Ukweli usemwe kwamba pamoja na ardhi kubwa na uzalishaji mkubwa wa chakula tunaoringia nchini kwetu Watanzania wengi bado wanakula milo duni sana, wengi hawapati milo bora (balanced diet) na...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imefanikiwa sana kuongeza ukaribu na wananchi kwa kusikiliza changamoto na kuzitatua kwa haraka...
Wadau hamjamboni nyote
Taarifa hapo chini
JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia Imam wa msikiti wa Nyankumbu mjini Geita, ambaye pia ni mwalimu wa madrassa, Abdulrahman Yassin akituhumiwa...
Mbunge Msukuma hapa anaongea sana kukatiza katiza wataalamu wakati kichwani hamna kitu .Wataalamu wakitaka kumwekewrsha anakatiza katiza wakati kichwani hamna kitu anachoongea
Wataalamu poleni
Rais mstaafu wa Tanzania mzee Kikwete ametunukiwa Tuzo ya Kiongozi Bora wa Africa kwa mwaka 2023 kama Kiongozi Bora wa Africa katika Amani na Usalama.
===
Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya...
Ukweli ni Kwamba CCM ni chama Bora kabisa Tanzania na Barani Africa ila haiwezi kuwa na Maajabu yoyote kwa hawa " Wapiga kura wa Kisasa"
Wakati Kikwete anasema CCM ijivue gamba alimaanisha...
Sheria ya Tanzania inataka pesa za noti ziwekwe kwenye waleti siyo mfukoni kwa kuzikunja kunja lakini watanzania hii sheria sijui kama tunaijua. Ukikunja pesa na kuiweka mfukoni tu ni kosa na...
Mama anazidi kukimbiza kazi kimya kimya.Watu wa Mwanza by Desemba 2025 mtaanza kupanda SGR walau Hadi Isaka wakati Kipande Cha Isaka-Tabora Kikisubiliwa kukamilika.
Kimya kimya mama anakimbiza...
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.
Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu...
Pale unapotokea msiba wapo ambao viongozi utoa pole kupitia mitandao ya kijamii, ipo misiba Mhe Rais utumia barua ya Ikulu nk
Napenda kufahamu ili Mhe Rais atoe pole kwa kupitia akaunti yake ya...
Ni ushauri tu kwa Wanahabari nguli kama Pascal Mayalla na Aloyce Nyanda, nk, wakachukua ombi la Tanzania huko Umoja wa Africa kama ni fursa itakayoanzia hapa nyumbani.
Midahalo inasaidia sana...
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.
Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa...
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara.
Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri...
Mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa Fedha unaokuja 2024/2025 ni kuwa bajeti ya Matumizi ya Kawaida kufikia ukomo wa Shilingi tilioni 33 na bajeti ya Maendeleo kufikia ukomo wa tilioni 15.
Sababu...
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa...
Salaam sana
Tunaandaa vipindi vya TV na Radio vya DSE. Kwa niaba ya Soko la Hisa la DSM DSE, napenda kutoa mualiko kwa watu wachache hasa Wajasiliamali wadogo na wa kati (Small and Medium...
Yaani katika kitu ambacho nawashauri vijana ni kutokuwa na utamaduni wa woga ambao umekuwa utamaduni wa Watanzania wengi.
Ukiangalia vizuri kibinafsi na hata vyama vyovyote. Ukubwa wa vyama na...
Tangu CHADEMA ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je, wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa...
Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), Machi 13, 2024 ameongoza waombolezaji kuaga Mwili wa Marehemu Meja Jenerali Christopher Keraryo Gimonge (Mstaafu)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.