Dom, Moro,Iringa na Mbeya!!Dodoma
Barabara ya Cairo to Capetown haipitii mkoa wa Morogoro hiyo unayotaka kusema ni barabara ya Africa mashariki na au SADCC Kwa hapa tz inatokea Kenya kupitia border ya horohoro, Tanga mjini, korogwe, handen, Kilindi, mvomero, then dumila wilaya ya kilosa baadae inaungia mikumi unakamata barabara ya Dsm mbeyaDom, Moro,Iringa na Mbeya!!
Anataka ajifunze ilipopita.Si kwamba atarndesha baiskeli yake aina ya "Swala" hadi Cairo!Ndege zipo; meli zipo; why barabara au reli ambazo ni hatarishi? Hapo Sudan utapita? Ethiopia?
Nchi zote maporini kuna kila aina ya vikwazo including hali za hewa za kila namna, machafuko, nk. I don't buy that idea!
Kwani ipo? Nachokumbuka lilikuwa wazo la mkoloni mmoja, Cecil Rhodes, kama sijakosea kwamba ijengwe. Haikuwahi kujengwa zaidi ya za kuungaunga kati ya nchi na nchi.Anataka ajifunze ilipopita.Si kwamba atarndesha baiskeli yake aina ya "Swala" hadi Cairo!
Kuna watu wanapenda Road trips mkuu, sio kila mtu akipata nafasi ya kusafiri anataka kupanda ndege.Ndege zipo; meli zipo; why barabara au reli ambazo ni hatarishi? Hapo Sudan utapita? Ethiopia?
Nchi zote maporini kuna kila aina ya vikwazo including hali za hewa za kila namna, machafuko, nk. I don't buy that idea!
Usikute Kuna watu wanataka kumsifu mama kuwa kaupiga mwingiAnataka ajifunze ilipopita.Si kwamba atarndesha baiskeli yake aina ya "Swala" hadi Cairo!