawa lkn mambo muhimu kama haya watu wako kimya. Nchi Ina laana hii.
Wanajadili Magofofa ya Boniyai na Mwijaku 🐼Tunaendelea kusogoa habari za Simba n Yanga plus uchawa lkn mambo muhimu kama haya watu wako kimya. Nchi Ina laana hii.
Mkuu umeupiga mwingiKimsingi kwenye suala la afya serikali haiko serious. NHIF ni kichaka cha upigaji. Mheshimiwa Rais nakusihi piga chini kuanzia Ummy Mwalimu na wote wanaomshauri upuuzi. Mkurugenzi wa NHIF na genge lake wote tumbua na kama kuna hela wamepiga wazawadiwe kesi ya uhujumu uchumi.
Leo nimepigiwa simu na wadau wangu wa afya mbalimbali wamenambia Ni review price za NHIF vs market price...Kuna dawa ni za muhimu sana hasa hizo cephalosporins ila wamezitoa 😬😉
Wahuni tu binfsi nalipaga kila mwezi na familia yangu ila sijui kama hata gharama ya robo huwa inafikiwa je tuko wangapi tz hii mpaka sema mfuko hauna pesa wizi tuDawa zote muhimu kwa wananchi wa mijini na vijijini hazimo kwenye orodha ! Hata bomba za sindano na plasta na antibiotic karibia zote hazipo kwenye kitita sasa mnamalengo gani? Oneni wenyewe picha hiziView attachment 2935632View attachment 2935633View attachment 2935634kkwView attachment 2935635