Top 10' ya mikoa iliyoongoza kwa matumizi makubwa ya umeme 2022:
1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH
2.Pwani-635.7GWH
3.Arusha-413.9 GWH
4.Shinyanga-411.2 GWH
5.Tanga-408.7 GWH
6. Mwanza-344.5 GWH
7...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Mbowe alisema CHADEMA haitaingia kwenye mtego wa kuvunja Maridhiano kamwe kwasababu Vikao vya Maridhiano pekee ndio vitaliponya Taifa.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh...
Mbunge Neema Lugangira wa CCM kutoka mkoa wa Kagera amesafiri hadi Vatican Kupata Baraka za Baba Mtakatifu Papa Francisco mwenyewe
Mh Neema amefanikiwa kufika nyumbani kwa Papa Francisco na...
Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee...
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha Mwalimu Maganga kukataliwa ombi lake.
Wanadhani wao watakuwa salama?
Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya...
Ni wakati sahihi kwa viongozi wetu wa dini zote kukutana na kujadili juu ya kuitaka serikali isiwe mbabe kwenye suala zima la kutupatia wananchi katiba mpya.
Inashangaza sana kuona serikali ya...
Akizungumza na wakazi wa baadhi ya vijiji mkoani Ruvuma, bi Jenista amesema mahindi Kwa sasa ni zao la biashara linalowapatia wananchi fedha nyingi.
Maana mahindi Kwa sasa si zao la chakula...
Boss wa TANESCO atimuliwa kikaoni. Sioni nyota njema kwake. Siku tatu zinamtosha kweli au ndo wanamkomoa baba wa watu?
Na Biteko akija kujua dili za Luku atamla kichwa mazima.
Kaambiwa nenda...
Mh Raisi mulika na maafisa balozi wamejisahau sana .
hawa tunao ushahidi jinsi wanavyojibu watu, wenye kwenda kuomba msaada wa kihuduma kwenye ofisi za kibalozi huko nchi walizoko,
nafikiri...
Alipata kusema hayati JPM.. Sasa inaonekana wazi kuongoza nchi kwa kuwapapasa papasa watu ni ngumu sana kufanikiwa! Kalemani alikaribia kumaliza tatizo la umeme! Kama ilivyo kawaida ya siasa...
Hakika inaogopesha na kusikitisha sana kuona jinsi fedha za umma ambazo ni kodi za masikini wananchi wanazolipa kwa kukamuliwa na fedha za mikopo tunazokopa toka nje zinavyoliwa na wajanja...
CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya.
Huko Msomera, kule...
Misenyi: WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza watumishi sita wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi wafuatiliwe ili warejeshe fedha za umma na kisha wachukuliwe hatua za kinidhamu.
“Uongozi wa Mkoa...
Salaam ni jadi yetu watanzania!
Mada ni kuwa hata MTU ajitoe vipi ufahamu lkn kila unaposimama au kuangaza macho kazi ya Rais Samia Suluhu kupitia CCM inaonekana bayana. Iko hivi
Miundombinu ya...
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;
Cammilius Membe
January Makamba
Asha Rose Migiro
Amina Salum Ali
John Pombe Magufuri
Ukiangalia kwa...
Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto...
Hawa jamaa sasa wamekomaa kisiasa. Maana juu ya sakata la Bandari na mkataba tata wamekomaa.
Huko nyuma walitaka kuleta siasa za kisanii wakadhani hayati Magufuli anapenda janjajanja. Alipowatosa...
Kauli hii ya Kiongozi wa Chama cha Upinzani kusini mwa Africa imebeba ujumbe mzito sana
Sidhani kama Chawa wa Tanzania watamuelewa
Nawatakia Dominica Njema
Kwa mara ya 6 na ya mwisho
Kanisa...
Hongera sana Kwa kuliona hili.Badala ya Wakuu wa Shule kusimamia taaluma na nidhamu kazini wanahangaika na tiles.
Badala ya Daktari Mfawidhi au DMO kusimamia utoaji wa Huduma Bora za Afya na...
Nikimnukuu mwandishi huyo wa habari anasema "Ukienda Loliondo utakaribishwa na Mabango makubwa yanayokuhamasisha ujiunga na mtandao wa simu za mkononi wa uarabuni,na pia utapishana na magari mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.