Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,943
- 4,131
Watu huja na watu hupotea! Lakini watu hao hao wengine huendelea kuishi kwa maana ya yale waliyowahi kuyafanya na kuyaacha kama mnara wa kumubukumbu zao kwenye vizazi na vizazi
Watanzania wasipomuenzi Magufuli, Waganda watamuenzi pindi wanapokuwa wakiliona bomba la mafuta kuyoka Hoima kuja Tanga Tanzania
Watanzani wasipomuenzi JPM, Nchi zote zilizowahi kufungia watu wao kwa lockdown zikapitia misukosuko ya kiuchumi na wengine kufa au kuuliwa kwa sababu ya kukiuka mashariti,
Wana wa Israeli kupitia Nabii Musa mtumishi wa Mungu, Mungu alitenda mengi ya ajabu kupitia mkono wa Musa, k wenyewe walifika pahala wakaanza kuyasahau matendo makuu aliyoyatenda Mungu kupitia mkono wa mtumishi wake Musa!
Mungu alipochungulia mbele ya safari yao na mwenendo wao, akaona isiwe tabu, akaona kabisa matendo hayo itakuwa ni rahisi kusahaulika katika vizazi vijavyo, alichokifanya, akamwambia Musa, ayaandike na ayawweke kwenye kumbukumbu kwa maana kwamba, yasije kusahaulika, na ndiyo kukawepo kitabu cha Kumbukumbu, kitabu hiki, ni miongoni mwa vitabu vilivyoandikwa kwa mkono wa Musa kwa maongozi ya Mungu na ili kwamba, vizazi vyote vya wa Israel pundi wasomapo wakiri kwamba, kwa hakika huyo alikuwa ni Mungu
Magufuli kusahaulika itachukua makarine mengi kwa sababu ya ukweli kwamba, jamaa alikuwa ni mtu si wasayari hii tuliyopo
Wakati viongozi wengi wa kiafrica wanamwagopa Marekani eti wasiagize mafuta Urusi kwa sababu tu watanyimwa mikopo, nakuhakikishia tungelikuwa na Magufuli, tusingekuwa na shida ya mafuta Tanzania
Wakati viongozi wengi wakijikomba kwa Wazungu ili wapewe Misaada na misaada yenyewe wakati mwingine inatweza utu wetu, Magufuli asingelikubali huo upuuzi
SGR na JKNHP vinatosha kabisa kufanya jina Magufuli liendelee kuishi miaka mingi ijayo ukiondoa nyuzi nyingi za wanazuoni wanazozichapisha kila uchao kumhusu Magufuli
17 march 2021, nchi ilipoteza mtu mmoja sawa na wanaccm 1000
Watanzania wasipomuenzi Magufuli, Waganda watamuenzi pindi wanapokuwa wakiliona bomba la mafuta kuyoka Hoima kuja Tanga Tanzania
Watanzani wasipomuenzi JPM, Nchi zote zilizowahi kufungia watu wao kwa lockdown zikapitia misukosuko ya kiuchumi na wengine kufa au kuuliwa kwa sababu ya kukiuka mashariti,
Wana wa Israeli kupitia Nabii Musa mtumishi wa Mungu, Mungu alitenda mengi ya ajabu kupitia mkono wa Musa, k wenyewe walifika pahala wakaanza kuyasahau matendo makuu aliyoyatenda Mungu kupitia mkono wa mtumishi wake Musa!
Mungu alipochungulia mbele ya safari yao na mwenendo wao, akaona isiwe tabu, akaona kabisa matendo hayo itakuwa ni rahisi kusahaulika katika vizazi vijavyo, alichokifanya, akamwambia Musa, ayaandike na ayawweke kwenye kumbukumbu kwa maana kwamba, yasije kusahaulika, na ndiyo kukawepo kitabu cha Kumbukumbu, kitabu hiki, ni miongoni mwa vitabu vilivyoandikwa kwa mkono wa Musa kwa maongozi ya Mungu na ili kwamba, vizazi vyote vya wa Israel pundi wasomapo wakiri kwamba, kwa hakika huyo alikuwa ni Mungu
Magufuli kusahaulika itachukua makarine mengi kwa sababu ya ukweli kwamba, jamaa alikuwa ni mtu si wasayari hii tuliyopo
Wakati viongozi wengi wa kiafrica wanamwagopa Marekani eti wasiagize mafuta Urusi kwa sababu tu watanyimwa mikopo, nakuhakikishia tungelikuwa na Magufuli, tusingekuwa na shida ya mafuta Tanzania
Wakati viongozi wengi wakijikomba kwa Wazungu ili wapewe Misaada na misaada yenyewe wakati mwingine inatweza utu wetu, Magufuli asingelikubali huo upuuzi
SGR na JKNHP vinatosha kabisa kufanya jina Magufuli liendelee kuishi miaka mingi ijayo ukiondoa nyuzi nyingi za wanazuoni wanazozichapisha kila uchao kumhusu Magufuli
17 march 2021, nchi ilipoteza mtu mmoja sawa na wanaccm 1000